The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,847
leo nimejikuta namkumbuka mjomba wangu mmoja.......
hivi...ambae niliwahi kwenda kuishi likizo moja nyumbani kwake....
nilikuwa sijui kuwa mjomba yule mlevi...mbwa...
alikuwa akija home anaonekana mstaarabu....
sasa usiku akirudi ameshalewa ndo anaitisha kikao cha familia....aisee
watoto wote wanaamshwa na mkewe anaitwa na watu wote tulio nyumbani kwake saa hizo
inawezekana ni saa nane au tisa usiku...watu wote wanaamshwa
halafu anaanza kutoa nasaha zake..lol...
ushauri na kuponda kwa wenye makosa na kadhalika...yaani....
yaani watu mna usingizi mnaamshwa kuelezwa umuhimu wa shule kwa mfano...lol..
sikurudi tena nyumbani kwake likizo ilipoisha...but nimekuja kugundua walevi weengi wana vituko mno majumbani mwao
na watoto waliolelewa na walevi wana visa viingi vya kusimulia...
hebu na nyinyi simulieni vyenu...basi.....
hivi...ambae niliwahi kwenda kuishi likizo moja nyumbani kwake....
nilikuwa sijui kuwa mjomba yule mlevi...mbwa...
alikuwa akija home anaonekana mstaarabu....
sasa usiku akirudi ameshalewa ndo anaitisha kikao cha familia....aisee
watoto wote wanaamshwa na mkewe anaitwa na watu wote tulio nyumbani kwake saa hizo
inawezekana ni saa nane au tisa usiku...watu wote wanaamshwa
halafu anaanza kutoa nasaha zake..lol...
ushauri na kuponda kwa wenye makosa na kadhalika...yaani....
yaani watu mna usingizi mnaamshwa kuelezwa umuhimu wa shule kwa mfano...lol..
sikurudi tena nyumbani kwake likizo ilipoisha...but nimekuja kugundua walevi weengi wana vituko mno majumbani mwao
na watoto waliolelewa na walevi wana visa viingi vya kusimulia...
hebu na nyinyi simulieni vyenu...basi.....