Kikao cha CCM mchana huu Dodoma!

Kikao cha CCM mchana huu Dodoma!

Pinda ni mjinga,sio mwerevu. Watu wanafikiri uongozi ni kuwa mpole. Cheo ni dhamana.
Alishindwa kuwasimamiha kazi wahusika wa escrow mpaka baada ya uchunguzi labda ningemwelewa. Bali, alikuwa wa kwanza kusema hela sio za Umma. Ndio uraisi utaweza wwe? Suala hilo lililuwa dogo kujipima na uwezo w kuongoza nchi.
Pinda alitawala Tanzania tutaavaa magunia.
Nipo nawe,maneno yake ya kukurupuka yamemtokea puani; mfano, 'wapigwe tu' na 'fedha za ESCROW siyo za serikali' leo ameumbuka.
 
Katika watu ambao nawakubali kwa utunzi Yeriko namkubali. Nadhani anamkaribia aliyekua Waziri wa Propaganda wa Ujerumani enzi ya Hitler
 
Katika watu ambao nawakubali kwa utunzi Yeriko namkubali. Nadhani anamkaribia aliyekua Waziri wa Propaganda wa Ujerumani enzi ya Hitler, au Mzee yahaya
 
Pamoja na udhaifu wa PM nina shaka kama ataondoka ila ni wazi kwamba. Muhongo, Maswi na CAG wanatoka hii ni kwa sababu CCM psmoja na yote wamekubaliana kwamba serikali yao isianguke kuelekea uchaguzi mkuu
 
Duu....ngoja nika mnunulie mafuta walau lita 5 za kuanzia ruti za nkuhungu, chako ni chako, kisasa, area D, kizota etc mkuu Pinda karibu mnadani kesho tukale nyama choma .

Mkaribishe nyama choma hapo Toroka Uje.Kuna Kitu moto cha kuchoma hapo.
 
Last edited by a moderator:
Kikao cha CCM kimeitishwa mchana huu baada ya mapumziko ya bunge.

Tayari makamu wa rais ameshafika na viongozi waambata wote wa CCM, kinafanyika ukumbi wa White House.

Jambo la kuhashiria kuwa huenda jioni kukawa na breaking news ni kuwa tayari gari binafsi ya waziri mkuu yenye namba za usajiri T 164 AKF aina ya range rover imeshawasili eneo hili sambamba na familia yake.

Habari zilizozagaa toka kwa wabunge hapa ni kuwa jaribio la jana la kuwatuliza wabunge wa CCM limekwama kulingana na michango ya wabunge asubuhi, Sasa wamepanga binu mbili, moja ni kushinikiza bunge liiagize serikali ifanye uchunguzi kupitia ripoti ya CAG, PCCB na mapendekezo ya PAC na kisha bunge lijalo mwakani Feb 2015 serikali ije na majibu.

Na mbinu ya pili ni kukubali yaishe watu wawajibike leo leo.

nimeamini kuwa, yeriko nyerere kweli anatumiwa kihuni na MEMBE. #yeriko_nyerere

Mweee! watu mna roho za kishetani kweli. Na kaburi linawasubiri kwa chumvi na uongo.umeshatudanganya sana humu


Ngoja tusubiri humu.
 
naona mbinu ya kwanza inafanikiwa na ni very boring naenda kulala tu.
 
Na tunakoreekea wamekubali uchunguzi ufanyike. Such a failing parliament.
 
baada ya dr slaa na mushumbusi kuwa wanakutana na sindano za hatari humu jf waliamua kujitoa na kumkabidhi yerico kitengo cha propaganda,jamaa sasa ndo kazi inayomweka mjini,ufundi uashi alishaacha
 
Kikao cha CCM kimeitishwa mchana huu baada ya mapumziko ya bunge.

Tayari makamu wa rais ameshafika na viongozi waambata wote wa CCM, kinafanyika ukumbi wa White House.

Jambo la kuhashiria kuwa huenda jioni kukawa na breaking news ni kuwa tayari gari binafsi ya waziri mkuu yenye namba za usajiri T 164 AKF aina ya range rover imeshawasili eneo hili sambamba na familia yake.

Habari zilizozagaa toka kwa wabunge hapa ni kuwa jaribio la jana la kuwatuliza wabunge wa CCM limekwama kulingana na michango ya wabunge asubuhi, Sasa wamepanga binu mbili, moja ni kushinikiza bunge liiagize serikali ifanye uchunguzi kupitia ripoti ya CAG, PCCB na mapendekezo ya PAC na kisha bunge lijalo mwakani Feb 2015 serikali ije na majibu.

Na mbinu ya pili ni kukubali yaishe watu wawajibike leo leo.
Like ................
 
baada ya dr slaa na mushumbusi kuwa wanakutana na sindano za hatari humu jf waliamua kujitoa na kumkabidhi yerico kitengo cha propaganda,jamaa sasa ndo kazi inayomweka mjini,ufundi uashi alishaacha

Wengine humu jamvini tunafuatilia habari bila kujali nani ameileta. Kama mbofumbofu tunaipuuza, kama ina matinki, tunaifuatilia na kuchangia kama muda upo.

Kwa jinsi Yericko anavyotupasha habari, mimi nampongeza sana. Karibu 90% alerts alozitoa zimekuwa kweli. Kwa nini tusimuamini? Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni.
 
Back
Top Bottom