Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Mtanzania hawawezi kutengeneza picha?
Mtanzania hawawezi kutengeneza picha?
Kumbee...
Nazungumzia hiyo picha imepachikwa. inawezekana pia imetengenezwa na hao mtanzania unaowaamini.
Jory club kufanya nini
Achana na huyu mtu haamini kama ameshastaafu!Keeping appearance and winning headlines, huyu jamaa tutamsahau mapema sana
Mbona ghafla, kutoka shopping za Mississippi,Michigan,London,Dubai na Shanghai mpaka mlimani city? Duh, hapo ni wiki mbili tu, naona mwezi mtukufu tutakutana pale Tandale kusaka futali!
Kama hujui kweli muulize JK au Le Mutuz.:behindsofa::behindsofa: