Bila kusahau jory club na maisha club
Photoshop
Kuna watu vichaa. Kwanini mnapenda kumdharau JK?Haa haaa Vasco anakumbukia safari za Nje kaamua kuziamishia nyumbani.
Mbona ghafla, kutoka shopping za Mississippi,Michigan,London,Dubai na Shanghai mpaka mlimani city? Duh, hapo ni wiki mbili tu, naona mwezi mtukufu tutakutana pale Tandale kusaka futali!
Nilivyosikia hii habari nikajikuta naishia kucheka kimoyomoyo tu.
Ukawa wengi hawampendi JK hasa wakikumbuka kuanzia Dodoma hadi sasa alichokuwa akimfanyia Lowasa.
yaaaaa hyu raisi cjui 2limtoa wap yaaan n kuzurura 2 haya kesho utaskia ypo shopping krokon arusha
Lazima alaumiwe, kwa sababu bado anaendelea kutu cost, Mwinyi ana gari moja tu, hatembelei msafara wa magari manne, piki piki na personel ya watu kumi kwenye payroll ya serikali.Nafikiri amemaliza muda wake, tumemlaumu sana sasa yuko Uraiani
tumuache apumzike, maana kupumzika ni pamoja na kuachana na lawama
nzito za kiuongozi ambazo zilimuelemea
Bila kusahau jory club na maisha club
Labda Jolly.......
ijumaa tutakuwa nae msikitini pale oysterbay akiwa na mzee mwinyi.