Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
[h=6]Unadhani watu huwa wanakuwaje Vikojozi??umeanza kulala usingizi mtamu unaanza mara mkojo nao unakuja gafla,halafu kwenda kukojoa unaona uvivu inabidi upotezee,unadhani nini kitafwata?halafu sometimes unakuta kama unaota vile unakojoa halafu unarusha mkojo mbaliiiiiii,kumbe siyo ndoto unajikojolea live.
[/h]
[/h]