Kijerumani ni kama Kiswahili

Mkuu unabisha tu lakini duniani lugha raisi kwa mswahili kujifunza ni Spanish na Italian. German na French ni lugha ngumu kuliko hizo mbili.

Anyways ni mtizamo wangu. Labda inategemea mtu na mtu.
Ukweli ndo upo hivyo, mbali na mtazamo, hata Mhispanania mwenyewe hasumbuki kusoma maneno ya kiswahili,hili nimelijaribu mwenyewe.
 
Ukweli ndo upo hivyo,mbali na mtazamo,hata mspanania mwenyewe hasumbuki kusoma maneno ya kiswahili,hili nimelijaribu mwenyewe.
Kweli mkuu. Mimi nimejifundisha mwenyewe Spanish (sijasoma shule/chuo chochote) na mpaka sasa nipo vizuri naweza kufanya mazungumzo na mtu yoyote tukaelewana.

Sasa najifunza Mandarin na French.
 
kispanish ni simple sana unatamka neno the same way you read it ila exceptions ni chache sana mfano ña unatamka nya sababu ya hako ka jamaa juu ya n, neno likiwa linaishia na double ll linakua ya mfano LA silla =la siya ,elufi h ni silent in spa mfano heche = eche, j unaitamka kama h eg jose = hose. hadi hapo huwez kushindwa kukitamka kispanish other reasons remain constant. halaf muundo Wa sentence za Spanish hautofautiani
 
Hoja kubwa hapa hatujadili ufundi wa lugha,kwa sababu hata ingawa sisi tumezaliwa katika jamii ya wazungumzaji wa kiswahili lakini bado mfundi wa kiswahili ni wa kutafuta sana,hapa tunazungumzia urahisi wa lugha na lugha gani ambayo ni rahisi na yenye kufanania na kiswahili.
Ndipo hapo!Ninaposema Kijerumani ni Kiswahili baada ya kukifanyia tafiti kwa zaidi ya miaka miwili sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idd Ninga na G-less Antonopoulos , kila mtu aweke sentensi Kama 5 hivi (za kihispania na kijerumani, pia kwenye mabano jinsi ya zinavyotamkwa),wasomaji waamue wenyewe ipi inafanana na Kiswahili kwenye kusoma.
Zanzibar bado inalipa kwa kazi ya kuongoza watalii ? Najua porini (Arusha ilikuwa inalipa sana, tena sana ila watu wanabania sana kule, hawakupi pasi, Zanzibar haiko hivyo).
Mama(mama)
Kaka(mavi)
Nuss(njugu)
Penis(uume)
Komred(rafiki)
Kuh(ng'ombe)
Stunde(lisali) "S" mbele kukiwa na T au P " s "inakuwa = "sh" kwa hiyo neno letu tutalisoma ( sh-tu-nde).
Yapo mengi karibia lugha nzima .
#herufi ambao zinatamkwa tofauti :
-äu =oi häutig tutaitamka (hoi-ti-k)
-eu=oi Deu(doi-)
-ie=idie(di)
-ei=aiai(bai)
Kimsingi,ni mambo madogo hiyo mifano michache tu hapo juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zote mbili naongea ,Ila sikuping kwako huenda nitofaut
Hapa naona wote mko sahihi hata google inasema lugha zoote hizo ni rahisi kwa anae jua kiingereza tayari!! ila navoona waalimu wenu walifanya kila mtu akajua hizo lugha kirahisi!!

msichoke leteni madini tu tuelimishe watu humu huenda tunaweza pata kazi hapo JF! ila kwangu mie naona kiingreza na kijermani ni kama vina fanana sikupata shida kabisa kujifunza.

mpaka mwalimu wangu akasema nimekuja kuwajaribu! najua! ivoivo baadae akawa rafiki yule mdada bana! akawa ananipa topic naenda kufundisha darasa km ana kazi nyingine!
 
Najua French fluent, najifunza Spanish sasa
Nilichoona:

1.Spanish ki matamshi asilimia kubwa sana ni kama Kiswahili.

2.Sheria za grammar kiasi ni kama Kifaransa

3.Ni lugha rahisi kujifunza kwa Mswahili
 
Back
Top Bottom