Kikao cha NEC Zanzibar: Karume hataki kuongezewa muda!

Aliyekwambia mimi mzanzibar nani?

Unaweka nia yangu kuwa ni kuwatukana watanganyika "wewe unasoma vipi nakuja nia za kila bandiko" umekuwa yahaya eh

Mimi naona wa Tanganyika hawajui adui wao kwamba ni viongozi wao walio na mamlaka ya kijeshi, dola, sheria wanahangaika na wafanyabiashara kina RA hii ni missconception! na wasomi wengi humo JF wanasupport emotionally kwasababu zao za upofu, wivu, ujinga, maradhi na chuki damn! wako nje ya root cause of the problem

(1) Samahani sana kama nimekuelewa vibaya ila post zako zimekuwa zinaashiria imani yangu hiyo ya Uzenji.

(2) Nakubaliana nawe kabisa kwa mtazamo huo kuhusu uzembe wa viongozi wetu wa Tanganyika; 100%
 
Tuko pamoja mkuu lakini cha kukumbuka ni kwamba democracy isiyo na mipaka ina hatari zake.Hata viongozi wa dini hutumia rungu walilokabidhiwa mambo yanapokuwa magumu. Kama kila mtu ataachwa afanye kila analotaka kwa kisingizio cha democracy kumbe kazi ya kiongozi ninini?

Kiongozi yeyote unayemfahamu duniani anatakiwa ku apply ka udikteta kidogo mambo yanapokuwa tough hivyo upole uliokithiri kama kiongozi ni udhaifu!!

Na Demokrasia yenye mipaka si demokrasia asilan, unaweza kutafuta jina jingine ukaipa. Hii ni nchi ya wananchi na wala si nchi ya Rais.
 
Wa kuwakemea viongozi wa Zanzibar kwa sasa hayupo. Muhimu ni kuzingatia KATIBA ya JMT tu.
 
Siasa tu! Hakuna kipya kitatokea leo wala kesho.....naambiwa subura kikao cha CC jumapili utasikia...mmmh wapi bwana! leo jumanneeee......JF kijiwe cha kahawa?!
 
Siasa tu! Hakuna kipya kitatokea leo wala kesho.....naambiwa subura kikao cha CC jumapili utasikia...mmmh wapi bwana! leo jumanneeee......JF kijiwe cha kahawa?!
Jaribu kusoma tena tokea ukurasa wa kwanza hadi hapo ulipotuma posti yako. Soma kila posti bila kuruka hata moja, then utapata jibu kama hapa ni kijiwe cha kahawa ama la!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom