Kijana kinauzwa.

Kijana kinauzwa.

Hayuko serious kbs uyo mtu afu sidhan Kama Mbezi Beach anahifaham vizur Jk Nyerere school na Tangbovu Lutheran church wap na wap? kichwa cha habar na habar yenyewe shingongo type.Wiz Mtupu
 
Hahahahhaha!!! Leo nimecheka sana na nlvosoma comment za wengine ndo kabisaa!!! Kijana kinauzwa?? Hahahah mbav zang
 
kijana? Haiyer kijana gan tena anaeuzwa? Itabid ukaisaidie police utuambie kijana anaeuzwa..teh
 
kiwanja kizuri sana KINAUZWA maeneo ya mbezi beach tangibov karibu NA kanisa la Lutheran neo ni jk nyerere. kimepimwa kabisa NA hatimiliki za kiwanja zipo. NA unaweza kwenda wizara ya ardhi kufatilia.
cubic meter 387
price 200m
mita 20 kwa 16.

kiwanja kina nyumba kabisa.
tuwasiliane.
0713507487
0767507487
0782898210

.......
Hivi kiwanja kinapimwa kwa cubic metre?????......
 
.........
Yaani ni hatari ... uref x upana x kimo.....hapo kwenye kimo ( h) sijui kaipataje I can't imagine..... nimecheka hadi nikalia.....
Cubic metre 387, meter 20 kwa 16
Maana yake 16m*20m*1.209m=387m^3 yaani kimechimbwa 1.209m
 
Jamaa kaingia mitini kabisa hataki hata kurudi tena,cubic metre duh
 
Hii k2 inachekesha sana jaman ! Siwez kuacha kusoma hasa iyo heading na apo kwenye cubic meter.
 
kiwanja kizuri sana KINAUZWA maeneo ya mbezi beach tangibov karibu NA kanisa la Lutheran neo ni jk nyerere. kimepimwa kabisa NA hatimiliki za kiwanja zipo. NA unaweza kwenda wizara ya ardhi kufatilia.
cubic meter 387
price 200m
mita 20 kwa 16.


kiwanja kina nyumba kabisa.
tuwasiliane.
0713507487
0767507487
0782898210

si mchezo. Umetisha mkuu. Mia
 
Back
Top Bottom