Kijana atangaza kumng'oa Malecela Mtera

- Hujui histioria mkuu, Mwinyi alimuomba kutoka Jumuiya ya madola na kumpeleka Canada kudai madeni ya EAC kabla ya Iringa, Wildcard mbona unataka kujivua nguo na historia usiyoijua, uliza kwanza kabla hujakurupuka, mzee hajawahi kuwa jobless never! no facts or research no rights to speak!

- Pole sana mkuu historia haindikwi na watu wanaowatwala wengine kwa mabavu, inaandikwa sasa maaana tuko huru! Historia ya Hitler inaandikwa sasa na ndio maana hata movies zake zinachezwa sasa, watu wakiwa huru!

Respect.

FMEs!
Kudai madeni ni ajira gani tena hiyo FMES? Historia huwa inaandikwa bila kujaribu kubadili, kuondoa au kurekebisha chochote. Mazuri ya Mzee wetu huyu yaandikwe kama alivyoyafanya mwenyewe na mabaya sawia. Kama ni movie unataka kutengeneza juu ya Mzee wetu sawa. Hizi zinakuwa na uongo mwingi tu.
 
Kudai madeni ni ajira gani tena hiyo FMES? Historia huwa inaandikwa bila kujaribu kubadili, kuondoa au kurekebisha chochote. Mazuri ya Mzee wetu huyu yaandikwe kama alivyoyafanya mwenyewe na mabaya sawia. Kama ni movie unataka kutengeneza juu ya Mzee wetu sawa. Hizi zinakuwa na uongo mwingi tu.

Thank you for this useful post.
 
Kudai madeni ni ajira gani tena hiyo FMES? Historia huwa inaandikwa bila kujaribu kubadili,kuondoa au kurekebisha chochote. Mazuri ya Mzee wetu huyu yaandikwe kama alivyoyafanya mwenyewe na mabaya sawia. Kama ni movie unataka kutengeneza juu ya Mzee wetu sawa. Hizi zinakuwa na uongo mwingi tu.

- EAC ilipovunjwa na Charles Njonjo, Kenya walaitaka kuzuia kila kitu kwa kisingizio cha kwamba inadaiwa madeni makubwa sana hakutakuwa na cha kugawana, ndio ikabidi kila kitu cha EAC kiwe frozen na wadai wa EAC na nchi zote tatu zzilazimishwe kukutana kwenye meza Canada kugawana madeni na kitakchobaki, WB wakamwabia Mwinyi only Malecela ndiye anayeijua vizuri sana EAC, ndio akaenda kumuomba kule Commonwealth, ninakumbuka katibu wa Jumuiya ile then Mr. Ramphal alivyolalamika kwamba anamuhitaji sana Malecela kule Jumuiya ya madola, inaelekea ni mambo ambayo huyafahamu sasa tulia usomeshwe ndugu na tunaoelewa.

- Wewe na mimi hapa tunajadili historia uchwara, iliyoandikwa na chuki pamoja na fitina, sasa kwa vile tuko huru wewe na mimi tuna haki ya kuchambua ukweli na uongo wake, Malecela kama binadam ana mapungufu mengi sana isipokuwa haina maana kwamba asingiziwe uongo, wakati tunaojua ukweli tupo tutakuwa hatuwatendei wema watoto wetu, historia inaandikwa sasa tukiwa huru! zile enzi za kukimbizwa kama upepo ziliisha!

- Uongo uko kwenu the haters, tizamaa maelezo yako na yangu si unaona ukweli ulipo na uongo ulipo mkuu!

Respect.

FMEs!
 
- EAC ilipovunjwa na Charles Njonjo, Kenya walaitaka kuzuia kila kitu kwa kisingizio cha kwamba inadaiwa madeni makubwa sana hakutakuwa na cha kugawana, ndio ikabidi kila kitu cha EAC kiwe frozen na wadai wa EAC na nchi zote tatu zzilazimishwe kukutana kwenye meza Canada kugawana madeni na kitakchobaki, WB wakamwabia Mwinyi only Malecela ndiye anayeijua vizuri sana EAC, ndio akaenda kumuomba kule Commonwealth, ninakumbuka katibu wa Jumuiya ile then Mr. Ramphal alivyolalamika kwamba anamuhitaji sana Malecela kule Jumuiya ya madola, inaelekea ni mambo ambayo huyafahamu sasa tulia usomeshwe ndugu na tunaoelewa.

- Wewe na mimi hapa tunajadili historia uchwara, iliyoandikwa na chuki pamoja na fitina, sasa kwa vile tuko huru wewe na mimi tuna haki ya kuchambua ukweli na uongo wake, Malecela kama binadam ana mapungufu mengi sana isipokuwa haina maana kwamba asingiziwe uongo, wakati tunaojua ukweli tupo tutakuwa hatuwatendei wema watoto wetu, historia inaandikwa sasa tukiwa huru! zile enzi za kukimbizwa kama upepo ziliisha!

- Uongo uko kwenu the haters, tizamaa maelezo yako na yangu si unaona ukweli ulipo na uongo ulipo mkuu!

Respect.

FMEs!
Ile haikuwa ajira. Iliundwa task force yetu hapa na tulikuwa na wataalam wetu wengi tu. Sio Mzee wetu JSM pekee aliyekuwa anaijua EAC. Waliofanya kazi kwa karibu na Mzee Victor Umbritch mzee JSM sio mmoja wao. Acha hoja zako zijisimamie zenyewe bila kuita watu "haters", waongo,.....
 
Ile haikuwa ajira. Iliundwa task force yetu hapa na tulikuwa na wataalam wetu wengi tu. Sio Mzee wetu JSM pekee aliyekuwa anaijua EAC. Waliofanya kazi kwa karibu na Mzee Victor Umbritch mzee JSM sio mmoja wao. Acha hoja zako zijisimamie zenyewe bila kuita watu "haters", waongo,.....

- Hapana kijana ilikuwa ni ajira na alipewa jina la Balozi Maalum kwa sababu ya ile kazi na kuapishwa na Rais, alikuwa na ofisi maalum ndani ya wizara ya fedha chini ya waziri Msuya, alipewa magari na madreva pia, alikuwa secretary na alitumia muda mwingi sana Canada,

- Pole sana mkuu historia zetu hizi unaona majungu matupu hakuna facts!

FMEs!
 
- Hujui histioria mkuu, Mwinyi alimuomba kutoka Jumuiya ya madola ili akasimamie kudai haki yetu katika EAC na madeni yake kule Canada kabla ya Iringa, na ilikuwa baada ya kushauriwa na World Bank kwamba ni Malecela peke yake ndiye anayeweza ku-deal na hiyo ishu, Wildcard mbona unataka kujivua nguo na historia usiyoijua, uliza kwanza kabla hujakurupuka, mzee hajawahi kuwa jobless never! no facts or research no rights to speak!

- Pole sana mkuu historia haindikwi na watu wanaowatwala wengine kwa mabavu, inaandikwa sasa maaana tuko huru! Historia ya Hitler inaandikwa sasa na ndio maana hata movies zake zinachezwa sasa, watu wakiwa huru!

Respect.


FMEs!

- EAC ilipovunjwa na Charles Njonjo, Kenya walaitaka kuzuia kila kitu kwa kisingizio cha kwamba inadaiwa madeni makubwa sana hakutakuwa na cha kugawana, ndio ikabidi kila kitu cha EAC kiwe frozen na wadai wa EAC na nchi zote tatu zzilazimishwe kukutana kwenye meza Canada kugawana madeni na kitakchobaki, WB wakamwabia Mwinyi only Malecela ndiye anayeijua vizuri sana EAC, ndio akaenda kumuomba kule Commonwealth, ninakumbuka katibu wa Jumuiya ile then Mr. Ramphal alivyolalamika kwamba anamuhitaji sana Malecela kule Jumuiya ya madola, inaelekea ni mambo ambayo huyafahamu sasa tulia usomeshwe ndugu na tunaoelewa.

- Wewe na mimi hapa tunajadili historia uchwara, iliyoandikwa na chuki pamoja na fitina, sasa kwa vile tuko huru wewe na mimi tuna haki ya kuchambua ukweli na uongo wake, Malecela kama binadam ana mapungufu mengi sana isipokuwa haina maana kwamba asingiziwe uongo, wakati tunaojua ukweli tupo tutakuwa hatuwatendei wema watoto wetu, historia inaandikwa sasa tukiwa huru! zile enzi za kukimbizwa kama upepo ziliisha!

- Uongo uko kwenu the haters, tizamaa maelezo yako na yangu si unaona ukweli ulipo na uongo ulipo mkuu!

Respect.

FMEs!

Huu upupu unaoumwaga humu na kujaribu kuuita eti ukweli hakika yatisha. Kama ni historia ndio mnataka kuupindisha kwa makusudi mnayoyajua wenyewe hiyo haitawezekana, siyo kwa sasa wala baadaye. Kama mmeamua kufanya hivyo kwa lengo la kumdhalilisha Mwalimu, hilo hamtafanikiwa kabisa kama ambavyo tamaa za JSM za kukamata uongozi wa taifa ulivyokufa kifo cha mende. Yawezekana hii tabia ya kukurupuka na kusema uongo ni more deeply routed katika gene za watu kuliko wanasayansi wanavyodhani.

Kwa sasa sina muda wa kuchambua yote uliyoyasema ila nikipata muda nitajibu hoja zako zote. Mgawanyo wa mali za EAC ulisimamiwa na Dr. Umbritch na ripoti ilikabidhiwa kwa Mwalimu Nyerere mwaka 1984 kabla hajang'atuka. Kitabu alichoandika Dr. Umbritch ambacho unaweza kukitafuta ukitaka, hakuna popote anapotajwa JSM kama mshiriki.

EAC headquarters in Arusha ceased to function in December 1978 and Dr. Victor H. Umbritch, a Swiss Diplomat, was accepted as the Mediator.
1984 - Mediation agreement ( Agreement for the division of Assets and Liabilities of the former East African Community) is signed in Arusha by Nyerere, Moi and Obote (Presidents of Tanzania, Kenya and Uganda), Article 14 commits them to explore and advise further ares for future cooperation.
Huyo Mwinyi na Malecela wanatokea wapi. Tukumbuke kuwa hela za mafao ya wastaafu wa jumuiya zililiwa wakati wa Mwinyi na wakati huo balozi wetu Uingereza alikuwa Malecela na baada ya hapo akapewa Uwaziri Mkuu na Mwinyi huyo huyo (MOU ?).
Nitaendelea baadaye.
 
Mkuu Mag3.........shukrani kwa ulivyoanza...........

unajua nini Mkuu.......kuna watu wana kisirani kweli kweli na Hayati Baba wa Taifa.....just watch utawagundua tu.........tena wanataja taja majina makubwa ili...........FUNIKA KOMBE..........sasa wewe subiri utaona sarakasi za majina zitakavyomwagwa hapa.....mpaka wengine tunaitwa wakimbizi........dah.......!!
 
Kutokana na uchovu wa kushindwa kushawishi na siasa za chuki alizokuwa nazo mzee Malecela, uchu wa madaraka usiokuwa na kikomo pamoja na kugeuzwa na watu kumi kama taasisi ya Deci, amesababisha maendeleo duni katika Jimbo la Mtera mkoani Dodoma.

Lusinde alifafanua kwamba ameamua kutoa kauli hiyo, kwa kuwa Malecela alikiuka makubaliano waliyoafikiana mwaka 2005 kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu kwamba mwaka huu Malecela, angeachiwa kugombea jimbo hilo.

"Pamoja na Malecela kunilea kisiasa, miaka mitano iliyopita aliniahidi kwamba hatogombea mwaka 2010 katika Jimbo la Mtera, na sio tu kugombea Mzee Malecela alifika mbali zaidi kwa kunibariki kwamba nitakuwa mbunge wa Mtera ninayemfuata yeye.

Mkuu hizi sababu ni za kitoto sana. Nilidhani amakuja na sera mpya ya kuwasaidia wana-mtera kupata maendeleo zaidi. Kumbe ndio hadithi zilezile za Pwangu na Pwaguzi. Nadhani Mzee Malecela aka agwe ameprove kuwa ni veteran politician who can play political cards so well. Huyu mgombea anajidhalilisha mwenyewe bila kujua kuwa anaharibu hata chance ya kupigiwa kura.
Mimi si mwanamtera na sijui kama Malecela ni mzuri, lakini ninachoona ni kuwa huyu jamaa anataka ubunge tu, haleti jipya.
 
Hapa ndipo tunapokosea wakuu,kijana kaamua kugombea sawa,atakuja mwingine atataka kugombea,sawa,ni demokrasia,hakuna anaywazuia....Lakini ni kitu cha ajabu kumtaka mzee JSM asigombee(kwa sababu ya umri),kama katiba inamruhusu agombee nani atamzuia?,hakuna...muacheni mzee Malecela aitumie fursa yake kikatiba bana...Ni wananchi wa Mtera ndo wanaojua nini mzee JSM kawafanyia katika kipindi chote alichokuwa mwakilishi wao bungeni,so tuwaache wao(wananchi wa Mtera) waamue ni nani wanamtaka awe mwakilishi wao Bungeni kwa kipindi cha 2010-2015(tuiache demokrasia ichukue mkondo wake)

Ni hayo tu mkuu

Tatizo ni kwamba mara nyingi, kama si zote, maamuzi ya wananchi huwa hayaheshimiwi. Si huwa wanaiba kura hawa wazee? Ni dhahiri kuwa wana-Mtera wakipewa elimu ya kutosha, hawawezi kumchagua Mzee Malecela. To be honest, huyu mzee amechoka na amepata nafasi nyingi za kuongoza ila hakuna kitu anaweza kujivunia kuwa kilifanyika chini ya uongozi wake na kwa maslahi ya taifa. They are all [Malecela and company. Hata huyu kijana anayejitahidi kumtetea hapa, you can infer he is no different.] inherently greedy and extremely selfish. Mimi ninadhani tunahitaji mtu wa kutusaidia kuwaondoa hawa wazee kwa nguvu. I am sorry but they need to go, kama si kwa hiari yao, they deserve to face a gun barrel.
 
- Huyu kijana Lusinde anasumbuliwa na Shillingi Millioni 50 alizopewa na Makamba ambaye ametumwa na Lowassa, Rostam, na Chenge, ndio maana nilisema hivi huu mjadala ni bure maana hauna masilahi yoyote kwa taifa, huyu kijana ni melvi flani hivi hawezi kutusadia Mtera!

- Wamewapa hizo hela yeye na kituko mwingine anaitwa Anna Claudia ili aende agombee Same, Bwa1 ha! ha! Makambaaa aaaggggjhhhhrrrr!

FMEs!

All is good,lkn kuna kitu kinanishangaza hadi sasa,kwanza imesemwa kuwa ni Mzee Malecela aliyempa kazi ya Ukatibu wa Wilaya ya Kongwa huyu mlevi Lusinde,then akapelekwa Tunduru na sasa Tarime,ilikuaje sasa Mzee Malecela ampe "mlevi"madaraka ya ukatibu wa Wilaya?

Pili,imeelezwa kuwa,Kijana Lusinde alipewa ukatibu wa Wilaya baada ya kuonwa na Mzee Malecela kama ana njaa,hivyo ikaonekana"akipata Ukatibu-Wilaya ataganga njaa yake",ina maana CCM ukiwa na njaa unapewa nafasi bila kuangaliwa kama unafaa kimaadili ikiwemo ulevi,kuwa na njaa ni sifa mojawapo kuupata uongozi ndani ya CCM?

Mwisho,imeelezwa kuwa kijana Lusinde anatumiwa na Makamba,Lowassa,Rostam kumng'oa mzee Malecela Mtera;hata ikaelezwa kapewa milion 50 za kutekeleza kazi hii;ina maana sasa rasmi uongozi wa ngazi za juu wa CCM umebariki rushwa kwenye chaguzi zake?

Madai haya ya ulevi na rushwa ni mazito sana,na ningependa uthibitisho wake tafadhali!
 
Pamoja na thread kukosa objectivity kwa sasa, lakini imenisaidia kujua mambo mengi na kukuza ufahamu wangu juu ya ni aina gani ya watu tuliowapa dhamana ya kutupeleka nchi ya ahadi walivyo. Endeleeni kuvuana nguo.
 
Anayemvaa Malecela ashambuliwa Dodoma

headline_bullet.jpg
CCM wilaya wajitokeza kumpinga
headline_bullet.jpg
Wamlaumu kudai amerithishwa jimbo






Malecela(5).jpg

Mbunge wa sasa, John Malecela.



Wenyeviti na makatibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Mtera, mkoani Dodoma, wameibuka na kupinga madai yaliyotolewa na Katibu wa CCM Wilaya ya Tarime, Livingston Lusinde, kuwa aliahidiwa kuachiwa jimbo hilo na Mbunge wa sasa, John Malecela, katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akisoma tamko la kupinga kauli ya Lusinde kwa waandishi wa habari mjini hapa jana kwa niaba ya viongozi wa CCM jimbo la Mtera, Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Chamwino, Patrick Nyambuya, alisema wanashangazwa na madai hayo yaliyotolewa hivi karibuni na kusema kuwa ni ya uongo.

Mkutano huo ulifanyika katika baa ya Kibarua mjini hapa na kuhudhuriwa na wenyeviti na makatibu zaidi ya 20 wa kata za jimbo la Mtera waliokuwa wamevalia sare ya CCM.

Nyambuya alisema kuwa madai hayo aliyoyatoa Lusinde wakati akitangaza kugombea katika jimbo hilo katika uchaguzi wa Oktoba sio ya kweli na kuonyeza kuwa nia yake ni kumpaka matope Malecela.

Mwenyekiti huyo adai kuwa kauli za Lusinde zimewashangaza viongozi kwani ubunge si ufalme wa kuachiana na kwamba jimbo ni mali ya wananchi, sio la mbunge.

Nyambuya alisema kauli ya Katibu huyo inalenga kumpaka matope Malecela ambaye mpaka sasa nia yake ya kugombea katika uchaguzi ujao haijabadilika.

Alisema ingawa ni haki ya kila mwana-CCM kugombea katika jimbo hilo, lakini ni vyema kauli za wanachama kupakana matope zikaepukwa.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo, wao kama viongozi wa CCM jimboni humo hawana taarifa yoyote kuhusiana na suala la Malecela na Lusinde kuachiana jimbo hilo.

Aidha, Nyambuya alisema madai ya Lusinde kwamba Malecela aliwaaga wananchi wa jimbo lake ni ya uongo kwani hakuna siku ambayo mbunge huyo alitamka kuwaaga wananchi wake kwamba anastaafu ubunge mwaka huu.

"Tunashangazwa na kauli za Livingstone, sisi tunachojua kwa mujibu wa katiba ya chama chetu, kila mwenye nia ya kutaka kugombea nafasi yoyote huchukua fomu na kuomba ridhaa ya chama chake na wanachama kumpendekeza kuwa mgombea kwa nafasi anayogombea, sio anavyodai kuwa aliahidiwa ataachiwa jimbo," alisema Nyambuya.

Hata hivyo, Nyambuya alisema chama kinakemea vikali vitendo vya wana-CCM kupaka wenzao matope kwa nia ya kutaka uongozi na kuonya kuwa watakaoendeleza vitendo hivyo hawatavumiliwa katika chama.

Nyambuya alisema viongozi wa CCM katika jimbo hilo wamewaomba wenye nia ya kugombea wawe waadilifu na waseme ukweli ndani ya chama badala ya kuzua uongo ambao unaweza kuwafarakanisha wanachama wa CCM hasa katika Jimbo la Mtera.
Malecela hajatangaza rasmi nia yake ya kugombea tena kiti hicho ingawa kumekuwepo na taarifa kuwa atagombea kwa mara nyingine.

Hata hivyo, miezi kadhaa iliyopita, uongozi wa CCM Wilaya ya Chamwino ulijtoa tamko la kusifia utendaji wake hususan utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Pia, uongozi wa CCM wa Wilaya ya Chamwino ulimsifia Mbunge wa Chilonwa, Ezekiah Chibulunje, kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Majimbo ya Mtera na Chilonwa yako katika wilayani Chamiwno.
Malecela amekuwa mbunge wa Mtera kuanzia mwaka 1995 hadi sasa. Mwanasiasa huyo mkongwe nchini alishika nafasi nyingi za utumishi wa umma, ukiwemo uwaziri katika awamu ya kwanza na ya uwaziri mkuu awamu ya pili.

Aidha, alishika wadhifa wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara katika awamu ya pili, ya tatu na ya nne hadi alipostaafu rasmi mwaka 2007.

Lusinda bado ni mchanga katika siasa. Alijiunga na CCM miaka kadhaa iliyopita akitokea katika Chama cha National Leaque for Democracy (NLD).
Baadaye aliteuliwa kuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma kabla ya kuhamishiwa Tarime.





CHANZO: NIPASHE



My take:Kama viongozi wote wa CCM Mtera walijikusanya kupinga tamko la Kijana lusinde,pasipo shaka hata kidogo ni wazi kuwa Mzee Malecela ana nguvu sana za kisiasa jimboni Mtera;huyu kijana Lusinde kama sera zake ni hizo"tulikubalina kuachina Mtera"likely hawezi kupata hata kura nusu atakazopata Mzee Malecela!
 
- Hapana kijana ilikuwa ni ajira na alipewa jina la Balozi Maalum kwa sababu ya ile kazi na kuapishwa na Rais, alikuwa na ofisi maalum ndani ya wizara ya fedha chini ya waziri Msuya, alipewa magari na madreva pia, alikuwa secretary na alitumia muda mwingi sana Canada,

- Pole sana mkuu historia zetu hizi unaona majungu matupu hakuna facts!

FMEs!

Mh! FMES bwana! Akaitwa "Balozi Maalum" wa kitu gani? Sio kila uteuzi wa Rais mtu anaapishwa. Uhusiano huu wa karibu wa Mzee Ruksa na JSM ulitokana na utendaji "mzuri" wa JSM nini? Kumbe CCM na Mwalimu wametunyima "Rais" mzuri hivi! Tutaijutia sana nafasi hii.
 
Huyu bwana mdogo inaonekana anataka kugombea ubunge kwa sababu tu ya makubaliano ya kuachiana waliyoyafanya na malecela na sio anataka kugombea kwa sababu an njia na mbinu mpya na mbadala za kuwaletea wananchi maendeleo. Hii ni sababu ya kitoto na ya kipuuzi kabisa . Nafasi ya kugombea ubunge iko wazi kwa kila mtu anayejiona anauwezo wa kufanya hivyo ikiwemo yeye bwana Lusinde. Hakuna mwenye hati miliki ya jimbo la ubunge na wala hakuna swala la kuachiana jimbo kwa makubaliano maalumu.
 
Mkuu Mag3.........shukrani kwa ulivyoanza...........

unajua nini Mkuu.......kuna watu wana kisirani kweli kweli na Hayati Baba wa Taifa.....just watch utawagundua tu.........tena wanataja taja majina makubwa ili...........FUNIKA KOMBE..........sasa wewe subiri utaona sarakasi za majina zitakavyomwagwa hapa.....mpaka wengine tunaitwa wakimbizi........dah.......!!

Ogah,Hakuna anayeweza kuipindisha, kuifuta wala kuiandika upya HISTORIA ya Nchi hii. Vipo vichwa nchi hii vinaijua vizuri nchi yetu. Tucheze tu na siasa za nchi yetu tukidhani haya ni mambo ya kupita. Kama unampenda mtawala/kiongozi yoyote aliyepo/aliyepita tafuta yale unayoona yanakufaa kuwekea kumbukumbu uyahifadhi unavyojua mwenyewe. Vinginevyo kama bado yuko hai endelea tu kumpamba na kunywa nae chai. Migahawa siku hizi iko bwerere.
 
I like this one.........

Mh! FMES bwana! Akaitwa "Balozi Maalum" wa kitu gani? Sio kila uteuzi wa Rais mtu anaapishwa. Uhusiano huu wa karibu wa Mzee Ruksa na JSM ulitokana na utendaji "mzuri" wa JSM nini? Kumbe CCM na Mwalimu wametunyima "Rais" mzuri hivi! Tutaijutia sana nafasi hii.
 
- Hujui histioria mkuu, Mwinyi alimuomba kutoka Jumuiya ya madola ili akasimamie kudai haki yetu katika EAC na madeni yake kule Canada kabla ya Iringa,

Cigwiyemisi John Samwel Malecela alipewa ukuu wa mkoa wa Iringa mwaka 1980 hadi 1984 baada ya kuwa jobless. Kama Waziri aliweka rekodi ya kuwa kiongozi wa kwanza mwandamizi wa serikali kukataliwa na wapiga kura wake wa jimbo la Mvumi kwa mtindo wake wa kutoa matamshi ya dharau na hivyo kupoteza Ubunge. Kama si huruma ya Mwalimu alikuwa amefulia.

na ilikuwa baada ya kushauriwa na World Bank kwamba ni Malecela peke yake ndiye anayeweza ku-deal na hiyo ishu,

Hivi wakati hayo yanatokea huyo unayemwita Mwinyi alikuwa Raisi wa nchi gani kwani Dr. Umbritch aliyeteuliwa kuwa msuluhishi alikabidhi ripoti kwa Raisi wa Tanzania mwaka 1984, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Hiyo World Bank iliyomshauri kumteua Malecela kwa mambo ya EAC ni ya sayari gani ?. Ninavyojua Mwinyi naye kwa kubebwa na Mwalimu aliukwaa Uraisi wa TZ mwaka 1985, sasa hayo ya EAC iliyovunjika mwaka 1977, aliyajulia wapi ?

Wildcard mbona unataka kujivua nguo na historia usiyoijua, uliza kwanza kabla hujakurupuka, mzee hajawahi kuwa jobless never! no facts or research no rights to speak!

Loo, huku kukurupuka sasa ni kama maradhi ya kuambukiza - hiyo research inayokupa right ya kusema uwongo tena jamvini JF ambako kuna watu mahiri ni research gani ?

- Pole sana mkuu historia haindikwi na watu wanaowatwala wengine kwa mabavu, inaandikwa sasa maaana tuko huru! Historia ya Hitler inaandikwa sasa na ndio maana hata movies zake zinachezwa sasa, watu wakiwa huru!

Kama unamsema Mwalimu ngoja nikupe somo. Mwalimu aling'atuka uraisi mwaka 1984 na kung'atuka uenyekiti wa CCM mwaka 1987. Toka 1985 Raisi wa Jamhuri ya Tanzania alikuwa Ali Hasan Mwinyi, toka mwaka 1987 hadi 1995 Raisi wa TZ na mwenyekiti wa chama tawala alikuwa Mwinyi na toka mwaka 1990 hadi 1995 Waziri Mkuu na Makamu mwenyekiti wa CCM alikua Cigwiyemisi John Samwel Malecela. Kama ilikuwa ni kurekebisha historia, muda ulikuwapo wa kutosha kufanya hivyo kwani mamlaka zote zilikuwa mikononi mwao. Walikuwa wanaogopa nini ?

- EAC ilipovunjwa na Charles Njonjo, Kenya walaitaka kuzuia kila kitu kwa kisingizio cha kwamba inadaiwa madeni makubwa sana hakutakuwa na cha kugawana,

Ohoo, Charles Njonjo hakuvunja EAC, period. Charles Njonjo, Mwanasheria Mkuu wa Kenya wa wakati huo alikuwa mtu makini aliyeheshimu sheria na alichukia watu wasioheshimu sheria. Hakuwa na imani na watu weusi kwa sababu alizodai hawana ustaarabu wa kuwajibika inapobidi na hivyo kuwa na wasi wasi na utendaji wao - alichofanya ni kusherehekea kama walivyofanya wengi tu nchini Kenya. Bila Charles Njonjo, Daniel Arap Moi asingeukwaa Uraisi wa Kenya kwani watu wa Kenyatta walitaka kuhakikisha kuwa katiba inabadilishwa ili ikitokea kifo cha Raisi, Makamu wake asikamate madaraka. Njonjo pamoja na kuwa Mkikuyu mwenzao alisimama kidete kuhakikisha katiba inaheshimiwa, period.

Sasa kuhusu kuvunjika kwa EAC, sababu ziko nyingi lakini kuu zikiwa mbili.
Kwanza tofauti za mitizamo kisiasa - ubepari na ujamaa, wapi na wapi. Pili, tofauti binafsi kati ya Viongozi wakuu, hasa mjamaa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wa Tanzania na nduli Idi Amin Dada wa Uganda. There was no love lost between them - walikuwa kama panya na paka.

ndio ikabidi kila kitu cha EAC kiwe frozen na wadai wa EAC na nchi zote tatu zzilazimishwe kukutana kwenye meza Canada kugawana madeni na kitakchobaki, WB wakamwabia Mwinyi only Malecela ndiye anayeijua vizuri sana EAC, ndio akaenda kumuomba kule Commonwealth, ninakumbuka katibu wa Jumuiya ile then Mr. Ramphal alivyolalamika kwamba anamuhitaji sana Malecela kule Jumuiya ya madola, inaelekea ni mambo ambayo huyafahamu sasa tulia usomeshwe ndugu na tunaoelewa.

Hii ni rubbish, hamna hata haja ya kujibu. Kama kitabu kinachotayarishwa kitajaa mambo ya kutunga kama haya, namhurumia mchapishaji wa hicho kitabu. Maye be over our dead bodies ! Dr. Umbricht alianza kazi ya mediation mwaka 1978, Mwinyi aliukwaa Uraisi mwaka 1985 - miaka saba baadaye. Nadhani kuna mtu amechanganyikiwa hapa, uhuni aliouita Mwalimu au ndizo spin za mfa maji, hii ni aibu !

- Wewe na mimi hapa tunajadili historia uchwara, iliyoandikwa na chuki pamoja na fitina, sasa kwa vile tuko huru wewe na mimi tuna haki ya kuchambua ukweli na uongo wake,

Huo uhuru mmeanza kuwa nao lini. Wengine tumeijua jumuiya toka ilipokuwa East African High Commision (EAHC) kabla ya uhuru 1961, ilipobadilishwa na kuwa East African Common Services Organization (EACSO) baada ya uhuru na baadaye kuzaliwa tena kama East African Community (EAC) hadi kifo chake 1977. Usipotoshe watu na mwana JF yeyote anayekupa thanks kwa pumba kama hizi anahitaji councelling.

Malecela kama binadam ana mapungufu mengi sana isipokuwa haina maana kwamba asingiziwe uongo, wakati tunaojua ukweli tupo tutakuwa hatuwatendei wema watoto wetu, historia inaandikwa sasa tukiwa huru! zile enzi za kukimbizwa kama upepo ziliisha!

Hapo umesema kweli kuwa ana mapungufu tena mengi tu na wengine tupo tayari kuyahifadhi kama uwongo wenu mtaupa kisogo. Lakini mkiendela na hizi propaganda mjue kazi mnayo. Mwacheni huyo Mzee apumzike, msimwingize katika haya malumbano, hayana maslahi kwake. Hiyo heshima aliyo nayo hadi sasa yatosha na mbinu chafu za kujaribu kumsafisha kwa maji taka hazitafanikiwa kamwe.

- Uongo uko kwenu the haters, tizamaa maelezo yako na yangu si unaona ukweli ulipo na uongo ulipo mkuu!

Hapo nakubaliana na wewe kuwa ukweli ulipo, uongo hujitenga. Respect.
NB. Samahani wana JF nimejaribu sana kujizuia lakini nimeshindwa. Kuna wakati nilifikiria hata kuchukua likizo lakini uwongo huu unaoendeshwa na kikundi hiki kinachodai kinaandika upya historia, siwezi kunyamaza. Asanteni wote mliosimama kidete kuhakikisha historia haipindwi.
 
Mkuu Mag3 shukrani sana mkuu manake sisi wengine wa miaka ya 80 hapa tunahitaji sana msaada wenu ili nasisi tuijue vizuri historia ya nchi yetu na viongozi wake.
Naomba usichoke kutuelimisha mkuu.
 
Alimwomba toka Commonwealth? Nakumbuka alikuwa jobless baada kutoka kule kwenye U-eminence, akapewa U-RC kule Iringa, akapelekwa London kuwa HC wetu. Kisha akaangushiwa U-WM na Makamu wa Rais( Mtu pekee kuteuliwa hivo bila kuwa na Jimbo!).

Hii ikasababisha Bunge kupitisha kipengele kwenye KATIBA yetu kinachotaka anayeteuliwa kuwa WM ni lazima awe Mbunge wa Jimbo. Unapojaribu kuiandika upya historia ya mzee wetu huyu unawakosea Watanzania waliomwamini na kumpa nafasi hizi nyeti katika Taifa.


Baada ya kupitisha kipengele Malecela alivuliwa uwaziri mkuu akatafute jimbo kwanza au aliendelea kubebwa tu?
 
Back
Top Bottom