Kikao cha CCM mchana huu Dodoma!

Kikao cha CCM mchana huu Dodoma!

Tusikubali kudanganywa kuwa fulani kawajibika, not this time. Watueleze ukweli Mechmar ambayo tayari ilikuwa liquidated na mali zake (Ikiwemo plant ya IPTL Tegeta) kuwa chini ya wadai wao waliwezaje kumuuzia PAP hisa hizo 70%?
 
Hapo ni kuwajibika tu. Kuhusu Pinda sina evidence kumshinikiza zaidi ya kusimama kidete na kutetea jambo ambalo halijui undani wake.

Kwa hilo kaonyesha udhaifu wa hali ya juu. Hawezi hata uraisi..
 
Naona hapa majamaa wamisha kubali kutolewa kafara.nina amini leo CAG na Muhongo lazima watachomoka.hapa insu ni pinda
 
Tunaomba ushahidi. Hizi tetesi zako mara nyingi ni uzushi tu.

Mimi binafsi namkubali huyu ndugu Yericko.

Mengi ametuhabaisha na kweli yanatokea. Ni mtu muhimu sana kwani tunajua kinachoendelea kabla yakutokea.

Mfano aliyoyasema Mh. Mwigulu nchemba leo hii, tulishahabarishwa na yericko siku ya Jumapili kuwa kulikuwa na kikao cha siri CCM na mwigulu alitoa msimamo huo kuwa kila mmoja abebe zigo lake, Wawajibishwe wote, Jamaawa TRA afukuzwe kazi na wote wafilisiwe. Na alisema kuwa hatuwezi kuwawajibisha tu na kuwaacha waende likizo na kula pesa zetu.

hivyo namkubali sana Yericko.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
atakuwa ni Lema huyo anaandaliwa kuwa PM
 
Tatizo wengine wakina mwigulu wamekosa mgao ndo maana wanakomaa.
 
Wewe na Yeriko Nyerere ana amecopy na kupaste ya mwenzake au ni mtu mmoja na ID tofauti?
 
Back
Top Bottom