Kijana leo umeyateka Magazeti yote huko.

Kijana leo umeyateka Magazeti yote huko.

Kwa hali jinsi ilivyo upande wa pili haitashangaza akigombea na kushinda, kwani hata CCM ikisimammisha taahira akishinda sitashangaa pia ..................

Labda na wapiga kura nao tuwe hivyo.........
 
January angevuta subira kidogo, huenda akawa yeye baada ya Lowassa kumaliza kipindi chake!
 
January angevuta subira kidogo, huenda akawa yeye baada ya Lowassa kumaliza kipindi chake!

Kweli kabisa umri wake una mruhusu avute subira,,,namkubali sana Lowassa mchapakazi sana yule Masai hana blah blah ni vitendo tu.


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Kila mtu ana uhuru wa kusema kile anachojisikia!!kwani urais ni special kwa watu flani tu?go go go january

Ndo hivyo kaisha sema sasa!! lakini akumbuke asije yuko kifungoni kwenye chama chake asije sababisha hali ya hewa kuchafuka na wezake nao wajitokeze.....
 
Huyu ni mswahili akiwa rais mambo yatakuwa yale yale kama jk

Huyu amelelewa na Vasco Dagama na baba yake ni swahiba wake na wote katika utawala walikuwa failures;hivyo nae atakuwa bomu. Hakuna mtu hata mmoja aliyekuwa prote'ge wa Vasco Dagama atakuja kuwa Rais wa hii nchi kwani jamaa utawala wake umeinajisi nchi!!
 
Kumpigia kura huyo padri bora uumpe kura Josephine


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Na wewe kumshabikia huyo mgonjwa Lowassa ni bora umshauri aanze kutumia ARV napema maana urais sio lelemama
 
Huyu ana kila sababu ya kujitangaza kwa sababu yeye sio bata ni kuku
 
Kijana anajitekenya sana.
Nasubiri kauli ya Nape.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom