Kikosi Bora CAF champions league game 5, Simba babalao

mugah di matheo

JF-Expert Member
Jul 28, 2018
6,276
12,335
Kikosi hicho hapo .
Simba wa 4.
Kapombe
Kanuti ,chama
Baleke

Sio bure hii Caf ni Simba watupu
IMG_20230321_200558.jpg
 
Acha kumuhusisha Mungu na UPUMBAVU.

Mungu yupi anayewaambia Makolokolo manyau meusi yakatize katikati uwanjani kabla ya mechi?

Mungu yupi anaruhusu moto uwashwe uwanjani?
Kwani ni Mungu yupi kwenye vitabu vya dini anayesema wenye dhambi wachomwe moto?

Kwa hiyo Mungu anavyo koka moto kule jehanamu naye ni mshirikina?

Huoni hapo moto waliochoma Simba ni kama ishara ya kuteketeza nguvu za uovu?
 
Nakumbusha tu kuwa kipindi hiki ndio hatua ya mwisho ya mgonjwa kukata roho. Hata misimu ya nyuma ndio furaha iliyokuwa inasherehekewa na mashabiki ( man of matches na team of the week) halafu ikifika robo ndio kilele chao cha mafanikio. Kombe lao ni la robo, man of the matches na team of week. Wakati wengine wanasherehekea kombe. Ushamba ni mzigo
 
Acha kumuhusisha Mungu na UPUMBAVU.

Mungu yupi anayewaambia Makolokolo manyau meusi yakatize katikati uwanjani kabla ya mechi?

Mungu yupi anaruhusu moto uwashwe uwanjani?
Tuache utani japo mimi Simba ila majina mliyotubatiza huwa yananichekesha sana eti kolowizard mara makololo hahaha dah huwa nacheka sana.
 
kwenye kombe la loser hakuna kuchagua mchezaji Bora wawiki Wala timu ya wiki?

nauliza hivyo mana watani zetu wametokea kutuiga kakazao tukifanya hivi nao wanaiga wanafanya
inabidi waige na hiki kitendo Cha kutoa wachezaji bora ili tujue kuwa wadogo zetu kule looser wameelewa somo la sisi kakazao huku kwenye ligi ya mabingwa
 
Nakumbusha tu kuwa kipindi hiki ndio hatua ya mwisho ya mgonjwa kukata roho. Hata misimu ya nyuma ndio furaha iliyokuwa inasherehekewa na mashabiki ( man of matches na team of the week) halafu ikifika robo ndio kilele chao cha mafanikio. Kombe lao ni la robo, man of the matches na team of week. Wakati wengine wanasherehekea kombe. Ushamba ni mzigo
Hater?!!! Sasa kombe litachukuliwa na timu zote?
 
Acha kumuhusisha Mungu na UPUMBAVU.

Mungu yupi anayewaambia Makolokolo manyau meusi yakatize katikati uwanjani kabla ya mechi?

Mungu yupi anaruhusu moto uwashwe uwanjani?
Unaumia ukiwa wapi ndugu mkalia mwiko?
Naona sasa hivi mko bize kumpa kura zenu karhaba wa al ahly vs chama uto shida san
 
Back
Top Bottom