Wanajamii wenzangu,mimi sikushangaa kumuona mh.rais anampa makavu makonda,kila siku tunasema viongozi wengi serikarini hawana ubunifu,hayo ndio matokeo yake.suala la kutafuta mashine ya kunyonya maji hadi aje raisi akwambie kweli????.wao wanachokijua kila siku ni mipango mikakati tuuuu,saa hizi bil 3 utazipata wapi??madudu ni mengi mno,watendaji mmemwangusha JK sana.mfano uchafu dar es salaam ni haibu kubwa lakini leo hii hadi JK atoe amri ndio viongozi washtuke.kwenye hili la mafuriko viongozi wa dsm mmekosa UBUNIFU kabisa.Wahandisi wa jiji hili HAIBU yenu.