Kikwete akubali kukutana na CHADEMA

Huyo ndio Rais wa wote, wanaomkubali na wasio mkubali, Namna hiyo Kikwete, umewakata Ngebe kama kwenye katiba, walitaka ukatae wapate kufanya maandamano.

Sasa wewe umekubali wao ndio watataka wakupangie muda watafute sababu ukatae. Ngoja tuone.

Nikiangalia heading ya hii thread na post hii napata jawabu kuwa> kinachoendelea kwenye siasa za Tanzania siyo kupata muafaka kwa ajili ya kuendeleza Taifa bali ni kuoneshana nani zaidi. Ndiyo mana miaka 50 ya huru bado wototo wetu wanasomea chini ya miti.

Kukataa kuonana na wewe kama Rais ni arogancy ya hali ya juu, huu si wakati Mkapa aliyewahi kusema kuwa CUF wanakata kukutana nae ili wapate picha na rais, who is rais mbele ya mwenyezi mungu? Apart from having constitutional power. Wakati tulio nao leo si wa Rais kukataa kusikiliza watu wenye public support kama CDM, ni wakati wa kuililia nafasi hiyo.

Ninaamini kuwa Mazungumzo kati ya Salim, Warioba na Dr Slaa ndiyo product ya mchakato huu. Tukianza kuspin out of control we will all lose si CDM, CCM na watanzania tusio na vyama. Kama nia ya JK ni kuwasikiliza tu sioni mantiki na haja ya kukutana na CDM, ila kama mantiki ni kusikilizana na kuona jinsi ya kuufanya mchakato kuwa wa kitaifa zaidi ya ki-CCM. This is the best opportunity for JK to show leadership to the country and world. Imani yangu ni kuwa kukubali huku kuna approval ya kamati kuu ya CCM bila kuwa na predetermined stand kama ilivyo kwa CDM.
 
chadema hawana jipya labda anawasikiliza ili walizike kwan jk kasema atausain faster labda leo kamaliza kaz kilichobaki ni kufukuza nyan shamban
 
Heading ya thread haijengi hata kidogo , sanasana inaharibu(spoil) hata maudhui ya motion yenyewe. Kama Raisi hata (kama humpendi) akiwa na perception kama ya kwako basi kazi ipo!. Mungu ibariki Tanganyika, nawaombea kwa Mungu viongozi wangu wote wa CDM na Hata wale wa NCCR waliotuunga mkono, mshirikiane kujenga hoja za kumfanya ailiyeshika mpini (hata kama hutaki) awe na busara na hekima ili aridhie, aepushe janga linaloinyemelea 'nji' yetu. Amina.
 
Nikiangalia heading ya hii thread na post hii napata jawabu kuwa> kinachoendelea kwenye siasa za Tanzania siyo kupata muafaka kwa ajili ya kuendeleza Taifa bali ni kuoneshana nani zaidi. Ndiyo mana miaka 50 ya huru bado wototo wetu wanasomea chini ya miti.

Kukataa kuonana na wewe kama Rais ni arogancy ya hali, huu si wakati Mkapa aliyewahi kusema kuwa CUF wanakata kukutana nae ili wapate picha na rais, who is rais mbele ya mwenyezi mungu? apart from having constitutional power. Wakati tulio nao leo si wa Rais kukataa kusikiliza watu wenye public support kama CDM, ni wakati wa kuililia nafasi hiyo. Ninaamini kuwa Mazungumzo kati ya Salim, Warioba na Dr Slaa ndiyo product ya mchakato huu. Tukianza kuspin out of control we will all lose si CDM, CCM na watanzania tusio na vyama. Kama nia ya JK ni kuwasikiliza tu sioni mantiki na haja ya kukutana na CDM, ila kama mantiki ni kusikilizana na kuona jinsi ya kuufanya mchakato kuwa wa kitaifa zaidi ya ki-CCM. This is the best opportunity for JK to show leadership to the country and world. Imani yangu ni kuwa kukubali huku kuna approval ya kamati kuu ya CCM bila kuwa na predetermined stand kama ilivyo kwa CDM.

Washabiki wa chadema na CCM wataharibu mchakato..

Kwasabab wanafanya mashindano ...

Simba na yanga kwenye mambo ya msingi
 
kulingana na taarifa ya ITV JK amekubali kukutana na chadema. atafanya busara akisikia na kuelewa watakayomweleza

Hapa ndio kwanza picha linaelekekea patamu! Braza Slaa kajirusha angani huku akijitayarisha kuachia pigo kali kwa braza JK. Kwa umahiri wa hali ya juu, Braza JK anabonyea chini na kuruhusu pigo la Braza Slaa likiishia hewani!! Katikati ya mchezo, busara zinakuja kuonesha kwamba kumbe hata Braza Kibamba hana sababu ya kuingia kwenye mpambano huu hivyo na hivyo kuangalia uwezekano wa kuahirishwa mpambano wa Braza Deus Kibamba kwa sababu tu mpambano huu utakuwa na msisimko baada ya kupatikana kwa matokeo kati ya mpambano wa Braza JK na Braza Slaa! Kwavile ma –Big Braza hawa wameonelea kuketi kwanza ili kujadili kanuni za mchezo, basi hata ule mchezo wa Light Weight wa Braza Deus itabidi usubirie kanuni za big match!!!

Hapo ndipo unapokuja utamu wa kumu-undermind Braza JK! Magwanda wanasahau kabisa kwamba Braza JK ame-survive kwa miaka kadhaa katikati ya msitu uliojaa waungwana wa level zote na wahalifu wa level zote!!!! Msitu ninaouzungumzia hapa ni msitu wa CCM ambao kuuhimili kwake si kazi ndogo!!! Huku akipigwa tafu na lile tabasamu lake ambalo huonekana hata kati kati ya majonzi, litakalosindikizwa na viyoyozi pamoja na sambusa za Ikulu, am sure Braza Slaa na timu yake watatoka wamelainika, lainiiii na kuanza kumpongeza kwamba ni rais msikivu!!!! Unacheza na Braza JK nini?!

Baada ya hapo, itapigwa delaying technique hadi marashi ya sambusa za Ikulu yatakapotoweka puani mwa timu ya Braza Slaa. Kama kawaida yao, ustahimilivu utatoweka kwenye nafsi za magwanda na hapo kuamua kutangaza jino kwa jino!!! Hapo ndipo kama namuona vile Braza JK, huku akisindikizwa na sauti yake ya upole akiuhabarisha umma wa Wa-TZ kwa maneno haya "hawa ndugu zetu hawaitkii mema nchi hii, wameomba wakutane na mimi Ikulu, name nikafanya hivyo; tukaongea na kukubaliana ni namna gani tufanye zoezi hili kwa amani. Kama kawaida yao, tuliyokubaliana Ikulu wameacha wanataka kuandamana…wakataeni hawa, hawana nia njema kwa nchi yetu….hawana nia njema kwa amani yetu tuliyoienzi kwa miaka hamsini sasa!!"

Bila kutarajia, kitanzi walichokuwa wamekitega kwa Braza JK, utakuta kinawageukia wenyewe….

OLE WAO WANAOZANI JK NI KILAZA…tamati ya sinema hii ndio itatoa jibu nani kilaza kati ya JK na Dokta! Wacha nianze tena na Epsode I ya Prison Break mie wakati nasubiria MAGWANDA BREAK!


 
Naomba makamanda wangu wasivae magwanda siku hiyo kuweka dhana ya utaifa na si uchama
 
Ingekuwa ajabu kama angekataa kukutana na kamati hiyo ya chadema kwani mbali ya kuwa nao ni watanzania ambao yeye ndio rais wao chadema pia ndicho chama kikuu cha upinzani. Hivyo sioni ajabu yoyote rais kukutana na chadema.
 
Hamna kitu mtafanya mkuu ila kwa vile JK ana busara na ni Muungwana otherwise ingekuwa Mkapa hapa mngetukanwa tu wala hakuna kitu mtafanya acheni masifa lol.


Hapa hakuna anayetafuta sifa. Ni kwamba ana option moja tu. Akubaliane nao. Asipokubaliana tu, tunalianzisha na this time mvua iliyonyesha na kuwasaidia kuharibu movie tuliyoianzisha Arusha haitawasaidia tena. Tutahakikisha tunaikomboa nchi!.
 
Nikiangalia heading ya hii thread na post hii napata jawabu kuwa> kinachoendelea kwenye siasa za Tanzania siyo kupata muafaka kwa ajili ya kuendeleza Taifa bali ni kuoneshana nani zaidi. Ndiyo mana miaka 50 ya huru bado wototo wetu wanasomea chini ya miti.

Kukataa kuonana na wewe kama Rais ni arogancy ya hali, huu si wakati Mkapa aliyewahi kusema kuwa CUF wanakata kukutana nae ili wapate picha na rais, who is rais mbele ya mwenyezi mungu? apart from having constitutional power. Wakati tulio nao leo si wa Rais kukataa kusikiliza watu wenye public support kama CDM, ni wakati wa kuililia nafasi hiyo. Ninaamini kuwa Mazungumzo kati ya Salim, Warioba na Dr Slaa ndiyo product ya mchakato huu. Tukianza kuspin out of control we will all lose si CDM, CCM na watanzania tusio na vyama. Kama nia ya JK ni kuwasikiliza tu sioni mantiki na haja ya kukutana na CDM, ila kama mantiki ni kusikilizana na kuona jinsi ya kuufanya mchakato kuwa wa kitaifa zaidi ya ki-CCM. This is the best opportunity for JK to show leadership to the country and world. Imani yangu ni kuwa kukubali huku kuna approval ya kamati kuu ya CCM bila kuwa na predetermined stand kama ilivyo kwa CDM.

You said it all mkuu,

Tusubiri matokeo...
 
Back
Top Bottom