johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,527
Ni baada ya dc Makonda kushindwa kujibu swali aliloulizwa na Rais kwamba ni hatua gani amechukua kushughulikia tatizo la mafuriko pale basihaya Tegeta. DC alisema wanapanga mipango ya muda mrefu ndipo Rais kwa hasira akamwambia yeye anataka utafutwe ufumbuzi wa haraka kwani waathirika wanateseka sana.
Chanzo: chanel ten Habari
Chanzo: chanel ten Habari