Luushu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 812
- 468
Napenda kuwatangazia wana jimbo la Iramba magharibi waishio Dar es salaam kutakuwa na kikao msimbazi centre tarehe 16/9/2012 kuanzia saa tisa kamili ukumbi mpya ( MADA KUU ) kujadili masuala ya maendeleo ya jimbo letu. Kikao hiki sio cha kichama karibuni sana