Huko Arusha vipi jee huyu mjamaa. hajadondoka? Nasikia ni spana mkononi!
Jamani hebu nijuzeni -- hivi ni kweli katika helikopta zile tatu moja ni full ambulance kutoka Afrika ya kusini?
Halafu nasikiavyo haruhusiwi kuhutubia zaidi ya dak 20 katika mkutano wowote wa kampeni, kutokana naushauri wa madaktari. Wanaogopa akizidisha tu huenda akalamba mchanga!
Jamani hebu nijuzeni -- hivi ni kweli katika helikopta zile tatu moja ni full ambulance kutoka Afrika ya kusini?