GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

yule jamaa ni mnec anaitwa edwin sannda alishaletwa hapa jamvini... he is really smart, tatizo yuko chama kibaya because we will never realise his talent ndani ya mafisadi

hao wamama ni naona mmoja wa kushoto anapiga chafya tu

ha ha ha mbavu zangu.... kweli bana huyo mama anapiga chafya
 
Ni aibu kubwa sana kutaka kuendelea na huyu jamaa kama kiongozi mkuu na amiri jeshi mkuu! Afya mgogoro
 
.. huyo mama aliyeinamisha kichwa kidogo afanane na festiledi? Ila hicho kitambaa ambacho kina uso wa mheshimiwa ikiwa inaelekea pembeni na inachekelea kwa furaha inaleta 'disturbing picture sana' hizi sare za CCM hazivutii sijui kwa nini :confused2:

Ila kwa mawazo yangu:
Mama aliyeinama lazima aliwaza "Mungu wangu! Not again! Je tutafika?"
Mama kushoto aliyefumba macho: "Aiseee!" alikuwa anaogopa hajui mheshimiwa amedondoka sababu gani ie kazirai au kibaya zaidi...
Mama wa pili kulia anayehangaika na begi "Sijui simu yangu nimeiweka wapi? Hii lazima nipige picha!"
Mama kulia kabisa "Mtajiju!" keshachoka kuona sinema inarudiwarudiwa
Jamaa mwenye pete (Edwin?): "Aiseeee! Nakwambia ni mpaka chini!"
:smile-big:

Hahahaaaaa!!!! ..................Umenivunja mbavu kishenzi!!!!!! Nyie JF acheni uhuni, Natabiri siku ya matokeo (31 Oct - 01 Nov) JF haitakuwa hewani maana itachafua mipango ya wazee.
 
Edwin Sanda simjui kabisa nadhani alikuwa anawasiliana na nguvu za giza!
huyo mkatoliki tena alichafuliwa sana kwao huko kwamba ametumwa na kanisa katoliki, si unajua tena mambo ya udini?? usije ukafanya wamtimue aisee
 
acheni jamani............hiyo clip kwa maoni yangu naomba Mods waiondoe hapa JF........JK anaumwa............sisi ni binadamu pia........hivyo tusibeze kuumwa kwake..........
 
acheni jamani............hiyo clip kwa maoni yangu naomba Mods waiondoe hapa JF........JK anaumwa............sisi ni binadamu pia........hivyo tusibeze kuumwa kwake..........

Tunahusika na afya ya JK kwa sababu ni kiongozi wa nchi hivyo afya yake inaligusa taifa moja kwa moja. Mimi namuonea huruma sana huyu JK, na nawashauri watz wooote tumhurumie kwa kutomchagua ili apumzike aangalie afya yake , jamani mwenzetu ni mgonjwa tumsaidie.ONYESHA HURUMA KWA KIKWETE KWA KUTOKUMPIGIA KURA
 
huyo mkatoliki tena alichafuliwa sana kwao huko kwamba ametumwa na kanisa katoliki, si unajua tena mambo ya udini?? usije ukafanya wamtimue aisee

Ingia chemba unihabarishe zaidi kuhusu huyo bwana!
 
acheni jamani............hiyo clip kwa maoni yangu naomba Mods waiondoe hapa JF........JK anaumwa............sisi ni binadamu pia........hivyo tusibeze kuumwa kwake..........

Jamani naomba mwenye ile clip atuwekee hapa! Napenda ile aiseeeeee
 
Hawa CCM ni watu wa ajabu sana! Hivi wanamng'angani huyu mgonjwa kwa nini? Au sura tu? Kila kitu kwake ni mushkeli tu -- utendaji wake, uelewa wake, nk -- na pia anakacha mdahalo! Tanzanians should dump him!
 
Unajua kuanguka kwa mjamaa huyu pale jangwani kunanifanya kila nifikirie naanguka kicheko. Hata siku nikikosa usingizi, nikikumbuka hiyo 'AISEEE' nabaklia kucheka peke yangu! Hii nchi kiboko kweli kweli .....wanatumia mabilioni kumrudisha mjengoni mtu wa namna hii!
 
Unajua kuanguka kwa mjamaa huyu pale jangwani kunanifanya kila nifikirie naanguka kicheko. Hata siku nikikosa usingizi, nikikumbuka hiyo 'AISEEE' nabaklia kucheka peke yangu! Hii nchi kiboko kweli kweli .....wanatumia mabilioni kumrudisha mjengoni mtu wa namna hii!

AISEEE................!!!!!!!! Next TOTAL BLACK OUT
 
Back
Top Bottom