TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,265
- 25,539
Niliwahi kusoma sehemu fulani na baadaye nikaambiwa kwa comment hili jambo.
Habari ya jumapili ndugu Mtanzani.
Hili jambo la wasiojulikana limezungumzwa sana kwenye majukwaa mbalimbali na hata JF.
Nimejiuliza mara kadhaa na sijapata jibu kwa hili swali langu, je hawa watekaji ni sehemu ya wananchi wa Tanzania?.
Hawa watekaji ni kikundi kutoka idara gani hapa nchini?.
Naweza kupata jibu au nisipate je ndicho kile kikundi kisichoingiliwa na taasisi au mhimili wowote wa nchi yetu?.
Kwamba bunge lilipitisha azimio kuwa na kikundi maalum ambacho kinaweza kufanya jambo lolote na asiwepo wa kuhoji?.
Maswali ni mengi ila bado kidogo jibu lipatikane.
Bunge halina meno kuhoji wale wanao wapigia kura kutekwa, kuumizwa na kuuawa?
Je, mbunge (mhimili) wangu hana mamlaka niliyomkanidhi kulingana na katiba ya nchi kuhoji watendaji wa serikali inayokuja mtaani kunikamua kodi kwamba mbona mlipa kodi fulani kapotea au kaumizwa na hakuna majibu ya maana?.
Ina maana hicho kikundi kilipewa nguvu kufanya haya au kimeingia mkenge kwa wanasiasa na kasahau target yao ilikuwa ni wavamizi wa nchi yetu?.
PK perspective!.
Habari ya jumapili ndugu Mtanzani.
Hili jambo la wasiojulikana limezungumzwa sana kwenye majukwaa mbalimbali na hata JF.
Nimejiuliza mara kadhaa na sijapata jibu kwa hili swali langu, je hawa watekaji ni sehemu ya wananchi wa Tanzania?.
Hawa watekaji ni kikundi kutoka idara gani hapa nchini?.
Naweza kupata jibu au nisipate je ndicho kile kikundi kisichoingiliwa na taasisi au mhimili wowote wa nchi yetu?.
Kwamba bunge lilipitisha azimio kuwa na kikundi maalum ambacho kinaweza kufanya jambo lolote na asiwepo wa kuhoji?.
Maswali ni mengi ila bado kidogo jibu lipatikane.
Bunge halina meno kuhoji wale wanao wapigia kura kutekwa, kuumizwa na kuuawa?
Je, mbunge (mhimili) wangu hana mamlaka niliyomkanidhi kulingana na katiba ya nchi kuhoji watendaji wa serikali inayokuja mtaani kunikamua kodi kwamba mbona mlipa kodi fulani kapotea au kaumizwa na hakuna majibu ya maana?.
Ina maana hicho kikundi kilipewa nguvu kufanya haya au kimeingia mkenge kwa wanasiasa na kasahau target yao ilikuwa ni wavamizi wa nchi yetu?.
PK perspective!.