Kijana badilika acha huu ujinga mara moja

Kijana badilika acha huu ujinga mara moja

Ukiona unawaza sana kusave hela ndo uwe tajiri ujue bado sana kutajirika hakuna tajiri duniani popote ambae hatumii pesa acheni kudanganyana mtaendelea kujinyima na kuishi kimaskini na bado hela msizione wangapi wanajinyima huku mitaani wanaishi kwa taabu na bado masikini??
Siri ya utajiri haipo kwenye kusave dogo bali ipo kwenye kuwekeza, ongeza vyanzo vyako vya mapato kila siku matajiri wanachowazidi masikini kama nyie wao wanawaza kuingiza pesa nyingi kuliko wanazotumia wakati masikini kama mtoa mada anawaza kukibania hiko kidogo alichonacho kimtoshe
Hakuna tajiri yoyote dogo anayeishi kwa kujibana au kimaskini unavyosema wewe labda utajiri wa ndumba
 
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
aisee inawezekana jamaa kaongea kitu muhimu au kipya kwako. Lakini kwa sisi wengine tushakisikia saaaaaana, na tushajaribu au kuwaona waliojaribu kukifanyia kazi.

Lakini believe me there is no straight way to success. Kama ingekuwepo Basi Kila mtu angeifuata





Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
wote mkifanikiwa, mkitajirika, mkiwa wasomi waliobobea zile kazi za chini ambazo ni muhmu kwa maendeleo atazifanya nani? Ndiyo maana huko Marekani kulikojaa mashule ya kila aia na kila mtoto akitaka anaweza kusoma kufikia ngazi yoyote, bado kuna kazi za chini kama kufagia choo, usadizi hotelini, n.k. Katika mfumo wa kibepari au kijamaa hawa watu ni muhimu. HAIWEZEKANI WOTE TUKAWA MABOSI, WA CHINI ATAKUWA NANI?
 
Ukiona unawaza sana kusave hela ndo uwe tajiri ujue bado sana kutajirika hakuna tajiri duniani popote ambae hatumii pesa acheni kudanganyana mtaendelea kujinyima na kuishi kimaskini na bado hela msizione wangapi wanajinyima huku mitaani wanaishi kwa taabu na bado masikini??
Siri ya utajiri haipo kwenye kusave dogo bali ipo kwenye kuwekeza, ongeza vyanzo vyako vya mapato kila siku matajiri wanachowazidi masikini kama nyie wao wanawaza kuingiza pesa nyingi kuliko wanazotumia wakati masikini kama mtoa mada anawaza kukibania hiko kidogo alichonacho kimtoshe
Hakuna tajiri yoyote dogo anayeishi kwa kujibana au kimaskini unavyosema wewe labda utajiri wa ndumba
 
Ukiona unawaza sana kusave hela ndo uwe tajiri ujue bado sana kutajirika hakuna tajiri duniani popote ambae hatumii pesa acheni kudanganyana mtaendelea kujinyima na kuishi kimaskini na bado hela msizione wangapi wanajinyima huku mitaani wanaishi kwa taabu na bado masikini??
Siri ya utajiri haipo kwenye kusave dogo bali ipo kwenye kuwekeza, ongeza vyanzo vyako vya mapato kila siku matajiri wanachowazidi masikini kama nyie wao wanawaza kuingiza pesa nyingi kuliko wanazotumia wakati masikini kama mtoa mada anawaza kukibania hiko kidogo alichonacho kimtoshe
Hakuna tajiri yoyote dogo anayeishi kwa kujibana au kimaskini unavyosema wewe labda utajiri wa ndumba
Sasa mkurugenzi nikuulize swali moja dogo, utawezaje kuwekeza kama usipo kuwa na akiba, Akiba ni nini, ni kuweka sehemu ya ulichokipata kwa ajili ya kesho. Kwa sababu Bela haijawahi kutosha ndio pale tunapoita kujinyima, kuna vitu ambavyo sio vya msingi, ukijaribu kupunguza matumizi katika vitu hizo ndio itakapopatikana akiba ya ajili ya kesho yako kufanya mambo mbali mbali ikiwemo uwo uwekezaji unao uzungumzia.
 
Boss we una magunia mangapi hadi sasa?

Tuwekee kapicha basi ka madebe yako ya mchele
Kiongozi umemaliza mb zako bure hawa tulishawazoea nisome kwa msoto bado niishi kwa msoto na nisitenge happy day ata siku moja
 
Kweli Mkuu...umenena haswa..Vijana wanawaza papuchi na kujirusha...

Lakini siwashangani Mimi nlikua Nlikua napata hela nyingi...nlikua napanda bajaji,nanunua nguo na viatu na manywele na kupanga nyumba za garama kijitonyama...bila kusahau kununua iPhone kila ikitoka.

Nikikumbuka nasikitika sanaa..japo Sio mzee lakini I wasted my money and time.

Vijana Tumieni pesa na muda vizuri.
Tatizo pesa unayoipata haina consistency. Leo unapata 10000 then 10000 nyingine unaipata after 4 weeks...sio kila mtu anawaza papuchi na kujirusha, kuna vijana wana vision na ndoto kubwa ila vipato sio rafiki. Tatizo connection.
 
Uko sawa mkuu lazima tuwe na matumizi mazur ya pesa lakini siwez kujibana completely wakat God kanibless
 
Au unaweza hifadhi hela zako vizuri ili ufanyie mambo ya msingi ghafla unakufa.... Hela wanachukuwa wafanya kazi wa benki wanagawana.
 
Kweli Mkuu...umenena haswa..Vijana wanawaza papuchi na kujirusha...

Lakini siwashangani Mimi nlikua Nlikua napata hela nyingi...nlikua napanda bajaji,nanunua nguo na viatu na manywele na kupanga nyumba za garama kijitonyama...bila kusahau kununua iPhone kila ikitoka.

Nikikumbuka nasikitika sanaa..japo Sio mzee lakini I wasted my money and time.

Vijana Tumieni pesa na muda vizuri.
Boom hilo la chuo kazini...
 
Habar za muda huu, wana JF ujumbe huu uende kwa kijana yeyote anaitaka kesho iliyo njema.

Matajiri wanaishi kama masikini na masikini kama matajiri, Tajiri ananunua simu ya sh 300,000/= na anatoa 4p airtime ya mwezi mzima.

Masikini ananunua simu ya sh 1,200,000 na anajiunga kifurushi cha tsh 1000/= kwa siku mfanyakazi anapokea mshahara wa tsh 750,000/= na anafanya birthday part ya sh 1,000,000/=

Vijana wa shamba wanaoishi mikoani kazuramimba kila mwisho wa mwezi ananunua debe 6 za mchele, debe moja ni sh 30, 000/= kwa mwezi ni 180,000 Tayari ni gunia moja.

Baadhi ya vijana wa dar wanaweka akiba 180,000/= ya kutumia kila ijumaa na masister duu na kupiga picha za kuweka Instagram.

Kijana wa kigoma anayenunua debe 6 za mchele kila mwezi kwa mwaka anakuwa na jumla ya debe 72 ambazo ni sawa na gunia 12 za mchele mwisho wa mwaka.

Mwaka mmoja una weekend 52 kama wewe ni mzee wa kula bata na kila weekend anatumia sh 100,000 basi kwa mwaka anakuwa anatumia sh 5,200,000/= je hii pesa kama ungeitumia kama yule kijana wa kigoma anayenunua debe 6 kila mwisho wa mwezi unafikiria ungekuwa wapi?

Je unajua magazeti yanayoandika bei za mazao Tanzania? Unajua maana ya standing order back. Tumepewa akili kubwa sana na mwenyezi Mungu ila baadhi ya vijana wanaweka akiba 180,000/= ya kutumia kila ijumaa na masister duu na kupiga picha za kuweka Instagram.

Tumepewa akili kubwa sana na mwenyezi Mungu ila social media imetufanya tupende kusoma udaku na mapenzi.

Badilisha mfumo wa matumizi ya smart phone, ubadili fikra na ufute marafiki wanaokupa habari za umbea.

Change today for the better tomorrow.
Wewe unatumia simu ya tsh ngapi??? And by the way, Maisha ni mafupi sana.
 
Nadhani kigoma inaongoza kwa maendeleo nchi hii kuliko mikoa yote Tanzania
 
Muhubiri 7:7-9
Nenda ukale chakula chako kwa furaha, ukanywe na divai yako kwa moyo mchangamfu, maana Mungu amekwisha ikubali kazi yako. Vaa vizuri, jipake mafuta kichwani. 9Furahia maisha pamoja na mke wako umpendaye muda wote wa maisha yako ya bure ambayo Mungu amekujalia hapa duniani; maana hilo ndilo ulilopangiwa maishani, katika kazi zako hapa duniani.

Hatuwezi kuwa serious na maisha mda wote , hio hela ni ya kuandika tu sio kivitendo maana kabla haijatimia unaskia mjomba ako kameza magugu unatuma hela hio hio ya malengo, Sema tu vijana punguzeni bata muangalie na upande mwingine wa maishs ya maendeleo
 
Habar za muda huu, wana JF ujumbe huu uende kwa kijana yeyote anaitaka kesho iliyo njema.

Matajiri wanaishi kama masikini na masikini kama matajiri, Tajiri ananunua simu ya sh 300,000/= na anatoa 4p airtime ya mwezi mzima.

Masikini ananunua simu ya sh 1,200,000 na anajiunga kifurushi cha tsh 1000/= kwa siku mfanyakazi anapokea mshahara wa tsh 750,000/= na anafanya birthday part ya sh 1,000,000/=

Vijana wa shamba wanaoishi mikoani kazuramimba kila mwisho wa mwezi ananunua debe 6 za mchele, debe moja ni sh 30, 000/= kwa mwezi ni 180,000 Tayari ni gunia moja.

Baadhi ya vijana wa dar wanaweka akiba 180,000/= ya kutumia kila ijumaa na masister duu na kupiga picha za kuweka Instagram.

Kijana wa kigoma anayenunua debe 6 za mchele kila mwezi kwa mwaka anakuwa na jumla ya debe 72 ambazo ni sawa na gunia 12 za mchele mwisho wa mwaka.

Mwaka mmoja una weekend 52 kama wewe ni mzee wa kula bata na kila weekend anatumia sh 100,000 basi kwa mwaka anakuwa anatumia sh 5,200,000/= je hii pesa kama ungeitumia kama yule kijana wa kigoma anayenunua debe 6 kila mwisho wa mwezi unafikiria ungekuwa wapi?

Je unajua magazeti yanayoandika bei za mazao Tanzania? Unajua maana ya standing order back. Tumepewa akili kubwa sana na mwenyezi Mungu ila baadhi ya vijana wanaweka akiba 180,000/= ya kutumia kila ijumaa na masister duu na kupiga picha za kuweka Instagram.

Tumepewa akili kubwa sana na mwenyezi Mungu ila social media imetufanya tupende kusoma udaku na mapenzi.

Badilisha mfumo wa matumizi ya smart phone, ubadili fikra na ufute marafiki wanaokupa habari za umbea.

Change today for the better tomorrow.
Kwahiyo hizo debe akinunua huyo muha anaenda kutunza sio? Kila mtu anatafuta pesa yake kwa matumizi yake.
 
Tatizo pesa unayoipata haina consistency. Leo unapata 10000 then 10000 nyingine unaipata after 4 weeks...sio kila mtu anawaza papuchi na kujirusha, kuna vijana wana vision na ndoto kubwa ila vipato sio rafiki. Tatizo connection.
Umeongelea maisha ya wengi , sio kwamba watu hawataki kuendelea au hawana mkakati unakuta hela unayoingiza mpaka uingize tena hapa kati mambo yamejitokeza ya kutosha unatumia basi kila siku unaanza moja mwisho wa siku unaona utakufa kabla hujaenda hata ufukweni kujionea ya dunia maana ukikaa mahaka uwaze mikakati tu unaweza kujimada
 
Kweli Mkuu...umenena haswa..Vijana wanawaza papuchi na kujirusha...

Lakini siwashangani Mimi nlikua Nlikua napata hela nyingi...nlikua napanda bajaji,nanunua nguo na viatu na manywele na kupanga nyumba za garama kijitonyama...bila kusahau kununua iPhone kila ikitoka.

Nikikumbuka nasikitika sanaa..japo Sio mzee lakini I wasted my money and time.

Vijana Tumieni pesa na muda vizuri.
Na wewe enzi zako kuna wazee walikushauri ukaona wanazingua. Hayo ndio maisha, kila mtu hufurahia maisha kwa namna yake
 
Habar za muda huu, wana JF ujumbe huu uende kwa kijana yeyote anaitaka kesho iliyo njema.

Matajiri wanaishi kama masikini na masikini kama matajiri, Tajiri ananunua simu ya sh 300,000/= na anatoa 4p airtime ya mwezi mzima.

Masikini ananunua simu ya sh 1,200,000 na anajiunga kifurushi cha tsh 1000/= kwa siku mfanyakazi anapokea mshahara wa tsh 750,000/= na anafanya birthday part ya sh 1,000,000/=

Vijana wa shamba wanaoishi mikoani kazuramimba kila mwisho wa mwezi ananunua debe 6 za mchele, debe moja ni sh 30, 000/= kwa mwezi ni 180,000 Tayari ni gunia moja.

Baadhi ya vijana wa dar wanaweka akiba 180,000/= ya kutumia kila ijumaa na masister duu na kupiga picha za kuweka Instagram.

Kijana wa kigoma anayenunua debe 6 za mchele kila mwezi kwa mwaka anakuwa na jumla ya debe 72 ambazo ni sawa na gunia 12 za mchele mwisho wa mwaka.

Mwaka mmoja una weekend 52 kama wewe ni mzee wa kula bata na kila weekend anatumia sh 100,000 basi kwa mwaka anakuwa anatumia sh 5,200,000/= je hii pesa kama ungeitumia kama yule kijana wa kigoma anayenunua debe 6 kila mwisho wa mwezi unafikiria ungekuwa wapi?

Je unajua magazeti yanayoandika bei za mazao Tanzania? Unajua maana ya standing order back. Tumepewa akili kubwa sana na mwenyezi Mungu ila baadhi ya vijana wanaweka akiba 180,000/= ya kutumia kila ijumaa na masister duu na kupiga picha za kuweka Instagram.

Tumepewa akili kubwa sana na mwenyezi Mungu ila social media imetufanya tupende kusoma udaku na mapenzi.

Badilisha mfumo wa matumizi ya smart phone, ubadili fikra na ufute marafiki wanaokupa habari za umbea.

Change today for the better tomorrow.
Hadi sasa wewe mwenyewe umenunua gunia ngapi?
 
Umeongelea maisha ya wengi , sio kwamba watu hawataki kuendelea au hawana mkakati unakuta hela unayoingiza mpaka uingize tena hapa kati mambo yamejitokeza ya kutosha unatumia basi kila siku unaanza moja mwisho wa siku unaona utakufa kabla hujaenda hata ufukweni kujionea ya dunia maana ukikaa mahaka uwaze mikakati tu unaweza kujimada
Popote ulipo kunywa pepsi BIG fohadi atalipa
 
Back
Top Bottom