Kikwete aingia mtaani

Kikwete aingia mtaani

Hata Jumapili iliyopita alikuja kutia story kwenyw Kijiwe chetu cha miaka zaid ya 40 cha Saigon Kariakoo kwa kweli huyu jamaa ni Charming sana, haachi vituko na vimbwanga, alikumbushia kiti chake cha miaka ileeee! I hope kama sio protocal anaweza kuonekana tena Lango la jiji au Ddc maana ni mpenzi sana wa mUsic wa Jazz na Country!!
 
Uhuru wake hivi sasa anakula penshen yake
 
ana nyumba nzuri sana na maeneo ya bustani yaliyoizunguka ni mazuri pia! ...hivi alitangaza mali zake alipokuwa anaaga!?
 
Mbona ghafla, kutoka shopping za Mississippi,Michigan,London,Dubai na Shanghai mpaka mlimani city? Duh, hapo ni wiki mbili tu, naona mwezi mtukufu tutakutana pale Tandale kusaka futali!

Safari za nje mwisho ..Magufuli.
 
Mbona ghafla, kutoka shopping za Mississippi,Michigan,London,Dubai na Shanghai mpaka mlimani city? Duh, hapo ni wiki mbili tu, naona mwezi mtukufu tutakutana pale Tandale kusaka futali!

Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?

D92A9977.jpg
 
Hivi na hilo biti la safari za nje nalo linamuhusu.....?......maana sielewi kinachoendelea mpaka sasa.........

Linamhusu ndiyo maana kaenda shopping mlimani city badala ya ulaya
 
Kiki ili asisahaulike.

Huo ndio ukweli, anaogopa kusahaulika mapema, leo nimeona amerekodi kwenye tv akihamasisha watu wajitokeze uwanja wa taifa kushangilia timu yetu,.kwa kifupi TFF wamefanya nisiende huko taifa
 
hatukuwa na rais for the past ten years,bongolala yule kifuu cha nazi kichwani madafu
Bongolala mama yako alokuzaa bar na janaume lisiyejulikana hadi leo, punguani mkubwa wewe usiyekuwa na dini wala akili, y unamtukana aliyekuwa raisi wako kwa miaka 10 kiasi hiki! acha tabia za kiyahudi hizo
 
Huo ndio ukweli, anaogopa kusahaulika mapema, leo nimeona amerekodi kwenye tv akihamasisha watu wajitokeze uwanja wa taifa kushangilia timu yetu,.kwa kifupi TFF wamefanya nisiende huko taifa
Ukawa wengi hawampendi JK hasa wakikumbuka kuanzia Dodoma hadi sasa alichokuwa akimfanyia Lowasa.
 
Back
Top Bottom