Kijana mwenye jinsia mbili

Kijana mwenye jinsia mbili

Nna rafiki angu yupo km huyo anaezungumzia mtoa mada, kamaliza UDSM 2020. Now yuko Nairobi anaishi huko.

Hata huyu ntampa namna ya at least ajisikie furahaa na amani.
Ni vyema sana ukafanya hivyo katika pita pita zangu mitandaoni nchi ya Kenya imepiga hatua kubwa sana katika kuwatambua watu hawa (, transgender etc n) na kufikia hatua ya kutenga Siku Yao maalumu

Hii imewajengea kujiamini na kujitokeza na kuamini kuwa wao nao ni binadamu na kilichojitokeza na mpango tu wa Mungu kimaumbile!

Tanzania bado hii Iko chini sana na hawa watu wapo tena kwa idadi kubwa tu sema namna ya kujitokeza katika jamii ambayo haijaelimika na kujua kuwa kuna binadamu wa Aina Hiyo inakua ngumu! Wanaishia kujificha na kuishi maisha ya wasi
wasi mwingi!
Kama waziri husika anasoma hapa akajifunze Kenya wamefanyaje..

Mkuu kama una nafasi na unawiwa kumsaidia tafadhali fanya hivyo.

 
Ni vyema sana ukafanya hivyo katika pita pita zangu mitandaoni nchi ya Kenya imepiga hatua kubwa sana katika kuwatambua watu hawa (, transgender etc n) na kufikia hatua ya kutenga Siku Yao maalumu

Hii imewajengea kujiamini na kujitokeza na kuamini kuwa wao nao ni binadamu na kilichojitokeza na mpango tu wa Mungu kimaumbile!

Tanzania bado hii Iko chini sana na hawa watu wapo tena kwa idadi kubwa tu sema namna ya kujitokeza katika jamii ambayo haijaelimika na kujua kuwa kuna binadamu wa Aina Hiyo inakua ngumu! Wanaishia kujificha na kuishi maisha ya wasi
wasi mwingi!
Kama waziri husika anasoma hapa akajifunze Kenya wamefanyaje..

Mkuu kama una nafasi na unawiwa kumsaidia tafadhali fanya hivyo.

Ahsanteeeee sanaaaa, Kenya ishapiga hatua ktk masuala ya ujinsiaa, ndo maana hata watu wa huku wenye matatizo ya ujinsia au mfumo huo wanakimbilia kuishi kule ili wapate uhuru, amani na furaha.

Nashukuru kwa links nitaisoma kwa umakini.
 
Ila kwa kweli mtu anajikuta katika hii dunia anapata mateso makali bila ya kuwa na makosa kwa vile kazaliwa automatically hamna jinsi.
Sasa jamii au watu ndo hawataki hata kuelewaaa, yaan sijui hata nn kifanyikeee.
 
Haya masuala anayaweza [mention]cocastic [/mention] na labda binamu warumi hapo umuunganishe aweze kupata msaada zaidi,
 
Kwanza mshukuru Mungu kwa kuwa mzima bila kasoro yoyote kama ulivyo, sasa twende kwenye mada.

Kuna kijana mmoja tulikutana kwenye group moja la Dini, baada ya mimi kushusha nondo flani na makala zilizoshiba kuhusu imani na changamoto tulizonazo.

Kijana akaja inbox na ikawa mazoea kunitafuta na kuomba ushauri tu wa kiimani, ila baadae alinifungukia "Kaka maisha yangu siyaelewi nahisi nilizaliwa huku Duniani bahati mbaya. Kaka mimi sio mwanaume kama ninavyojiweka wala sio mwanamke". Nilishtuka sana kisha nikamuuliza kwanini unasema hivyo?

"Kaka mimi nina uume kama mwanaume na uke kama mwanamke na hii siri anayo baba na mama tu. Napata shida sana kujua mimi ni nani, na Dunia itanitambuaje. Natamani sana nife mapema nichoka upweke nilionao. Nimechoka sana kaka na ."

Nilimpa pole na kuanza kumuuliza maswali kadhaa kuhusu mwili wake, anapata hedhi kama mwanamke, uume haupo imara sana, anajihisi zaidi mwanamke ila tayari wazazi walimtambulishaga kama mwanaume.

Anatamani zaidi wanaume kimapenzi kuliko wanawake, hivyo anashindwa kujielewa ni upande upi sahihi?

Akaniuliza tena, "Je, nikienda kwa mwanaume sitaitwa shoga na kudharauliwa na kuwa mlaaniwa mbele za Mungu na hata wanadamu. Je sitatengwa? Na je, nikaamua kuwa na mwanamke kwanza ni mwanamke gani atanikubali? Je, sitaitwa msagaji na kuwa mlaaniwa mbele za Mungu na mbele za wanadamu?"

"Kaka nachukia sana maisha yangu, nachukia sana kuzaliwa kwangu Duniani, nimevumilia sana. Nina miaka 25 sasa siijui hatima, naona wivu sana wengine walivyo huru kuoa na kuoana angali mimi hiyo siyo haki yangu wala sifai kuwa miongoni, nishauri nifanyeje?"

Nisaidieni nimshauri nini, alinitumia picha ya jinsia zake pia, nilizifuta baada ya kushindwa kuamini na kuwa mbishi?!
Naweza pata namba yake?
 
Kipind naanza form one shule niliyokuwa nasoma enzi izo, palikuwa na jamaa ana tatizo ilo sema alikuwa yuko form 2 alinizidi kidato kimoja...Alikuwa anapata manyanyaso alikuwa na jinsia mbili na viungo vyote vya uzazi kama watu wanavyosema.

Finally,alikuwa njema darasani sana ila alikuja kuacha shule sijajua aliendea wapi? ila form three hakwenda ..Kuna kipind mother wake alikuwa anakuja shule kushtaki jinsi mwanae anavyozodolewa na wenzie mpaka kweny school baraza tukiwa tunataka kufunga shule ishu iliongelewa.

Nimekumbuka mbali sana .
kwanini lakini tunabagua watu kwa maumbile ambayo kazaliwa nayo kilema ambacho hakuchagua yeye kuwa nacho inauma inaumiza sana
 
Kitaalamu huitwa intersex ni moja ya case za kipekee mno kutokea ila ni very rare .

Na miaka hii ya sasa naona kwa sababu za kimitandao na utandawazi naona wengi wanajitokeza na hata kubadili jinsia husika ambayo hawaitaki.

Hapo itambidi aangalie upande upi ndiyo amezidi zaidi kisha kama atataka akafanye na surgery ya hyo jinsia husika kisha ataanza na hormonal therapy ili kufit zaidi kwenye hiyo jinsia .
 
Yaan Tanzania mtu mwenye matatizo ya hormone, hasa me kuwa km ke, atanyanyaswa na kutengwa mwshoe anaangukia ktk Gayism.

Mtu mwenye jinsia 2 ndo kabisaaa, yaan anaonekana km kiumbe wa ajabu, inatakiwa Elimu ya ujinsia itolewe kwa jamii.
apo kwenye hasa me kuwa kama ke pame maliza ubishi woote leo Jibu nime lipata sasa

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Kipind naanza form one shule niliyokuwa nasoma enzi izo, palikuwa na jamaa ana tatizo ilo sema alikuwa yuko form 2 alinizidi kidato kimoja...Alikuwa anapata manyanyaso alikuwa na jinsia mbili na viungo vyote vya uzazi kama watu wanavyosema.

Finally,alikuwa njema darasani sana ila alikuja kuacha shule sijajua aliendea wapi? ila form three hakwenda ..Kuna kipind mother wake alikuwa anakuja shule kushtaki jinsi mwanae anavyozodolewa na wenzie mpaka kweny school baraza tukiwa tunataka kufunga shule ishu iliongelewa.

Nimekumbuka mbali sana .
Shule zetu nyingi zimenyanyasa sana watu wenye ulemavu ama upungufu wa jambo fulani .
Mm nakumbuka shule ya msingi kuna jamaaa alikua anamatatizo ya kusikia mpaka uongee kwa sauti kidogo ndo anasikia watu darasani walikua wanamtukana yy anajibu ndio ...kumbe mtoto wa watu hajasikia kaona akubali tu basi wanamchekaaaa..hali hii ilimfanya awe anajitenga sana na watu.Mm nikaanza kujenga nae ushikaji akawa mwanangu sana na mm nilikua kilanja nilipiga mkwara mzito plus na kugawa ngumi kwa wale wabishi ndo ikawa nafuu kwake.
Huwezi amini mpaka leo kawa km ndugu na maisha yake yako good tu.
Hata watoto wetu jamani tukikaa nao ukasikia anasema kuna mwanafunzi hana akili ama ana mapungufu fulani mkanye asimcheke wala kumdhiaki.
 
Shule zetu nyingi zimenyanyasa sana watu wenye ulemavu ama upungufu wa jambo fulani .
Mm nakumbuka shule ya msingi kuna jamaaa alikua anamatatizo ya kusikia mpaka uongee kwa sauti kidogo ndo anasikia watu darasani walikua wanamtukana yy anajibu ndio ...kumbe mtoto wa watu hajasikia kaona akubali tu basi wanamchekaaaa..hali hii ilimfanya awe anajitenga sana na watu.Mm nikaanza kujenga nae ushikaji akawa mwanangu sana na mm nilikua kilanja nilipiga mkwara mzito plus na kugawa ngumi kwa wale wabishi ndo ikawa nafuu kwake.
Huwezi amini mpaka leo kawa km ndugu na maisha yake yako good tu.
Hata watoto wetu jamani tukikaa nao ukasikia anasema kuna mwanafunzi hana akili ama ana mapungufu fulani mkanye asimcheke wala kumdhiaki.
Kwa hii dunia watapata malipo yao tu...Watakuja kuzaa watoto wenye matatizo kama hayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom