engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
safi sana Mh Raisi,kweli anajari maslahi ya watz kuhusu Amani na kutaka kuwapatia wtz kitu wakitakacho,tumpongeze kwa hili
Tatizo humu angekataa watu wangeponda, kakubali bado kunawatu wanaponda sasa sijui tulitakaje
Tatizo humu angekataa watu wangeponda, kakubali bado kunawatu wanaponda sasa sijui tulitakaje