Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Kwa hiyo unataka kusemaje,tuhalalishe umalaya bcoz alizaliwa bikra,
Kijana Mwanaume shababi anaoa,amilikiwe na anatengeneza jina la ukoo wake
Oa achana na kampeni za kishoga
Hoja yako ni ya ovyo na mfu , nani kwakwambia mtu akiwa hajaoa ndio anakuwa mhasherati ?
Wewe ni nani mpaka utoe hiyo judgement yako ?
Na umefanya hiyo research yako kwa watu gani ?
Na unaweza toa hapa findings za huo utafiti wako tuujadili ?
Au ndio kuandika tu hoja mfu ilimradi kujustify norms , kama ni kujustify norms ukae ukijua kuna jamii cannibalism au kula nyama za watu ilikuwa ni utamaduni na watu walikula nyama za watu na hakuna aliyeshangaa enzi hizo
Nakuuliza wewe , je wewe leo hii unaweza kula nyama ya mtu ?
 
najua unanitrigger kwa kujaribu kunitusi kiintelijensia bahati mbaya sinaga tabia ya kupanic ila nakwambia hivi we endelea kufuga malaya ushauri wangu leo wakati unamuweka mchunguze kinyeo ka kina rinda, nje na hapo endelea kufuga malaya.
Huyu jamaa ndio ovyo kabisa , hajui hata huko kwenye ndoa kuna lundo la waasherati
Au watu wanafikiri kwa nini ndoa zinavunjika sana ?
Si moja wapo ya sababu kubwa ni hiyo ukosefu wa uaminifu ?
 
Kuna pesa inatafutwaga na mtu mmoja?! Lazima mshirikiane
Hebu oa mnachelewesha kina Junior kuanza shule
Halafu mkiolewa mkishafika kwenye ndoa mnaanza dharau na maneno ya kashfa na kudanga mkiulizwa na waume zenu mnawapa majibu ya kishenzi kwamba " Tafuta hela "
Kama ninyi mnajua kutafuta hela kwanini mnaolewa , si mtafute hizo hela na mridhike ?
Kama sio ukupe huo na matatizo ya afya ya akili ni nini ?
Guys ! ,There is more to life than pussy and money
Ukishalijua hili hutakaa ubabaike kiakili na utakuwa moja kati ya watu makini kabisa katika maisha ,
 
Nshakwambia naongea yangu ya moyoni we umekazana na kampeni, hizo kampeni unazijua wewe ila mi naongea yale nimeexperience,
afu nikuulize swali kwani mtu ambaye hataki kuoa ndo anasapoti ushoga,
sema shida ipo hapa mlio kwenye ndoa mnaonaga mabachelor tunashobokewa na watoto wa kike kwa hiyo mna inferiority complex kwa kudhani na wake zenu labda wanatushobokea, hatukogi hivyo na tunaheshimu ndoa za watu walioweza kuvumiliana na kuheshimiana, sema KE asiyejiheshimu akileta shobo tunamtindua tu kibaharia
Hamna watu wazinzi na wanafiki kama hawa walio kwenye ndoa ,
 
TATIZO HIZI BIDHAA ZA NDOA ZINAUZWA BEI SANA SIKU HIZI, IMAGINE UNAAMBIWA ULIPE MILIONI 7 NDIO UPEWE CHOMBO CHA STAREHE TENA USED IN TANZANIA, BORA INGEKUWA USED NJE AU ANGALAU REFURBISHED KAMA SIO ZERO KM. YAANI NIBEBE MAJUKUMU KUJIONESHA KIDUME KWA FATUMA MIDAKO BAADA YA KUKICHAKAZA HUKO AWEEE.
 
Nshakwambia naongea yangu ya moyoni we umekazana na kampeni, hizo kampeni unazijua wewe ila mi naongea yale nimeexperience,
afu nikuulize swali kwani mtu ambaye hataki kuoa ndo anasapoti ushoga,
sema shida ipo hapa mlio kwenye ndoa mnaonaga mabachelor tunashobokewa na watoto wa kike kwa hiyo mna inferiority complex kwa kudhani na wake zenu labda wanatushobokea, hatukogi hivyo na tunaheshimu ndoa za watu walioweza kuvumiliana na kuheshimiana, sema KE asiyejiheshimu akileta shobo tunamtindua tu kibaharia
Ndio maana hata tafiti za NGOs za afya zinasema rate ya maambikizi ya magonjwa ya zinaa kwa wanandoa ni kubwa kuliko kwa ambao hawako kwenye ndoa
 
Malez
Malezi siyo degree ,master au doctorate, malezi ni mchakato unaratibiwa na watu wawili wenye jinsia tofauti kudeliver kila mtu kutokana jinsia yao kwenda kwa zao lao(watoto),

Malezi pesa,gari, nguo nzuri,chakula etc unajua why wazungu wanakila kitu lakini malezi ni zero,mtoto wa miaka 12 akakwambia yeye ni shoga na anawaambia wazazi wake,

Hatufungi maamuz ya mtu ya kutoka,
Ila msituletee kampeni za lucifer yule mpumbavu,zakataa Ndoa
Mungu aliweka ndoa ,huwez kuwa na akili kumzid na vi degree vyako
Kuna vitu vingi vimechangia hali hii iliyopo .
1: Feminism , wanawake kutaka wawe level moja na mwanaume kiutawala ndani ya ndoa
2: Income inequality hasa ya kizazi cha sasa , ni vijana wachache sana wanaaford kuoa na kuhandle pressure za kutunza familia kwa sasa , hii ni sababu kubwa ya kiuchumi na inatokea hata kwenye mataifa makubwa yote unayoyajua tena nchi kama China ,Japan ,Korea,USA NK Hali ni mbaya kuliko unavyoweza fikiri
Kizazi kilichopita waliweza kuoa mapema sababu life conditions za kiuchumi zilikuwa tofauti na wakati huu , ni mwendawazimu ndio anaweza is na kupata watoto wakati yeye mwenyewe ramani hazisomi
3: Kubadilika Kwa perceptions na mitizamo ya kimaisha , watu wanataka freedom na kuishi free life ambalo haliko attached na burden ya kutunza familia , costs and benefits analysis inafanya kazi , kama mtu anaona benefits za kuoa ni chache kuliko costs kwake ,why aoe ?
 
Vijana wengine wanahisi kukataa ndoa ndio kuyashinda maisha wakati si hivyo.! Unaweza ukakataa ndoa na bado ukapigiwa
 
No offense broh, kiuhalisia unaweza Kuta wewe ndio ndio kuna uwalakini kwenye uanaume wako. Why nasema hivyo?

Ndoa ni utaratibu ambao binadamu wameweka ili kuinteract, kuzaliana nk. Kuoa/kuolewa ni jambo muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu, lakini sio jambo la lazima. Hivyo mtu ana hiari ya ama kuingia kwenye ndoa au la. Sasa inapotokea mtu akaamua kutumia uhiari wake kuamua, alafu wewe unasema ana walakini kwenye uanaume wake, jua ni wewe ndio una huo uwalakini.

Siwasupport wenye kampeni ya kataa ndoa, ila siwalaumu maana ni hiari yao. Huwezi jua walikumbwa na nini.

Tofautisha ndoa na mahusiano ya kimapenzi. Mtu anaweza kujihusisha na mapenzi bila kuwa kwenye ndoa.
Nilitaka nimjibu kama hivi ila alivyoandika kwa jazba nikaona hatutaelewana.
 
Wala sijishitukii, kwakuwa kuoa au kuolewa ni "nature", kama ilivyokuwa kwa kula au kwenda haja (kubwa au ndogo). You won't regret these two! Kama ingekuwa kuoa ni fedha, huenda wengi tusingezaliwa!
Hiyo mahari yenyewe ni fedha, utanunua kikoi sijui mbuzi na vitu vingine fedha inatumika hapo. Tuseme umepewa binti bure, unaenda kuishi naye wapi? Nyumba inahitaji kulipiwa kodi. Sasa kama huwezi kulipa hata chumba cha giza, utawezaje kuoa na kulisha chakula?

Ukisema fedha sio kigezo, nipe scenario kwa mwanaume ambaye hana hata sent 1 anawezaje kuoa na kutenda maisha
 
Unaweza kuishi bila ngono? Kama unaweza usioe, ila kama huwezi utakuwa mzinzi/muasherati, Mungu hataki uzinzi so hoja yako haina mashiko. You have misinterpreted the word of God.
Vipi mtu asieamini Mungu,hizi points zako ni valid?
 
Malez
Malezi siyo degree ,master au doctorate, malezi ni mchakato unaratibiwa na watu wawili wenye jinsia tofauti kudeliver kila mtu kutokana jinsia yao kwenda kwa zao lao(watoto),

Malezi pesa,gari, nguo nzuri,chakula etc unajua why wazungu wanakila kitu lakini malezi ni zero,mtoto wa miaka 12 akakwambia yeye ni shoga na anawaambia wazazi wake,

Hatufungi maamuz ya mtu ya kutoka,
Ila msituletee kampeni za lucifer yule mpumbavu,zakataa Ndoa
Mungu aliweka ndoa ,huwez kuwa na akili kumzid na vi degree vyako
Acha kupotosha eti malezi ni mchakato unaoratibiwa na watu wenye jinsia mbili tofauti
Mungu aliwekwa ndoa lini kama huyo mtoto wa wake tu mwenyewe ( Yesu) hakuoa.
Malezi ya watoto ni suala mtambuka linahusu jamii nzima Kwa ujumla wake pamoja na serikali ndio maana kuna watoto yatima wamelelewa vizuri tu Kwenye vituo hivyo na wamekuwa watu wenye Maendeleo na kueleweka kulipo Waliolelewa Kwenye familia
 
Vijana wengine wanahisi kukataa ndoa ndio kuyashinda maisha wakati si hivyo.! Unaweza ukakataa ndoa na bado ukapigiwa
Kwa hiyo kukubali ndoa ndio kuyashinda maisha?
So kwako wewe mtu akishaoa ndio kuyashinda maisha.
Hawa watu sampuli ya kina manara wanao oa Leo na kuacha kesho itakuwa wameyashinda maisha na kupitiliza basi kwani wana ndoa nyingi
 
Acha kupotosha eti malezi ni mchakato unaoratibiwa na watu wenye jinsia mbili tofauti
Mungu aliwekwa ndoa lini kama huyo mtoto wa wake tu mwenyewe ( Yesu) hakuoa.
Malezi ya watoto ni suala mtambuka linahusu jamii nzima Kwa ujumla wake pamoja na serikali ndio maana kuna watoto yatima wamelelewa vizuri tu Kwenye vituo hivyo na wamekuwa watu wenye Maendeleo na kueleweka kulipo Waliolelewa Kwenye familia
Narudia tena wanao wanahasara,
Wewe unahisi pesa ndo malezi🙄🙄
Kazi kweli kweli kumpata baba wa ovyo kama ww
 
Back
Top Bottom