Kigamboni hakuna maji ya bomba tangu Uhuru, neema ya kisima iliyopatikana inapelekwa mjini kabla ya wanakigamboni kupatiwa maji hayo kwanza!
Malalamiko yamepelekwa kwa wahusika kwamba maji yasambazwe kigamboni kwanza kabla ya kupelekwa mjini, hawajatusikiliza!
Tumeamua kufikisha ujumbe wetu kwa wahusika kwa njia ya kishirikina!
Leo tunakutana usiku kufanya maadhimio yafuatayo.
1. Siku ya kuzindua maji yageuke vumbi yakifika mjini.
2. Mabomba ya maji hapo vijibweni mpakani yanayounganisha mjini na kigamboni siku wanawasha yatoke ardhini yasimame wima kama nguzo za umeme
3. Kiongozi atakayezindua maji yavuke mjini ajikojolee mfululizo had pale maji yatakazimwa n.k
Ushirikina siyo dhambi pale unapotumika kwa faida! Hatutanii
Updates
Kikao kiliisha vizuri, kwa kauli moja tulikubaliana hoja namba tatu ipewe kipaumbele!
Malalamiko yamepelekwa kwa wahusika kwamba maji yasambazwe kigamboni kwanza kabla ya kupelekwa mjini, hawajatusikiliza!
Tumeamua kufikisha ujumbe wetu kwa wahusika kwa njia ya kishirikina!
Leo tunakutana usiku kufanya maadhimio yafuatayo.
1. Siku ya kuzindua maji yageuke vumbi yakifika mjini.
2. Mabomba ya maji hapo vijibweni mpakani yanayounganisha mjini na kigamboni siku wanawasha yatoke ardhini yasimame wima kama nguzo za umeme
3. Kiongozi atakayezindua maji yavuke mjini ajikojolee mfululizo had pale maji yatakazimwa n.k
Ushirikina siyo dhambi pale unapotumika kwa faida! Hatutanii
Updates
Kikao kiliisha vizuri, kwa kauli moja tulikubaliana hoja namba tatu ipewe kipaumbele!