myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,811
- 721,136
uchaguzi uwe huru na haki, wananchi tutaamua wenyewe, hayo majina sio ishu, ishu ni kura
Huu ndio mwisho wa chama kimoja kutawala nchi..ni muda wa mabadiliko huu
Makamanda wametweta, Baregu kajiinamia kaficha uso asipigwe picha, Slaa kaduwaa, kwa ujumla makamanda wote hawana sura ya furaha hata chembe, jembe ni jembe limetia timu.
Huu ndio mwisho wa chama kimoja kutawala nchi..ni muda wa mabadiliko huu
CCM mtaongea lugha zote mwaka huu
Kimsingi propaganda ni nyingi sana wakati huu.Hizi picha zimeungwa.Sakafu alipo Baregu na hiyo alipo Msigwa na picha ya Lowasa ni tofauti.Pili bega la kulia la Salimu Mwalimu limekatwa vilevile bega la Lowassa limekatwa kudhihirisha kipande cha picha ya Lowasa kimeingizwa.
Yaani mwaka huu jasho litawatoka magamba
CCM mtaongea lugha zote mwaka huu
Duh! Ina maana tayari wamegawana vyeo?Juzi niliandika hapa kuwa EL atagombea kwa tiketi ya Chadema na mwenza ni yule makamu wa CUF visiwani. Mkanipinga saaaana mpaka uzi ukaondolewa.
Pingeni tena nami nitawataja mawaziri sita wa serikali ijayo.
jaman haya mafuriko ya lowasa yanayokuja ni balaa hakuna cha tingatinga wala buldoza yanasomba kila kitu