Kikwete aandamwa Marekani

Habari ambazo Tanzania Daima Jumapili imezipata, zimeeleza kuwa Rais Kikwete ambaye tangu alipoingia madarakani, alijenga tabia ya kukutana na Watanzania walio nje ya nchi kila alipofanya ziara zake ughaibuni, safari hii amedaiwa kukataa kukutana na Watanzania wanaoishi nchini Marekani.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka mtandao wa Jambo, Rais Kikwete anadaiwa kukwepa kukutana na Watanzania wa huko ambao walikuwa wakitaka kupata ufanunuzi kutoka kwake kuhusu mwenendo wa mambo ulivyo hivi sasa katika serikali anayoiongoza.

Kwanini huo mtandao msiuseme. Siku ingine muandike Jambo Forums au atleast JF

Inamaana hii news yete iliyoandikwa hapa TZDaima wameitoa hapa.
 
Kwanini huo mtandao msiuseme. Siku ingine muandike Jambo Forums au atleast JF

Inamaana hii news yete iliyoandikwa hapa TZDaima wameitoa hapa.

ni JF hiyo ilikuwa kwenye nyepesi nyepesi wao wakadaka ! no wonder imeandikwa na freemedia !
 
Europe kikwete aliongelea mpira na kufungua vituo vya siasa.Hapa anaongea Dual, Tanzania AD, Muungano wa wa TZ na anaogopa kuongea na watanzania kwa maswali! why because people are tough down here man
 
Europe kikwete aliongelea mpira na kufungua vituo vya siasa.Hapa anaongea Dual, Tanzania AD, Muungano wa wa TZ na anaogopa kuongea na watanzania kwa maswali! why because people are tough down here man


Kamundu
We are also tough down here, and we probably know more than what you guys up there know. It is easy for Tanzanians there in SU to speak because you are not in any threat of being "hit' by a car, or being charged with "possession' of drugs and many others nadhani unajua......The best way is for us to cooperate and wage this war in a different battle field. There is still a long way to go.
 
we also fear to be told we are not tanzanians. but if we fight together we will win.
 
Europe kikwete aliongelea mpira na kufungua vituo vya siasa.Hapa anaongea Dual, Tanzania AD, Muungano wa wa TZ na anaogopa kuongea na watanzania kwa maswali! why because people are tough down here man

I dont think you mean people are not 'tough' in other places, do you? Otherwise I would be curious to know the basis of yor arguments...hope they are not based on soccer and dual citizenship......
 
we also fear to be told we are not tanzanians. but if we fight together we will win.

Yes Mushobozi, if you acuse me of giving kick backs i will silence you by calling you Rwandan, and say that your citizenship is questionable.
 
Back
Top Bottom