Except me.
There is no proof of heaven, so do hell!.
Kwa mujibu wa Jehover Witness, Heaven and hell ni hapa hapa duniani!. Kanumba aliishi kwenye paradiso ya dunia hii sasa amehamia kwenye paradiso ya milele!.
Except me.
Wanasiasa watu wa ajabu sana. Kanumba katoa mchango wake kwa taifa na sina shida kama bunge limeona ni inafaa kumkumbuka. Ila nilitaka kujua kwa nini bunge halikusimama kumkumbuka Rt IGP Mahundi aliyekufa hivi karibuni? Ki-utawala nani ametoa mchango mkubwa kati ya Mahundi na Kanumba?
Nchi hii bana full vituko......
Hakuna ubaya wa hilo lakini hii inaonyesha nchi hii inaendeshwa na matukio aka fuata upepo
Hivi wanakufa watu muhimu na wazito wangapi
Binafsi sitaki kuamini Kanumba ni zaidi ya IGP mstaafu
And me
Mkuu sangarara kwani wewe hujui kalitangaza vipi taifa letu?Ameitangaza kivipi? naomba unikumbushe kazi yoyote ya kanumba ambayo ilikuwa imebeba ujumbe wa kitaifa kwa manufaa ya Taifa hili? Acheni kuongozwa na emotions kupita kipimo?
" A nation reveals itself not only by the men it produces but also by the men it honors......." John F. Kennedy
Wanasiasa watu wa ajabu sana. Kanumba katoa mchango wake kwa taifa na sina shida kama bunge limeona ni inafaa kumkumbuka. Ila nilitaka kujua kwa nini bunge halikusimama kumkumbuka Rt IGP Mahundi aliyekufa hivi karibuni? Ki-utawala nani ametoa mchango mkubwa kati ya Mahundi na Kanumba?
Wewe mode na wewe?. Napendekeza sometimes muwe reasonable mtumie japo a little common sense na logic kuunganisha threads. Sasa kama umeifunika ile thread yangu na hii, sasa hapa kuna substance gani ya watu kuchangia?.Ndo wimbo wa taifa umeisha naona kiapo kinahasa
S'ngarara, paradiso ya dunia ni kuishi maisha mazuri na kula raha duniani hapa. Kama wewe raha yako ni kuishi kwenye nyumba nzuri, kuvuta pesa ndefu, kuendesha gari zuri, kula vizuri, kuvaa vizuri, kunywa kwa sana na starehe za kila aina ikiwemo ile starehe kuu!, then hiyo ndio paradiso ya dunia, ukifa sasa ndio unaende kwenye paradiso ya milele ambayo reference ya raha za huko haijawa reported!.Acha kuchanganya watu na maneno ambayo wewe mwenyewe haelewi habari zake. Paradiso ya milele ndio nini?
Unaweza kutuwekea ushahidi hapa kuonyesha kwamba huyu Marehemu alikuwa analipa kodi zote inavyostahili kutoka kwenye mapato yake?
Hivi.......lile bunge lililokataa kujadili mgomo wa madaktari uliopelekea vifo vingi nchini kote ndilo hili lililosimama leo for(a minute silence)au???ebana kweli wangu,haiingii akilini yale ni mazingira ya kampeni ktk chaguzi zijazo,bunge lionekane la wanachi.
Pasco soma vizuri Biblia yako hasa kitabu cha ufunuo kila kitu kiko clear.S'ngarara, paradiso ya dunia ni kuishi maisha mazuri na kula raha duniani hapa. Kama wewe raha yako ni kuishi kwenye nyumba nzuri, kuvuta pesa ndefu, kuendesha gari zuri, kula vizuri, kuvaa vizuri, kunywa kwa sana na starehe za kila aina ikiwemo ile starehe kuu!, then hiyo ndio paradiso ya dunia, ukifa sasa ndio unaende kwenye paradiso ya milele ambayo reference ya raha za huko haijawa reported!.
Except me.
Tofautisha Kanumba na Mahundi,
Yule alikalia kile kiti au kwa kuteuliwa au kupandishwa cheo .
Kanumba ni tarent zake zimelifanya taifa kujulikana na watu kumjua na kumpenda
Je huyo Mahundi alifanya kitu gani cha kipekee kwa taifa kama si kutii ya wakuu wake![/QUOTE
Wakuu, kuwa kiongozi wa kiserikali au kisiasa hakutoshi kupata heshima katika jamii au kukubalika.
Checkout the most influential women/men in the world utawakuta kina Oprah, brad pitt, bill gates etc.
Hawa wote si viongozi wa siasa wala technocrats ila wamegusa maisha ya wengi kwa namna moja au
nyingine. Point ni kwamba huyo IGP aligusaje watu ukilinganisha na Kanumba?
Kanumba ametoa mchango mkubwa sana kwenye tasnia ya filamu, ameitangaza Tanzania Duniani kote so anastahili heshima hiyo