Mpambalyoto
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 751
- 3
Kwa mujibu wa Tanzania Daima;
Alipopanda jukwaani na kuanza kuhutubia tena, Kikwete alianza kwa kusema: ¡°Nimefungulia jamani¡*niliishia hapa kwenye¡*naona wamevuruga hotuba yangu¡±
Shida yangu ni hapo mwisho anaposema naona WAMEVURUGA hotuba yangu.Je mh. Rais anahisi kuwa kuna watu walio nyuma ya tukio la yeye kuanguka?Jus thinkin aloud.
Ndio maana Zanzibar wamesitisha kampeni wakati wa mfungo wa Ramadhani.Hata hivyo mpiganaji anayeanguka na kuinuka kuendelea na vita ni mpiganaji shujaa aliyedhamiria kuendelea na vita na anayejiamini kwa analopigania./
Nasikia anaelekea Mwanza kuendelea na kampeni, CCM wanamtumia vibaya rais wangu kina Makamba nafikiri wanasema bora punda ....... lakini mzigo wa tajiri ufike.Nakubaliana nawewe mkuu,
Hivi JK kwa sasa yuko wapi?
Anafanya nini?
Na hali yake vipi?
Mkuu hapo umenikuna haswa.Naona umetoa jibu kwa reference ya picha.Ujumbe mzito sana huo...ANGAZA.
Type yenu ndiyo mnamponza rais kwa vijisifa vya kinafiki nafiki ili uonekane unampenda kumbe unataka kitumbua chako kiendelee kunona kwa mgongo wa mgonjwa.Ndio maana Zanzibar wamesitisha kampeni wakati wa mfungo wa Ramadhani.Hata hivyo mpiganaji anayeanguka na kuinuka kuendelea na vita ni mpiganaji shujaa aliyedhamiria kuendelea na vita na anayejiamini kwa analopigania./
Ilishaelezwa hapa hapa JF tatizo la JK...du, ahsante sana wote waliotuletea video katika Youtube..
pole JK. inabidi root cause ya tatizo hili la kuishiwa na nguvu na kudodoka litatuliwe na siasa iondolewe katika afya!!. Dr. Mfisi hebu toa ufafanuzi!!
Nimeona, asante. I wish ningekuwa naweza kui copy niweke kwenye kabrasha langu
Yaani jana nimeshangaa sana. Nilipiga simu nyumbani kuongea na ndugu zangu. Wakati Rais anapatwa na shida hii hawakufahamu kwani walikuwa safarini, kufika nyumbani jioni wameangalia taarifa ya habari, mimi nikapiga simu nikauliza kama wameona Mh Rais yaliyomsibu wakabaki kunishangaa. Yaani mimi niliye mbali na Tanzania ndio nimewataarifu walioko ndani ya Tanzania!!
Kweli mkono wa CCM mrefu. Ila namshukuru huyu mdau aliyerudisha clip hapa
Yote hiyo nikutaka kuwaonyesha watanzania kwamba yuko fit vinginevyo hakupaswa kuendelea kuhutubia..Mkuu nilivyotafsiri mimi ni kuwa Jk alikuwa kama amezinduka, kwa hiyo mdomo ulikuwa unaongea tu bila kujua yuko wapi. Alikuwa hajapata fahamu vizuri. Lasivyo asingeweza kusema vile mbele ya mic na kadamnasi ile. Hata hivyo inaonekana alikuwa hakumbuki ameishia wapi kwenye hotuba mpaka alipoambiwa
Mkuu nilivyotafsiri mimi ni kuwa Jk alikuwa kama amezinduka, kwa hiyo mdomo ulikuwa unaongea tu bila kujua yuko wapi. Alikuwa hajapata fahamu vizuri. Lasivyo asingeweza kusema vile mbele ya mic na kadamnasi ile. Hata hivyo inaonekana alikuwa hakumbuki ameishia wapi kwenye hotuba mpaka alipoambiwa
Acha hizo wewe, mtu anaumwa halafu unasifia ujinga badala ya kulaani wao kumrudisha kuongea wakati he was not fit... we hukuona alivyokua anashindwa kupanga hata karatasi??? When he came back, he was disoriented and that was not good
Ushujaa upi unaoutaka wakati mtu anateseke, kama ni ushujaa, basi angekuja na kusema wazi kwamba alizidiwa na aseme ukweli kuhusu hali yake
nimesoma sehemu wanasema huwa anakaidi baadhi ya ushauri wa madaktari... inabidi apate good washauri nasaha
I believe here in JF is where we dare to talk openly. Nimeambatanisha video iliyokuwa imeondolewa ya JK kuanguka jangwani 2010.
JF is where we dare to talk openly is a Home of Informations. Naomba MODS msihamishe tena hii thread. Bonyeza hapa chini
SEHEMU YA PILI
http://www.youtube.com/v/0S2AE3xXR-...xd0d0d0&hl=en_US&feature=player_embedded&fs=1
Kwa mujibu wa Tanzania Daima;
Alipopanda jukwaani na kuanza kuhutubia tena, Kikwete alianza kwa kusema: ¡°Nimefungulia jamani¡*niliishia hapa kwenye¡*naona wamevuruga hotuba yangu¡±
Shida yangu ni hapo mwisho anaposema naona WAMEVURUGA hotuba yangu.Je mh. Rais anahisi kuwa kuna watu walio nyuma ya tukio la yeye kuanguka?Jus thinkin aloud.
Toka jana ni wewe tu huoni wengine wanaona inawezekana ni uwezo wa GB wa mashine yako.Mkuu umejaribu umeona inaonekana? au ni mashine yangu tu? mbona sioni kitu hapa?