mpendaMaendeleo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 279
- 35
Eeee bana eee nitapata wapi? santuri yake.......
Wizi na uwongo, ni ujanja nilorithi kutoka kwa ***** yangu mimi, vyote mkagundua, mkaona silingani kabisa kuwaongoza.
Na kama haitoshi, mkakata kabisa na shina la mabango yangu mimi, eti kisa wizi, mkaona bora mniache mimi muende upinzani.
Naskia hivi sasa wote mpo chadema, mnatupa kadi za ccm na mnakuwa wa chama fulani, iliniuma sana, sana.
Naskia hivi sasa wote mpo chadema, mnatupa kadi za ccm na mnakuwa wa chama fulani, iliniuma sana, iliniuma sana, sana.
Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.
Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.
Mngejua jinsi gani, machozi niliyolia kwa uchungu wa kura zenu nyinyi, mwenzenu jinsi gani, vile nimeumia moyoni. Hata jukwaa sitamani, utamu wa usanii mwenzenu imekula kwangu mimi, mwenzenu sina hamu, hata raha ya ikulu mi sioni.
Naskia hivi sasa wote hamnitaki, vile mkikaa hata mkiongea, mmeungana sana, sanaa. Mi mwenzenu Slaa huyu mi sina hamu, tena nna mpango wa kuongea na shimbo, nataka aende mbali, nijiepushe na kero zake mi mwenzenu siwezi.
Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.
Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.
Wizi na uwongo, ni ujanja nilorithi kutoka kwa mama yangu mimi, vyote mkagundua, mkaona silingani kabisa kuwaongoza. ..................
Wimbo wako mkuu Martinez uko poa kulingana na ulivyokuwa unajisikia lakini umekuwa UNFAIR AND UNCOUTH kwa maneno niliyo bold na ku-colour. Sitegemei mtu mwenye akili timamu kuandika maneno ya kashfa na dharau kwa mama yake JK. Wewe unamfahamu mama yake JK, kwanini useme JK karithi wizi wa mama yake, huyo mama aliiba nini???. Mimi nafikiri hatuandika kama kujifurahisha kwa ushabiki lakini tunatakiwa kuonyesha busara na hekima kwa yale tunayoandika badala ya kuandika ujinga ulionao kichwani kwako ambao hakuna mwenye akili timamu anaweza kuupenda.
Duhh! wewe naona fasihi imekutupa kweli..... yaani kila kitu unatafsiri kama kilivyo? Ebu kuwa mstaarabu uulize alivyosema "mama" alimaanisha nini? Tutakujibu sisi wataalamu wa lugha......tehhh,,,,,,te.... mama siyo lazima awe mama mzazi. Punguza jaziba ndugu yangu na uache kutukANA kabla hujatafakari..... WIMBO UMETULIA!!!!
hiyo bold yako umeiongezea wewe mwenyewe.
Wizi na uwongo, ni ujanja nilorithi kutoka kwa mama yangu mimi, vyote mkagundua, mkaona silingani kabisa kuwaongoza. ..................
Wimbo wako mkuu Martinez uko poa kulingana na ulivyokuwa unajisikia lakini umekuwa UNFAIR AND UNCOUTH kwa maneno niliyo bold na ku-colour. Sitegemei mtu mwenye akili timamu kuandika maneno ya kashfa na dharau kwa mama yake JK. Wewe unamfahamu mama yake JK, kwanini useme JK karithi wizi wa mama yake, huyo mama aliiba nini???. Mimi nafikiri hatuandika kama kujifurahisha kwa ushabiki lakini tunatakiwa kuonyesha busara na hekima kwa yale tunayoandika badala ya kuandika ujinga ulionao kichwani kwako ambao hakuna mwenye akili timamu anaweza kuupenda.
ila wimbo umesimama na umekuumiza. hivyo lengo la wimbo limetimia
Duhh! wewe naona fasihi imekutupa kweli..... yaani kila kitu unatafsiri kama kilivyo? Ebu kuwa mstaarabu uulize alivyosema "mama" alimaanisha nini? Tutakujibu sisi wataalamu wa lugha......tehhh,,,,,,te.... mama siyo lazima awe mama mzazi. Punguza jaziba ndugu yangu na uache kutukANA kabla hujatafakari..... WIMBO UMETULIA!!!!
Mimi naona fasihi imekupita pembeni zaidi mama ni mama, cha msingi angalia maudhui ya wimbo na kurithi wizi kutoka kwa mama. Kwani ujumbe kufika mpaka umtaje mama
Kweli JK ni Msanii,ana kipaji,itabid tumpeleke kwa Majani
Wizi na uwongo, ni ujanja nilorithi kutoka kwa ***** yangu mimi, vyote mkagundua, mkaona silingani kabisa kuwaongoza.
Na kama haitoshi, mkakata kabisa na shina la mabango yangu mimi, eti kisa wizi, mkaona bora mniache mimi muende upinzani.
Naskia hivi sasa wote mpo chadema, mnatupa kadi za ccm na mnakuwa wa chama fulani, iliniuma sana, sana.
Naskia hivi sasa wote mpo chadema, mnatupa kadi za ccm na mnakuwa wa chama fulani, iliniuma sana, iliniuma sana, sana.
Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.
Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.
Mngejua jinsi gani, machozi niliyolia kwa uchungu wa kura zenu nyinyi, mwenzenu jinsi gani, vile nimeumia moyoni. Hata jukwaa sitamani, utamu wa usanii mwenzenu imekula kwangu mimi, mwenzenu sina hamu, hata raha ya ikulu mi sioni.
Naskia hivi sasa wote hamnitaki, vile mkikaa hata mkiongea, mmeungana sana, sanaa. Mi mwenzenu Slaa huyu mi sina hamu, tena nna mpango wa kuongea na shimbo, nataka aende mbali, nijiepushe na kero zake mi mwenzenu siwezi.
Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.
Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.