NYOLODO
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 12,111
- 27,709
Mm natk tujenge maisha mwambie. Au hajakubal kama yey mwanamke had Leo?Hapana siri mimi ni mtu wa nne kuijua hapendi kujulikana
Mm natk tujenge maisha mwambie. Au hajakubal kama yey mwanamke had Leo?Hapana siri mimi ni mtu wa nne kuijua hapendi kujulikana
Ukweli mzitoShule zetu nyingi zimenyanyasa sana watu wenye ulemavu ama upungufu wa jambo fulani .
Mm nakumbuka shule ya msingi kuna jamaaa alikua anamatatizo ya kusikia mpaka uongee kwa sauti kidogo ndo anasikia watu darasani walikua wanamtukana yy anajibu ndio ...kumbe mtoto wa watu hajasikia kaona akubali tu basi wanamchekaaaa..hali hii ilimfanya awe anajitenga sana na watu.Mm nikaanza kujenga nae ushikaji akawa mwanangu sana na mm nilikua kilanja nilipiga mkwara mzito plus na kugawa ngumi kwa wale wabishi ndo ikawa nafuu kwake.
Huwezi amini mpaka leo kawa km ndugu na maisha yake yako good tu.
Hata watoto wetu jamani tukikaa nao ukasikia anasema kuna mwanafunzi hana akili ama ana mapungufu fulani mkanye asimcheke wala kumdhiaki.
Sorry kwa kuulizaHapana siri mimi ni mtu wa nne kuijua hapendi kujulikana
Nimeishiwa maneno🙌🙌Najua u mshauri mzuri mamy, tia neno
Wee huyawezi? Acha kudhihaki binadamu mwenzio, lol.Haya masuala anayaweza [mention]cocastic [/mention] na labda binamu warumi hapo umuunganishe aweze kupata msaada zaidi,
Yaan watu mshaanza kuhisi vitu tofauti khaaaaah.Tunaijua hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hilo nu lakooo, mie halinihusuuuu.apo kwenye hasa me kuwa kama ke pame maliza ubishi woote leo Jibu nime lipata sasa
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Yaan watu wengine hawajali matatizo ya wenzao, hasa yaliyo automatically. Inaumizaa mnooo.Shule zetu nyingi zimenyanyasa sana watu wenye ulemavu ama upungufu wa jambo fulani .
Mm nakumbuka shule ya msingi kuna jamaaa alikua anamatatizo ya kusikia mpaka uongee kwa sauti kidogo ndo anasikia watu darasani walikua wanamtukana yy anajibu ndio ...kumbe mtoto wa watu hajasikia kaona akubali tu basi wanamchekaaaa..hali hii ilimfanya awe anajitenga sana na watu.Mm nikaanza kujenga nae ushikaji akawa mwanangu sana na mm nilikua kilanja nilipiga mkwara mzito plus na kugawa ngumi kwa wale wabishi ndo ikawa nafuu kwake.
Huwezi amini mpaka leo kawa km ndugu na maisha yake yako good tu.
Hata watoto wetu jamani tukikaa nao ukasikia anasema kuna mwanafunzi hana akili ama ana mapungufu fulani mkanye asimcheke wala kumdhiaki.
Ooooh ouk poaaaah!!!Nitajaribu kumweleza akikubali basi nitakupa mawasiliano naye
Warumi hatunae tenaHaya masuala anayaweza [mention]cocastic [/mention] na labda binamu warumi hapo umuunganishe aweze kupata msaada zaidi,
Angalia na ww usije kuingia kichwa kichwa ukapoteza focus yakoDuuuh poleee yake na nimeingiwa na huruma mnooo.
Km kweli, niunganishe nae najua jinsi ya kumsaidia. Seriously!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas sawaaahAngalia na ww usije kuingia kichwa kichwa ukapoteza focus yako
Maswali
Ilikuwaje utoto wake wazazi wake walimficha wapi kivip ,je wazazi wake walimlinda muda wote hadi kufikia miaka 25 ,kuna harufu ya utapeli hapa na uongo mwingi ,
Sikata watu wanamna hyo wapo ila siyo wa huyu wa mleta mada
Vip kuhusu walimu walio mfundisha hawakujuwa
Wadogo zake walikuwa wapi
Mm nitakuwa wa mwisho kuamini story hii ni ya kusadikika sana
Nimejiuliza maswal mengi sna ila niishi hapo kukupa taadhari usje kupoteza focus yako
Unataka umsagee au umtafutie basha?!Nimeingiwa na moyo wa kumsaidia huyo mtu km n kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimejikuta nachekaa mnooo.Unataka umsagee au umtafutie basha?!
Halafu wewe uje PMDuuuh poleee yake na nimeingiwa na huruma mnooo.
Km kweli, niunganishe nae najua jinsi ya kumsaidia. Seriously!!
PM kuna nn?Halafu wewe uje PM
Watu weusi bado tuna safari ndefu sana.Kipind naanza form one shule niliyokuwa nasoma enzi izo, palikuwa na jamaa ana tatizo ilo sema alikuwa yuko form 2 alinizidi kidato kimoja...Alikuwa anapata manyanyaso alikuwa na jinsia mbili na viungo vyote vya uzazi kama watu wanavyosema.
Finally,alikuwa njema darasani sana ila alikuja kuacha shule sijajua aliendea wapi? ila form three hakwenda ..Kuna kipind mother wake alikuwa anakuja shule kushtaki jinsi mwanae anavyozodolewa na wenzie mpaka kweny school baraza tukiwa tunataka kufunga shule ishu iliongelewa.
Nimekumbuka mbali sana .