Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
baba mdogo wangu ye akilewa anaanza kulia kama mtoto mdogo,ile mnaongea tu mara feelings zinamjia anaanza kulia tu bila
sababu.
hata mie nilikuwa nikikamata konyagi or spirit yoyote kulia ni rahisi saaana lol