Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Sadick Mtulya
Lusinde alifafanua kwamba ameamua kutoa kauli hiyo, kwa kuwa Malecela alikiuka makubaliano waliyoafikiana mwaka 2005 kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu kwamba mwaka huu Malecela, angeachiwa kugombea jimbo hilo.
"Pamoja na Malecela kunilea kisiasa, miaka mitano iliyopita aliniahidi kwamba hatogombea mwaka 2010 katika Jimbo la Mtera, na sio tu kugombea Mzee Malecela alifika mbali zaidi kwa kunibariki kwamba nitakuwa mbunge wa Mtera ninayemfuata yeye.
MmmmH MmmmmH, una utani mmbaya next topic outside Jukwaa hili, i will see ya there.Wewe si uliomba msamaha na kupeprusha bendera nyeupe hapa?
Sasa umerudi? Really unataka niku murder machete tena? Majeruhi niliyokupa
Don't make me do it, cause I overdo it.
Ukubwa dawa viongozi wa Juu wa Taifa! Raisi, Waziri Mkuu, Makamu wa Raisi, Mkuu hebu kajibu post ya Balatanda kule JF! Agggggggggggggrrrrrrrr siwezi kukubali hili too low bwa bwa bwa bwah great thinker huyu!!lakini nimeombwa sana mpaka na viongozi wa juu wa taifa, ahhhgrrr Tanzania bwana kweli kuna waliotuloga sio bure!
.kaaazi kweli kweli!...infwakitiii mi nimebahatika kuishi kijiji ambapo muheshimiwa malechela amezaliwa na ambapo ni ngome yake katika jimbo la mtera na pia kijana lusinde alipozaliwa!..
...kwa maoni mengi ya wananchi wa jimbo hili wanaonekana kuwa tayari kwa mabadiliko na kumpa kipaumbele kijana huyu kula shavu katika jimbo hili!.....mh malechela ni mtu anaeheshimika sana na kuogopwa sana kama mwanasiasa mkongwe na mwenye ushawishi wa hali ya juu sana ndani na nje ya chama chake..
...lakini ukweli ni kwamba hakuna marefu yasio na ncha na kila lenye mwanzo na mwisho huwepo pia!....kwa mtazamo wa hraka haraka tu, mh malechela ni boras angeachia wengine kukim,biza kijiti hicho cha jimbo hili kongwe ambalo halijawahi kuonja dhana ya mtazamo mpya tofauti na wamheshimiwa samweli!......iwe ni kijana huyo lusinde au mtu mwingine, lakini ukweli ni kwamba ni wakati sahihi kupata mawazo mapya na ari mpya pamoja na kasi mpya toka kwa mtu mwingine pia!.....si hata mm naewza eneeee?!!! natania tu wajomba ila kweli chadema ikinipa nauli ntakwenda mtera kusalimia wananchi!.
.....angalizo kwa chama cha mapinduzi.....sikieni sauti ya watu!......let dermocracy mean, the rule of the peole for the people by the people..., sijui sana kuwa hapa who are the people, but i guess here the people ni wananchi wa jimbo la mtera ambao wameshamshukuru muheshimiwa kwa kuwatumikia kwa mda mrefu na kwa sasa wapo tayari kupokea changamoto mpya za mbunge mpya ambaye wanaamini atakuja kuendeleza yale mema ya mh malechela!......
Duuhh...........kwi kwi kwi kwi.........I wish you knew...........you would be lol..........kwi kwi kwi.......tena hapo sasa ndio unatuthibitishia kuwa............hayo ni "majungu/uongo"..............
- Ni kwa sababu ya wanafiki wanaoshinda mahotelini kwa Rais na Januari, wanakunywa na kula nao halafu wanakuja hapa kuleta matusi against hiyo hiyo iliyowalipia hivyo vyakula, yaani CCM, na wakimbizi waliohifadhiwa na kusomeshwa na hiyo hiyo CCM sasa leo eti wamekwua freedom fighters ndio ianchekesha sana, anyways nawahi Soho kuna St. Patric parade leo.
Later
FMEs!
Unajua nini Mkuu.........usitake tumwage vitu kuhusu JSM...........ni Mzee tunayemuheshimu sana...............kauli kuhusu..
1. "You can go to hell"
2. ........."jamani Uganda walituvamia tukawashughulikia.........sasa hata Burundi kweli!?.......hiki kinchi kidogo si tunakichukua mara moja tu!........."
Hizo ni kauli za Mzee JSM.........period.......kuwa zilisemwa wapi na lini......it does not make any difference...........kama wewe u karibu sana na Mheshimiwa...........utakuwa unajua ukweli wa hilo..........
Ok,huyu kijana tumemjadili.Vipi kuhusu huyo mgombea mwingine uliyesema anamiliki mabucha maarufu?
Hii ride ya ujana inaweza kosa maana once and for all after october election,pipo let's be carefully
Ndugu yangu Balantanda, kuwa mhamasishaji mzuri ni jambo moja na uwezo wa kuwaletea wananchi maendeleo ni jambo jingine. Kama kiwango cha Lusinde ni level ya Msabah na Tambwe type, naomba nikupe ushuhuda, Tambe na Msabah walipiga kambi Busanda kipindi chote cha kampeni, na CCM ilikuwa ipigwe mweleka, wote walichemsha, na waliokuja kuokoa jahazi ni Mzee, wife wake na Magufuli.
Kama ukikaa nao meza moja hao mapropagandist wa CCM, utagundua they are totaly empty upstairs, nil!.
Uwezo wa kijana utathibitika baada ya kutoswa na CCM, aende upande wa pili, aonyeshe uwezo wa kulipindua tingatinga linalosafisha njia, ndipo atathibitisha yeye ni crane!.
Duh hawa viongozi yaani wanagawa vyeo kwa walevi? Inamaana hakuna criteria ya mtu kupewa cheo. Sasa CCM na waliomo wanataka tuwaamini kwa lipi? Maana wanavutavuta watu ili wapate chakula na si uwezo wao!!! Oh ukisoma hizi post, unaweza kukuta hata wanaotetewa ni UOZO.- Mkuu wangu Ben, huyu kijana Lusinde ni kwamba:-
1. Mwaka 2005 aligombea ubunge kwa tiketi ya Chadema, Chadema knowing kwamba he was a waste wakamnyima hela za uchaguzi, akajitoa kabla ya uchaguzi kufanyika citing kwamba hana hela maana chama hakikumpa na akalalama sana kwamba hela zinatumika kukodi helikopta lakini wao hawana hela za kampeni,
2. Alipojitoa kugombea kwa Chadema, akaenda kwa Malecela kuomba msaada kwa sababu ya njaa, akajitoa Chadema na kuingia CCM, Malecela akampa ukatibu wa CCM Kongwa, mpaka kufikia alipo sasa huko amekuwa akivutwa vutwa ili angalau apate kula, sasa eti leo huyu ni a strong candidate wa kushindana na Malecela tena mpaka ku-make all the news za jana ndio ninasema Tanzania tumelogwa something is not right na either our thinking au uelewa wa siasa za bongo, ndio maana nilisema hivi karibuni kwamba CCM itatawala kwa muda mrefu sana ujao!
Respect.
FMEs!
Duh hawa viongozi yaani wanagawa vyeo kwa walevi? Inamaana hakuna criteria ya mtu kupewa cheo. Sasa CCM na waliomo wanataka tuwaamini kwa lipi? Maana wanavutavuta watu ili wapate chakula na si uwezo wao!!! Oh ukisoma hizi post, unaweza kukuta hata wanaotetewa ni UOZO.
- Unajua mchele wa Kyela kule huitwa mkyele, lakini waswahili huita ubwabwa, au? Ni haki yako kuamini au kutoamini what Malecela said or did not say ila kwa taifa haiongezi wala kupunguza anything, na hapa JF tunachotaka ni facts, na isipokuwa ni ubwabwa tu kwa wengine mchele! Bwa! ha! ha sasa ngoja niwahi soho mkuu pole sana naona recovery inakupa matatizo sana uliyataka mwenyewe, Ha! ha! ha! ha!
- Kijana mdogo eti unamuheshimu Malecela ha! ha! ha! inachekesha sana, wewe weka tu si unajuaaaa!
Respect.
FMEs!
"Pamoja na Malecela kunilea kisiasa, miaka mitano iliyopita aliniahidi kwamba hatogombea mwaka 2010 katika Jimbo la Mtera, na sio tu kugombea Mzee Malecela alifika mbali zaidi kwa kunibariki kwamba nitakuwa mbunge wa Mtera ninayemfuata yeye.
"Lakini amebadilika na kwenda kinyume na maneno pamoja na ahadi zake. Tayari ametangaza nia yake ya kugombea tena katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu," alisema
..............wee ukisema ubwabwa/mkyele hakubadilishi ukweli wa aliyoyasema JSM kama nilivyoandika kwenye previous post yangu...........
............hivi ulifundishwa kuwa kijana mdogo hawezi kumuheshimu JSM.........waliokufundisha watakuwa wana matatizo ya uelewa........and i mean it HESHIMA MBELE!.........