Nimetaarifiwa hali ya kiusalama ni tense na tete sana anything could happen...
Well, yote haya yanatokea kwasababu za ubinafsi na uchoyo wa viongozi wetu wakuu wa bara na visiwani.
Haya yanatokea coz viongozi wetu hata watoe maamuzi mabaya na machafu ya wazi hakuna wa kuwakemea. Staili zao za kuongoza kibabe kwa kutumia itikadi za kinafiki ndani ya CCM zinatufikisha tulipo. Watu wachache sana wanaingia madarakani with merits coz of their BRAIN POWER lakini majority ni kwa know who na kujikomba.
Naomba tujadili hivi faida za muungano kwa sasa na miaka 50 ijayo ni zipi na kwa watu gani?
Je muungano ukivunjia kesho hasara zake ni zipi?
What is the weighted average of the pros and cons should the Union breakup?
Is it a win win or who is the looser?
Well, yote haya yanatokea kwasababu za ubinafsi na uchoyo wa viongozi wetu wakuu wa bara na visiwani.
Haya yanatokea coz viongozi wetu hata watoe maamuzi mabaya na machafu ya wazi hakuna wa kuwakemea. Staili zao za kuongoza kibabe kwa kutumia itikadi za kinafiki ndani ya CCM zinatufikisha tulipo. Watu wachache sana wanaingia madarakani with merits coz of their BRAIN POWER lakini majority ni kwa know who na kujikomba.
Naomba tujadili hivi faida za muungano kwa sasa na miaka 50 ijayo ni zipi na kwa watu gani?
Je muungano ukivunjia kesho hasara zake ni zipi?
What is the weighted average of the pros and cons should the Union breakup?
Is it a win win or who is the looser?