VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Nasikitika kusema kwamba Rais wangu wa Tanzania amenitusi.Hii imetokea siku ya Ijumaa alipokuwa akihutubia Wazee wa Dar es Salaam.Alinitusi kwa kuniambia uongo huku akiwa anaujua ukweli.Aliniona mimi zuzu.
Alidai kuwa eti mimi nanunua sukari kwa bei chee baada ya Serikali sikivu kushusha bei ya bidhaa hiyo.Ukweli ni kwamba kila uchwao,bei ya sukari inazidi kupaa.Niishipo mimi,kilo moja ni shilingi 2300.
Je,matusi haya kwangu ni kwakuwa amepotoshwa na wasaidizi wake? Je,amewatukana pia na Wazee waliokuwa wakimsikiliza?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Alidai kuwa eti mimi nanunua sukari kwa bei chee baada ya Serikali sikivu kushusha bei ya bidhaa hiyo.Ukweli ni kwamba kila uchwao,bei ya sukari inazidi kupaa.Niishipo mimi,kilo moja ni shilingi 2300.
Je,matusi haya kwangu ni kwakuwa amepotoshwa na wasaidizi wake? Je,amewatukana pia na Wazee waliokuwa wakimsikiliza?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam