GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

waende wapi sasa mwembe yanga ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

Kweli lazima tuendelee kukumbusha mgombea wa CCM mgonjwa
Mwembeyanga wasiende watawakumbusha watu machungu ya List of Shame waende Mnazi mmoja au Kidongochekundu au Uwanja wa taifa.

Halafu naona Chadema wastaarabu sana angekuwa Slaa ndio kaanguka nadhani Makamba angekuwa anatumia tukio lile kama sara ya mkutano na TOT wangekuwa wametunga wimbo.

Nashauri Chadema waache kuzubaa siku zinakwenda waandae kabisa kabisa picha kubwa kubwa za kuanguka kwa Kikwete ili CCM wakizidi personal attachs wazitumie kwenye mikutano yao kuwakumbusha wananchi wasichague rais mgonjwa hata sinema ikibidi, wakurya wanasema fita ni fita hakuna fita ndogo.
 
Kama mawaziri na vimada wao wanafanyiwa medical check up nje ya nchi kwanini Kikwete asitumie nafasi hiyo kwenda kujitibu kuanguka anguka wakati wa Ramadan! Am Joking najua ugonjwa wake na tiba
Wenzake wanapotumia nafasi hizo kwa medical checkup yeye anaenda kubembea na mama Jamaica.
 
Nimeambiwa anaamni sana wachawi na mashekhe kuliko tiba za hospitali
Sasa kwanini anatufunga kamba eti Tutajenga hospitali kubwa sana ya magonjwa ya moyo, kila mkoa utakuwa na hopitali ya rufaa,nk nk.
Si angesema tutawaongezea waganga wa kienyeji uwezo wa kuwafikia wateja wao kwa haraka na gharama nafuu. Hata zile Bajaj za wajawazito angewapa haohao waganga.
 
kadanganya sana wananchi............................YUKO DHAIFU KIAFYA NA YUKO DHAIFU KIUONGOZI PIA...
 
USHAURI WA BURE: KIKWETE AVALISHWE HELMENT KILA ANAPOPANDA JUKWAANI KWANI SUALA LA YEYE KUANGUKA JUKWANI NI KAMA UJI NA MGONJWA.Huyu mtu ni mgonjwa tena sana , ndiyo maana anapoteza kumbukumbu, si unajua ule ugonjwa ukifika kichwani tena.
 
USHAURI WA BURE: KIKWETE AVALISHWE HELMENT KILA ANAPOPANDA JUKWAANI KWANI SUALA LA YEYE KUANGUKA JUKWANI NI KAMA UJI NA MGONJWA.Huyu mtu ni mgonjwa tena sana , ndiyo maana anapoteza kumbukumbu, si unajua ule ugonjwa ukifika kichwani tena.

ha ha ha ha mbavu zangu ha ha ha ha ha
Nyie JF mtafanya wengine tupelekwe mirembe kwa kuzaniwa vichaaa
Yaani kicheko nilichoangusha hapa baada ya kusoma hii, kila mtu kwenye sub amenishangaa
 
USHAURI WA BURE: KIKWETE AVALISHWE HELMENT KILA ANAPOPANDA JUKWAANI KWANI SUALA LA YEYE KUANGUKA JUKWANI NI KAMA UJI NA MGONJWA.Huyu mtu ni mgonjwa tena sana , ndiyo maana anapoteza kumbukumbu, si unajua ule ugonjwa ukifika kichwani tena.
Ha ha haaa, kweli itabidi siyo utani kuna siku atabamiza kichwa chini tuanze kuuguza kidonda cha rais, lakini siku hizi anapanda kwenye kibweta na ma bodyguard wawili mmoja special wa kudaka. Kama hivyo achague hermet kati ya hizi...

images
images
 
Ha ha haaa, kweli itabidi siyo utani kuna siku atabamiza kichwa chini tuanze kuuguza kidonda cha rais, lakini siku hizi anapanda kwenye kibweta na ma bodyguard wawili mmoja special wa kudaka. Kama hivyo achague hermet kati ya hizi...

images
images

ha h aha ha vijana mnaua sio mchezo.
Ningekuwa mimi Kikwete ningechagua hiyo helmet ya pili
 
Tatizo kubwa la viongozi wetu wa Africa ni ubinafsi, kukosa uzalendo na ulafi wa madaraka, jitu linajijua kabisa kuwa afya mzozo lakini bado anang'ang'ania kuingia madarakani ili aje tu kusababisha turudie uchaguzi na kupoteza mamilioni ya pesa za walalahoi walipa kodi, inaumaaaa sana.
 
HAhahahah wazee wa JF kiboko Kikwete awe na Helmet hahahahahaha sasa kweli akili atavaa nini! Mzee wa Bajaj?
 
Ni muhimu kujikumbusha hadi siku ya uchaguzi maana watanzania wasahaulifu sana wasije wakafanya makosa tena

WATANZANIA MTALIA NITAWAOMBEA KWA MOLA............nimesahau kidogo anayejua please amalizie nataka nianze mazoezi

Sijui hawa wameanza mazoezi tayari.............

5yhkip.jpg

Swali langu ni gumu kidogo:

Kuna anayewafahamu hao akina mama hapo? Hasa huyu wa kushoto?

Na yule Braza mwenye pete kubwa na kiselula sikioni?

Kuna yeyote mbunifu anyeweza kukisia walikuwa wanawaza nini at that time?
 
Swali langu ni gumu kidogo:

Kuna anayewafahamu hao akina mama hapo? Hasa huyu wa kushoto?

Na yule Braza mwenye pete kubwa na kiselula sikioni?

Kuna yeyote mbunifu anyeweza kukisia walikuwa wanawaza nini at that time?

Hakika wewe ni great thinker si wale jamaa wa Madrasa al sul al Jihad
 
Swali langu ni gumu kidogo:

Kuna anayewafahamu hao akina mama hapo? Hasa huyu wa kushoto?

Na yule Braza mwenye pete kubwa na kiselula sikioni?

Kuna yeyote mbunifu anyeweza kukisia walikuwa wanawaza nini at that time?
yule jamaa ni mnec anaitwa edwin sannda alishaletwa hapa jamvini... he is really smart, tatizo yuko chama kibaya because we will never realise his talent ndani ya mafisadi

hao wamama ni naona mmoja wa kushoto anapiga chafya tu
 
yule jamaa ni mnec anaitwa edwin sannda alishaletwa hapa jamvini... he is really smart, tatizo yuko chama kibaya because we will never realise his talent ndani ya mafisadi

hao wamama ni naona mmoja wa kushoto anapiga chafya tu

Du! Umenifanya nicheke sana.

Edwin anafanya A1 Outdoor? Nyuma yake namwona Zungu wa Ilala.

Huyo mama ni Chfya au analia?

Mkuu huna ubunifu wa ku-guess wanawaza nini?

Rev. Masa naye kachomoa pia.
 
yule jamaa ni mnec anaitwa edwin sannda alishaletwa hapa jamvini... he is really smart, tatizo yuko chama kibaya because we will never realise his talent ndani ya mafisadi

hao wamama ni naona mmoja wa kushoto anapiga chafya tu


Edwin Sanda simjui kabisa nadhani alikuwa anawasiliana na nguvu za giza!
 
yule jamaa ni mnec anaitwa edwin sannda alishaletwa hapa jamvini... he is really smart, tatizo yuko chama kibaya because we will never realise his talent ndani ya mafisadi

hao wamama ni naona mmoja wa kushoto anapiga chafya tu

da bora umesema kuwa nanapiga chafya maana kila nikiangalia hii picha nilikuwa simuelewi huyu mama yaani ilikuwa inaonyesha kuwa kama anauchungu sana analia au shehemu ya jini lililomdondosha mkwere nimemuingia na yeye
 
.. huyo mama aliyeinamisha kichwa kidogo afanane na festiledi? Ila hicho kitambaa ambacho kina uso wa mheshimiwa ikiwa inaelekea pembeni na inachekelea kwa furaha inaleta 'disturbing picture sana' hizi sare za CCM hazivutii sijui kwa nini :confused2:

Ila kwa mawazo yangu:

Mama aliyeinama lazima aliwaza "Mungu wangu! Not again! Je tutafika?"

Mama kushoto aliyefumba macho: "Aiseee!" alikuwa anaogopa hajui mheshimiwa amedondoka sababu gani ie kazirai au kibaya zaidi...

Mama wa pili kulia anayehangaika na begi "Sijui simu yangu nimeiweka wapi? Hii lazima nipige picha!"

Mama kulia kabisa "Mtajiju!" keshachoka kuona sinema inarudiwarudiwa
Jamaa mwenye pete (Edwin?): "Aiseeee! Nakwambia ni mpaka chini!"
 
Back
Top Bottom