BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,809
- 5,779
Photoshop
Hakuna kwenda nje ya nchi, na yeye inamuhusu.
Cha ajabu ni nini hapa? Ndiyo uzuri wa Tanzania, kamaliza muda wake ni raia huru anaingia madukani kama watanzania wengine wa kawaida! Kwa nini tusijisifu?
si mlisema ana hela sana?atakosa milioni kumi za kwenda nje?Hakuna kwenda nje ya nchi, na yeye inamuhusu.
mwacheni mshkaji ...pamoja na mapungufu yake mengi tu lakini pia ana mazuri na tutammiss ....
Hivi na hilo biti la safari za nje nalo linamuhusu.....?......maana sielewi kinachoendelea mpaka sasa.........
Mbona ghafla, kutoka shopping za Mississippi,Michigan,London,Dubai na Shanghai mpaka mlimani city? Duh, hapo ni wiki mbili tu, naona mwezi mtukufu tutakutana pale Tandale kusaka futali!
Mnamdhalau lakini kawafanyia mengi huyo
Huna hela tu wewe usilete mbwembwe hapaHuo ndio ukweli, anaogopa kusahaulika mapema, leo nimeona amerekodi kwenye tv akihamasisha watu wajitokeze uwanja wa taifa kushangilia timu yetu,.kwa kifupi TFF wamefanya nisiende huko taifa