Kijana mwenye jinsia mbili

Kijana mwenye jinsia mbili

Kama amekubali jinsia ya kike nipe nambake instead kupata tabu mtu kumtongoza then akaona alivyo na kumshangaa nk nipo hapa ku date nae
 
Kama amekubali jinsia ya kike nipe nambake instead kupata tabu mtu kumtongoza then akaona alivyo na kumshangaa nk nipo hapa ku date nae
Ni mkristo anapenda Dini sana je ndoa itafungwa ili usiwe uasherati ?.
Je wewe utafeel unatoka na mwanamke au unatoka na shoga?? Je ni kweli upo tayari kumpokea alivo na hautakaa umtamkie maneno mabaya kuhusu maumbile yake ?
Maana ana moyo dhaifu sana kuvumilia na kubeba hili
 
Ni mkristo anapenda Dini sana je ndoa itafungwa ili usiwe uasherati ?.
Je wewe utafeel unatoka na mwanamke au unatoka na shoga?? Je ni kweli upo tayari kumpokea alivo na hautakaa umtamkie maneno mabaya kuhusu maumbile yake ?
Maana ana moyo dhaifu sana kuvumilia na kubeba hili
Yes nipo tayari nitamfeel as mwanamke chamsingi mengine tutajua na kufahamiana zaidi Inbox
 
Kwanza mshukuru Mungu kwa kuwa mzima bila kasoro yoyote kama ulivyo, sasa twende kwenye mada.

Kuna kijana mmoja tulikutana kwenye group moja la Dini, baada ya mimi kushusha nondo flani na makala zilizoshiba kuhusu imani na changamoto tulizonazo.

Kijana akaja inbox na ikawa mazoea kunitafuta na kuomba ushauri tu wa kiimani, ila baadae alinifungukia "Kaka maisha yangu siyaelewi nahisi nilizaliwa huku Duniani bahati mbaya. Kaka mimi sio mwanaume kama ninavyojiweka wala sio mwanamke". Nilishtuka sana kisha nikamuuliza kwanini unasema hivyo?

"Kaka mimi nina uume kama mwanaume na uke kama mwanamke na hii siri anayo baba na mama tu. Napata shida sana kujua mimi ni nani, na Dunia itanitambuaje. Natamani sana nife mapema nichoka upweke nilionao. Nimechoka sana kaka na ."

Nilimpa pole na kuanza kumuuliza maswali kadhaa kuhusu mwili wake, anapata hedhi kama mwanamke, uume haupo imara sana, anajihisi zaidi mwanamke ila tayari wazazi walimtambulishaga kama mwanaume.

Anatamani zaidi wanaume kimapenzi kuliko wanawake, hivyo anashindwa kujielewa ni upande upi sahihi?

Akaniuliza tena, "Je, nikienda kwa mwanaume sitaitwa shoga na kudharauliwa na kuwa mlaaniwa mbele za Mungu na hata wanadamu. Je sitatengwa? Na je, nikaamua kuwa na mwanamke kwanza ni mwanamke gani atanikubali? Je, sitaitwa msagaji na kuwa mlaaniwa mbele za Mungu na mbele za wanadamu?"

"Kaka nachukia sana maisha yangu, nachukia sana kuzaliwa kwangu Duniani, nimevumilia sana. Nina miaka 25 sasa siijui hatima, naona wivu sana wengine walivyo huru kuoa na kuoana angali mimi hiyo siyo haki yangu wala sifai kuwa miongoni, nishauri nifanyeje?"

Nisaidieni nimshauri nini, alinitumia picha ya jinsia zake pia, nilizifuta baada ya kushindwa kuamini na kuwa mbishi?!
Je anaomba zile siku za mwezi?
 
Dah! pole yake sana kuna muda ukisoma shida za wengine unaona yakwako ni afadhali.
 
\0/*\0/😵\0/😵\0/\0/\0/\0/\0/\0/😵\0/\0*\\0/*\0/\0/\0/\0/*\0/\0/\0/**\0/*😵
 
Nimewahi ona na kuambiwa kuwa chizi anayefurahisha hatoki kwenye familia yenu.

Huyu kijana anapitia magumu sana, suala la kumsaidia hapo ni kwamba afuatane na hisia kali za mwili wake, kisha ahame mji au eneo ambalo watu wanamjua.

Huko aende akiwa muhusika wa Moja kwa moja na jinsia ambayo humletea hisia.

Akiwa na akiba ya mavazi na mahitaji yote muhimu ya jinsia yake ya pili.
Wazazi wamsaidie ktk hili
Shida inakuja pale maumbile ya kike kama maziwa Hana ila ana ndevu kama mwanaume ila jinsia ya kike ndo iko more active.
 
Huyo ni futunura jina lao sahihi na sio wakwanza na anapaswa asijiweke kwenye kundi la watu wenye fikra finyu kwani huwenda ikawa ni moja ya athari za maisha yake, Ila inapaswa achague ni jinsia ipi ayotaka aitumie maishani kisha anaweza fanyiwa sagery za maumbile na asalie kwenye asili moja.

ANGALIZO: Asijaribu kuzitumia jinsia zote kwenye hisia kimapenzi anahitajika kuwa ni Ke au Me ila Me walikua wanakufa sana wakati wa huduma ya matibabu hapo ndipo ilipatikana njia sahihi ya kutatua tatizo na wakapatikana wale shemales kwani si mnawafahamu au?
Kuwa na jinsia mbili ni hitilafu ya kimaumbile wakati wa uumbaji, sasa Kama hao shemale wanafanya ngono kwa njia ya aja kubwa kama hawa niliogoogle nikawaona ni matapeli maana hawana jinsia mbili wanatumia kinyeo kufanya ngono. MASHOGA HAYO. Ni tofauti kabisa na case ya jinsia mbili.
 
Hapa inabidi tuombe ridhaa ya moderator ili niwawekee picha ya mtu wa hivi maumbile yake ya siri yakuaje.

Kwa picha unaweza ukaelewa na kufahamu zaidi nilicho zungumzia hapo awali.
 
Inachosikitisha ni kwamba Jamii zetu haziwatambui na kuwapa nafasi watu wa namna hii.

Mimi naomba nimshauri atafute hifadhi kwenye Mataifa ambayo Yanatambua hali kama hizo, Nadhani huko marekani wanatambua, Aende akakae huko atakuwa mtu wa kawaida na pengine atakutana na watu wanaofanana na yeye ambao wapo wazi zaidi
 
Akienda kuwaona mabingwa, wanaweza kuzuia moja ile lege lege ikaondolewa, na maisha yakaendelea.
 
Kwa bahati mbaya huwa jinsia ya ME inakua imelegea sana halfu imeambatana na KE kwa chini na hapohapo chini ya KE kunakua kumeungana na korodani sasa hebu vuta taswira hapo uyo mtu akifanyiwa upasuaji anakua kwenye hali gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom