The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,950
- 12,549
Niliitazama ile taarifa na namna walivyokuwa wanajibishana. Kwa mtazamo wangu hata yeye ana matatizo.
Ningekuwa mimi ndiye yeye Rais maelekezo na maagizo yangu yangekuwa "nawapa masaa 48 maji yote yaliyotuwana na kukosa outlet yawe yametafutiwa njia ya kutokea na kila mmoja kwa nafasi yake atekeleze majibu wake na nitarudi tena kuangalia utekekezaji huu na kuwaondolea wananchi adha na mateso wanayoyapata"..
Lakini tulichokiona jana ni malumbano kati ya Rais na watu wanaotekeleza majukumu na wajibu wake kama kiongozi wa nchi na serikali!!
Ningekuwa mimi ndiye yeye Rais maelekezo na maagizo yangu yangekuwa "nawapa masaa 48 maji yote yaliyotuwana na kukosa outlet yawe yametafutiwa njia ya kutokea na kila mmoja kwa nafasi yake atekeleze majibu wake na nitarudi tena kuangalia utekekezaji huu na kuwaondolea wananchi adha na mateso wanayoyapata"..
Lakini tulichokiona jana ni malumbano kati ya Rais na watu wanaotekeleza majukumu na wajibu wake kama kiongozi wa nchi na serikali!!