Kijana wa kiume acha kabisa story na wanawake kama huna nia ya kuwala

Kijana wa kiume acha kabisa story na wanawake kama huna nia ya kuwala

mwana itifaki

Senior Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
105
Reaction score
351
Nisiwachoshe

Kama huna nia ya kumla mwanamke acha kabisa story nae. Mademu wengi wanapenda sana mazoea na wanaume lakini deep down wanakua na agenda zaidi hasa kumtumia na kisha kuhakikisha heshima ya mwanaume huyo inashuka.

Naongea from experience furaha ya wanawake wengi ni kuona mwanaume anadharirika kabisa na kupoteza utu wake.

Kupitia kujuana wataleta njaa na wakiona hawawezi kufaidika tena na wewe tegemea dharau na kuchafua heshima yako ishuke na mwisho jamii nzima ikudharau.

Sehemu yoyote kama ofisini au mtaani kama huna nia ya kumla demu fulani usiwe kabisa na story nae ili kuepusha disappointment ndogondogo zinazoweza kuepukika.

Nadhani naturally mwanaume na mwanamke hawajaumbwa kukaa pamoja.
 
labda uniambie acha kukaa na mademu wa uswazi

ila kuna wengine wa kisha wazungu tu

Sifa zao
Wanapenda kufanya mazoezi na gym
Kula health food
Wanapenda kutalii
Wanapenda clubbing au karaoke kama hanywi
Hao ishi nao ndo kampani yangu sana..
Ila kwa kuwa labda niko abroad ila hata bongo watakuwa wanapatikana wachache
 
Nisiwachoshe

Kama huna nia ya kumla mwanamke acha kabisa story nae. Mademu wengi wanapenda sana mazoea na wanaume lakini deep down wanakua na agenda zaidi hasa kumtumia na kisha kuhakikisha heshima ya mwanaume huyo inashuka.

Naongea from experience furaha ya wanawake wengi ni kuona mwanaume anadharirika kabisa na kupoteza utu wake.

Kupitia kujuana wataleta njaa na wakiona hawawezi kufaidika tena na wewe tegemea dharau na kuchafua heshima yako ishuke na mwisho jamii nzima ikudharau.

Sehemu yoyote kama ofisini au mtaani kama huna nia ya kumla demu fulani usiwe kabisa na story nae ili kuepusha disappointment ndogondogo zinazoweza kuepukika.

Nadhani naturally mwanaume na mwanamke hawajaumbwa kukaa pamoja.
Kama haifanyi kazi njoo tukupe dawq
 
Nisiwachoshe

Kama huna nia ya kumla mwanamke acha kabisa story nae. Mademu wengi wanapenda sana mazoea na wanaume lakini deep down wanakua na agenda zaidi hasa kumtumia na kisha kuhakikisha heshima ya mwanaume huyo inashuka.

Naongea from experience furaha ya wanawake wengi ni kuona mwanaume anadharirika kabisa na kupoteza utu wake.

Kupitia kujuana wataleta njaa na wakiona hawawezi kufaidika tena na wewe tegemea dharau na kuchafua heshima yako ishuke na mwisho jamii nzima ikudharau.

Sehemu yoyote kama ofisini au mtaani kama huna nia ya kumla demu fulani usiwe kabisa na story nae ili kuepusha disappointment ndogondogo zinazoweza kuepukika.

Nadhani naturally mwanaume na mwanamke hawajaumbwa kukaa pamoja.
Bangi za wakanda forever zinasumbua kichwa chako sio bure😎😎
 
Nisiwachoshe

Kama huna nia ya kumla mwanamke acha kabisa story nae. Mademu wengi wanapenda sana mazoea na wanaume lakini deep down wanakua na agenda zaidi hasa kumtumia na kisha kuhakikisha heshima ya mwanaume huyo inashuka.

Naongea from experience furaha ya wanawake wengi ni kuona mwanaume anadharirika kabisa na kupoteza utu wake.

Kupitia kujuana wataleta njaa na wakiona hawawezi kufaidika tena na wewe tegemea dharau na kuchafua heshima yako ishuke na mwisho jamii nzima ikudharau.

Sehemu yoyote kama ofisini au mtaani kama huna nia ya kumla demu fulani usiwe kabisa na story nae ili kuepusha disappointment ndogondogo zinazoweza kuepukika.

Nadhani naturally mwanaume na mwanamke hawajaumbwa kukaa pamoja.
Really 😂 Rayns kula kodi hiyo
 
labda uniambie acha kukaa na mademu wa uswazi

ila kuna wengine wa kisha wazungu tu

Sifa zao
Wanapenda kufanya mazoezi na gym
Kula health food
Wanapenda kutalii
Wanapenda clubbing au karaoke kama hanywi
Hao ishi nao ndo kampani yangu sana..
Ila kwa kuwa labda niko abroad ila hata bongo watakuwa wanapatikana wachache
Daaah ila jeifu kila mtu yuko abroad sema hata mimi location inasoma German 🤣
 
Nisiwachoshe

Kama huna nia ya kumla mwanamke acha kabisa story nae. Mademu wengi wanapenda sana mazoea na wanaume lakini deep down wanakua na agenda zaidi hasa kumtumia na kisha kuhakikisha heshima ya mwanaume huyo inashuka.

Naongea from experience furaha ya wanawake wengi ni kuona mwanaume anadharirika kabisa na kupoteza utu wake.

Kupitia kujuana wataleta njaa na wakiona hawawezi kufaidika tena na wewe tegemea dharau na kuchafua heshima yako ishuke na mwisho jamii nzima ikudharau.

Sehemu yoyote kama ofisini au mtaani kama huna nia ya kumla demu fulani usiwe kabisa na story nae ili kuepusha disappointment ndogondogo zinazoweza kuepukika.

Nadhani naturally mwanaume na mwanamke hawajaumbwa kukaa pamoja.
Sure umenena vyema
 
Daaah ila jeifu kila mtu yuko abroad sema hata mimi location inasoma German 🤣
Ndo hivyo kaka amini tu
Miaka hii mitano nyuma nchi nyingi sana zimetoa scholarship hasa china Taiwan n.k...kwa hiyo hutaki kuamini kama tunapiga shule huku sawa mkuu
 
Daaah ila jeifu kila mtu yuko abroad sema hata mimi location inasoma German 🤣
Mkuu mwishowe utanenepa bure ujue!

Nafsi ukiishaidanganya mwennyewe kuwa nipo Ulaya na kumbe upo Nanjilinji ndani ndani huko, ukaidanganya kwamba wewe ni mmiliki wa mali mbalimbali zisizohamishika na pia una wadhifa mkubwa katika jamii, yaani ni mheshimiwa flani, nafsi huhadaika na itakuamini na kuridhika.

Utashitukia tambi hilo!

Athari za kuidanganya nafsi ni kubwa kuliko faida, maana ikichoka kudanganywa yaweza kupoteza maisha yako.
 
labda uniambie acha kukaa na mademu wa uswazi

ila kuna wengine wa kisha wazungu tu

Sifa zao
Wanapenda kufanya mazoezi na gym
Kula health food
Wanapenda kutalii
Wanapenda clubbing au karaoke kama hanywi
Hao ishi nao ndo kampani yangu sana..
Ila kwa kuwa labda niko abroad ila hata bongo watakuwa wanapatikana wachache
Mkuu from ntwaraaa to abroad 😁
 
Mimi inasoma Seattle, Washington
Hahaha so wasituchanganye kabisa hawa jamaa
Mkuu mwishowe utanenepa bure ujue!

Nafsi ukiishaidanganya mwennyewe kuwa nipo Ulaya na kumbe upo Nanjilinji ndani ndani huko, ukaidanganya kwamba wewe ni mmiliki wa mali mbalimbali zisizohamishika na pia una wadhifa mkubwa katika jamii, yaani ni mheshimiwa flani, nafsi huhadaika na itakuamini na kuridhika.

Utashitukia tambi hilo!

Athari za kuidanganya nafsi ni kubwa kuliko faida, maana ikichoka kudanganywa yaweza kupoteza maisha yako.
Ahahahahah wacha tujiliwaze tu mkuu maana hatuna option nyingine
 
Back
Top Bottom