Cybercrime
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 3,246
- 1,113
Teh teh, labda Kibajajiatakuwa ni Lema huyo anaandaliwa kuwa PM
Teh teh, labda Kibajajiatakuwa ni Lema huyo anaandaliwa kuwa PM
UmeonaeUpuuzi mtupu hoja za kutunga hizi.
N tuu i Lema ndo anafaaTeh teh, labda Kibajaji
Nimeshangaa niliona hii mada aliweka yericko huyu naye kaiweka nadhani hawa watu ni id za mtu mmoja.Wewe na Yeriko Nyerere ana amecopy na kupaste ya mwenzake au ni mtu mmoja na ID tofauti?
Naona watu wa LOWASSA mmejipangasijamuona PM leo lakn Katibu Mkuu na Mwenezi walishaweka misimamo yao
Mungu hamfichi mnafiki, kamuumbua Yeriko NyerereNimeshangaa niliona hii mada aliweka yericko huyu naye kaiweka nadhani hawa watu ni id za mtu mmoja.
Mwizi wa maghari tena awe PM?N tuu i Lema ndo anafaa
Wewe ulishadharaulika na uongo wako, kapumzike tu salama
Mwizi wa maghari tena awe PM?
Kikao cha ccm kimeitishwa mchana huu baada ya mapumziko ys bunge, Tayari makamu wa rais ameshafika na viongozi waambata wote wa ccm, kinafanyika ukumbi wa white house, Jambo la kuarishia kuwa huenda jioni kukawa na breaking news nikuwa tayari gari binafsi ya waziri mkuu yenye namba za usajiri T164AKF aina ya range rover imeshawasili eneo hili sambamba na familia yake.
Habari zilizozagaa toka kwa wabunge hapa nikuwa jaribio la jana la kuwatuliza wabunge wa ccm limekwama kulingana na michango ya wabunge asubuhi, Sasa wamepanga binu mbili, moja ni kushinikiza bunge liiagize serikali ifanye uchungu kupitia ripoti ya CAG, PCCB na mapendekezo ya PAC na kisha bunge lijalo mwakani Feb 2015 serikali ije na majibu. Na mbinu ya pili ni kukubali ya ishe watu wawajibike leo leo.
mwigulu amekuwa mzalendo sana kwa leo nimempongeza
ukishaona hivyo ujue anakaribia kuusaka uwaziri wenyeweMwigulu toka alivopata unaibu waziri kabadirika sana sio kama kipindi kile alikuwa wa hovyohovyo sana tena bila staha
amelikuibia lini leta ushahidi acha porojoMwizi wa maghari tena awe PM?
wewe unazidi kujidhalilisha leta ushahidi acha porojo kama za ccmMungu hamfichi mnafiki, kamuumbua Yeriko Nyerere