Kijana wa miaka 18 apelekwa mahakamani kwa kubaka kibibi kizee

kakuruvi

JF-Expert Member
Sep 2, 2009
770
256
Kijana wa miaka 18 anashitakiwa kumbaka bibi kizee wa watu.


Mahakamani.
Hakimu: Bibi, hebu ieleze mahakama kilichotokea.
Bibi Kizee: Nimelala nyumbani kwangu usiku wa manane. Mlango unavunjiliwa mbali na anaingia huyu kijana, aliyesimama pale.
...
Hakimu: Endelea, Bibi.
Bibi Kizee: Si, akanivua nguo zote na kunipanda.
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Akawa anakata kushoto, mimi kulia. Alidhani mimi *****!
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Kila akikata, na mimi najibu!
Hakimu: Sasa tatizo lilokuleta hapa mahakamani ni nini?
Bibi Kizee: Ajenge ule mlango aliouvunja!
 
kumbe yeye shida yake ni mlango kujengwa! kwahiyo akishajenga funguo mmoja akaenao au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom