Mkuu wewe ni raia wa nchi gani vile?
So na wewe ulisimama nao kwenye hiyo(minute silence)
Duh una moyo mgumu kama nazi ya kilwa kivinje.
Very very true,nami naomba niweke msisitizo kwa ku quote "A Nation reveals itself not only by the men it produces but also by the men it honors"Quoting Ndinani of Jamii forum as he quoted J. F. Kennedy of USA: " A nation reveals itself not only by the men it produces but also by the men it honors......."
Hivi hapa kosa langu ni lipi?. Kuripoti bunge limesimama dakika moja kuobserve one minute silent!.Mimi nadhan pasco amekuwa mvivu wa kufikiria! Pia naungana na wana bodi wengine wanaosema bahasha zinampoteza huyu ndugu yetu.. Kama huna agenda muhimu soma za wenzako then kaa kimya sio lazima kila siku upost matokeo yake unajidhalilisha kama hivi.. Kumbuka humu ni kwa Great Thinkers .
Kumbe hujui kosa lako???Hivi hapa kosa langu ni lipi?. Kuripoti bunge limesimama dakika moja kuobserve one minute silent!.
Tena honestly nilifungua TV ili kushuhudia kuapishwa kwa Kamanda Nasary!.
Hili tukio hili la a minute silence ya bunge kwa ajili ya Kanumba is not a small thing!.
Wanabodi,
Kosa lako ni hili hapa!
Kikao cha Bunge kimeanza kwa Spika kutangaza wabunge kusimama kwa kimya cha dakika moja ( a minute silence) kumkumbuka Msanii Stephen Kanumba ambae ametoa mchango mkubwa kukuza tasnia ya Filamu Tanzania!.
This is the highest honor ambayo mtu mwingine yoyote non politician amewahi kuipata!.
Kanumba amepata heshima kubwa inalingana na viongozi wakuu wa kitaifa!.
Nami nakiri rasmi Kanumba is really and trully The Great!.
RIP Kanumba The Great!
Wanabodi,
Kosa lako ni hili hapa!
Kikao cha Bunge kimeanza kwa Spika kutangaza wabunge kusimama kwa kimya cha dakika moja ( a minute silence) kumkumbuka Msanii Stephen Kanumba ambae ametoa mchango mkubwa kukuza tasnia ya Filamu Tanzania!.
This is the highest honor ambayo mtu mwingine yoyote non politician amewahi kuipata!.
Kanumba amepata heshima kubwa inalingana na viongozi wakuu wa kitaifa!.
Nami nakiri rasmi Kanumba is really and trully The Great!.
RIP Kanumba The Great!
Una la kujitetea???
Hivi hapa kosa langu ni lipi?. Kuripoti bunge limesimama dakika moja kuobserve one minute silent!.
Tena honestly nilifungua TV ili kushuhudia kuapishwa kwa Kamanda Nasary!.
Hili tukio hili la a minute silence ya bunge kwa ajili ya Kanumba is not a small thing!.
Kanumba ametoa mchango mkubwa sana kwenye tasnia ya filamu, ameitangaza Tanzania Duniani kote so anastahili heshima hiyo
Yessss....Mzee Mahundi !
Sijui vipimo huwa ninini!
Ina maana utumishi wake haukutukuka?
Masahihisho kidogo Mkuu, Simba wataenda kupongezwa Bungeni kwa kufungwa 3-1 na Es Settif kule Algeria then wakapata aggregate favour na kwenda raundi ya pili. haya kwetu ni mafanikio makubwa maana kwenda raundi ya pili imeshaonekana ni ndoto!!nadhani ilitakiwa kwenye dk 1 hiyo ya utulivu Spika angeunganisha vifo vyote viwili ila kwa nimjuavyo mama yetu ukute kapitiwa.
Ila sioni ajabu bunge kuomboleza kifo cha Kanumba, maana hata SImba na Yanga walishaenda bungeni kisa ushindi wa kawaida tu na safari hii huchelewi kusikia Simba wanaenda Bungeni kwa kuwafunga Es Settif.
Very very true,nami naomba niweke msisitizo kwa ku quote "A Nation reveals itself not only by the men it produces but also by the men it honors"
The whole nation has now been officially Kanumbised.............
Wanabodi,
Kosa lako ni hili hapa!
Kikao cha Bunge kimeanza kwa Spika kutangaza wabunge kusimama kwa kimya cha dakika moja ( a minute silence) kumkumbuka Msanii Stephen Kanumba ambae ametoa mchango mkubwa kukuza tasnia ya Filamu Tanzania!.
This is the highest honor ambayo mtu mwingine yoyote non politician amewahi kuipata!.
Kanumba amepata heshima kubwa inalingana na viongozi wakuu wa kitaifa!.
Nami nakiri rasmi Kanumba is really and trully The Great!.
RIP Kanumba The Great!
Mwezi huu huu tumempoteza former IGP,JE na yeye amekumbukwa.Rip H.MAHUNDI