Kijana mwenye jinsia mbili

Kijana mwenye jinsia mbili

Inachosikitisha ni kwamba Jamii zetu haziwatambui na kuwapa nafasi watu wa namna hii.

Mimi naomba nimshauri atafute hifadhi kwenye Mataifa ambayo Yanatambua hali kama hizo, Nadhani huko marekani wanatambua, Aende akakae huko atakuwa mtu wa kawaida na pengine atakutana na watu wanaofanana na yeye ambao wapo wazi zaidi
Marekani mbali, aende Kenya hapo tyuuh.
 
Marekani mbali, aende Kenya hapo tyuuh.
Yule wa Kenya alikua Ni mwanamke pure ila mwenye clit ndefu TU, hakuna Cha jinsia mbili Wala nn.

Baada ya uchaguz
Alipelekwa s.africa kupimwa na majibu yakatoka hivo
 
Mtwara, wilaya ya Masasi, Kijiji X, Kitongoji X, nilikutana na mtu mwenye jinsia mbili, Kwa muonekano anaonekana mwanaume lakini ana jinsia mbili, na anaingia period kama kawaida, kilichonihuzunisha ni kwamba akiwa mdogo aliacha shule akiwa darasa la tatu, baada ya wenzake shuleni kuwa wanamcheka, Mungu humpa mtu jaribu analoweza kulimudu, unaweza ukawa una shida umeumbwa nayo, Ila ukisikia ya mwenzako, Unaona heri ya shida zako

#TUSIWATENGE
#TUSIWADHIHAKI
#TUWE SAUTI YAO
#NI WENZETU PIA

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Anti_Gay_and_Lesbian_movements_sign.gif

Nawaona nawaona..
 
Mtwara, wilaya ya Masasi, Kijiji X, Kitongoji X, nilikutana na mtu mwenye jinsia mbili, Kwa muonekano anaonekana mwanaume lakini ana jinsia mbili, na anaingia period kama kawaida, kilichonihuzunisha ni kwamba akiwa mdogo aliacha shule akiwa darasa la tatu, baada ya wenzake shuleni kuwa wanamcheka, Mungu humpa mtu jaribu analoweza kulimudu, unaweza ukawa una shida umeumbwa nayo, Ila ukisikia ya mwenzako, Unaona heri ya shida zako

#TUSIWATENGE
#TUSIWADHIHAKI
#TUWE SAUTI YAO
#NI WENZETU PIA

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hujui kwa sasa ana hali gani
 
Kenya wanawatambua hao watu, kuna jina wanaitwa huko.

Ni ngumu sana kuish ivo aisee, kishule shule ukiwa na kasura ka kike tu utataniwa balaa, hiyo hali yake ni lazma atakua anazodolewa sana.

Mcheki huyo cocastic , huenda kweli ana namna ya kumsaidia.
 
Kenya wanawatambua hao watu, kuna jina wanaitwa huko.

Ni ngumu sana kuish ivo aisee, kishule shule ukiwa na kasura ka kike tu utataniwa balaa, hiyo hali yake ni lazma atakua anazodolewa sana.

Mcheki huyo cocastic , huenda kweli ana namna ya kumsaidia.
Wanaitwa khuntha,Kuna mzee mitaa ya tungi tmk alikua hivyo,kinyemela alikua anabandiliwa na mzee mwenziye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom