Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 2,835
- 4,607
Assalam alaykum,
Habari zenu wapendwa
Mimi ni mhitimu wa chuo, ni muaminifu sana kuliko UMUGHAKA uaminifu wake kwa Ally Mpemba.
Nilibahatika kupata ukarani katika Sensa ya mwaka 2022 namshukuru nikapata chochote kitu ila mimi mawazo yangu toka mwanzo nikafuge kuku mna nyenzo zipo za kutosha
Sasa toka nilivoanza mradi wa kufuga kuku nilianza na kuku 200 baadae nikawauza.
Alhamdulillahi nikapata kitu
Sasa mimi nikaendelea na ufugaji hivo hivo japo kipindi cha pili soko likawa gumu sio kama nilivotarajia lakini nashkuru likapita na nikauza kuku.
Sasa nikaweka vifaranga vingine 200 vya broiler ambavyo ndo ninavyo mpaka sasa nategemea baada ya wiki 2 wanaweza kua tayari kwa ajili ya Soko, Baada ya mafanikio ya kujituma huku kuna watu wakaona jitihada zangu leo hii watu wawili kwa nyakati tofauti wakanambia wanataka wawekeze kwenye mradi wangu ili tuje kugawana faida.
Je niwakubalie kwa ombi lao hilo?
Wasiwasi wangu ni kua ufugaji ni risk sanaa sasa siku nikija kuwaambia kuku wamefariki je watanielewa? Natamani ningepata mtu angenishika mkono kwa kunipa hela niukuze mradi halafu nimrudishie pesa yake ila hili la kufanya Partnership mimi naona sijaliafiki.
Ushauri wenu wakuu.
Habari zenu wapendwa
Mimi ni mhitimu wa chuo, ni muaminifu sana kuliko UMUGHAKA uaminifu wake kwa Ally Mpemba.
Nilibahatika kupata ukarani katika Sensa ya mwaka 2022 namshukuru nikapata chochote kitu ila mimi mawazo yangu toka mwanzo nikafuge kuku mna nyenzo zipo za kutosha
Sasa toka nilivoanza mradi wa kufuga kuku nilianza na kuku 200 baadae nikawauza.
Alhamdulillahi nikapata kitu
Sasa mimi nikaendelea na ufugaji hivo hivo japo kipindi cha pili soko likawa gumu sio kama nilivotarajia lakini nashkuru likapita na nikauza kuku.
Sasa nikaweka vifaranga vingine 200 vya broiler ambavyo ndo ninavyo mpaka sasa nategemea baada ya wiki 2 wanaweza kua tayari kwa ajili ya Soko, Baada ya mafanikio ya kujituma huku kuna watu wakaona jitihada zangu leo hii watu wawili kwa nyakati tofauti wakanambia wanataka wawekeze kwenye mradi wangu ili tuje kugawana faida.
Je niwakubalie kwa ombi lao hilo?
Wasiwasi wangu ni kua ufugaji ni risk sanaa sasa siku nikija kuwaambia kuku wamefariki je watanielewa? Natamani ningepata mtu angenishika mkono kwa kunipa hela niukuze mradi halafu nimrudishie pesa yake ila hili la kufanya Partnership mimi naona sijaliafiki.
Ushauri wenu wakuu.