Kijana atangaza kumng'oa Malecela Mtera

Huyu mzee Malecela amegeuza siasa kama ndio ajira yake...Kwa kweli huu ni wakati muafaka wa kumpiga chini Malecela.

Nadhani hapo tuna tatizo kubwa kwa wanasiasa wetu, Mzee JSM akiwa mmojawao. Wengi wanang'ang'ania kuendelea kuongozoza/kuwakilisha kwa maslahi binafsi zaidi kuliko ya wananchi.

Hata hivyo hiyo approach ya Lusinde ni mbovu na sidhani kama itamfikisha mbali. Yeye awaambie wapiga kura wa mtera anataka kuwafanyia nini, suala la makubaliano yake na Mzee JSM linaingiaje? Ubunge ni utumishi kwa wananchi na si kupokezana au kuachiana kama anavyotaka tu for the sake of it.
 
safari hii atapelekwa kusoma nje ya nchi

hamwezi yule mzee ndo maana anakubli kirahis kubadili msimamo wake

Let's wait and see maana jamaa kaamua kumwaga mchele kwenye kuku wengi(kaweka mambo hadharani) tofauti na ilivokuwa mwaka 2005
 
Ndio maana kuna tetesi kwamba Mzee Malecela kapelekwa ICU? So far ni tetesi we need to confirm this.
 
Mie namtakia mafanikio huyo kijana kama nia anayo na ni mzalendo halisi tunataka mabadiliko hawa wazee wanatakiwa sasa wapumzike ,,wabaki kutoa advice tu ..
 
Hahaaaaaaaa,havuliwi mtu kofia hapa...Nashukuru aisee,ila hali ndo kama unavoiona,majeruhi kibao

Nkwingwa, ukivuliwa kumbuka kuwa unayo nyingine..... Mgogo hawezi kumtisha Ngosha eti hahaaaaaa....... :)
CBS+2006+Summer+TCA+Party+Jj1c57Z0LWul.jpg
 
Livingstone anataka kuondoa Tingatinga la chama,nani atasafisha barabara inapokuwa mbovu? Na sasa si barabara ila mi-barabara, maana mingi mibovu leo hii kuliko ilivyokuwa 2005.
 
Kazi ya kuung'oa mbuyu yaweza kuwa nzito kuliko kuung'oa mpapai.
 
Ubunge si kubeba zege ! Ngoja jamaa aje humu, mtaambiwa hizo ni logic na si facts kwamba Livingstone aliombwa kumuachia mzee JSM 2005! Maandishi ya makubaliano yatahitajiwa yaletwe humu, otherwise wanaompinga muzee waitwa haters! Great Thinkers watapewa pongezi za kejeli ! Ngoja niangalie thread nyingine, nitarudi hapa baadaye kidogo ili nione kama personally nitatakiwa kujibu hoja ya mtu.
 
-Wakuu,

Mimi napinga siasa za kuchafuana.Nadhani kama kweli vijana wanataka kuonekana tofauti na wazee katika siasa hizi basi ni muhimu kuachana na siasa za kuchafuana

Pia hizo tuhuma zote za huyo kijana ina maana ni hasira ya kuhujumiwa?

Mbona huyu jamaa hatoi hoja kwamba atawafanyaia nini wananchi zaidi ya kulalamika umri,kuhusishana kwenye DECI,mwingine kumgeuka nk?

Sasa maslahi ya wananchi yako wapi jamani?Yaani tukisema tumchagua mtu kwa sababu ni machachari tu katika kujieleza tutakua tunaelekea wapi sasa!

Ok,kama Kijana alikua na uwezo wa kumng'oa malecela si afanye hivyo sasa kwa njia ya kampeni?Haya masuala ya kuachuiana nayapinga kwani maana halisi ya demokrasia inapotea.Hayo ndiyo mawazo yangu hata kama hawataki!
 
-Wakuu,

Mimi napinga siasa za kuchafuana.Nadhani kama kweli vijana wanataka kuonekana tofauti na wazee katika siasa hizi basi ni muhimu kuachana na siasa za kuchafuana

Pia hizo tuhuma zote za huyo kijana ina maana ni hasira ya kuhujumiwa?

Mbona huyu jamaa hatoi hoja kwamba atawafanyaia nini wananchi zaidi ya kulalamika umri,kuhusishana kwenye DECI,mwingine kumgeuka nk?

Sasa maslahi ya wananchi yako wapi jamani?Yaani tukisema tumchagua mtu kwa sababu ni machachari tu katika kujieleza tutakua tunaelekea wapi sasa!

Ok,kama Kijana alikua na uwezo wa kumng'oa malecela si afanye hivyo sasa kwa njia ya kampeni?Haya masuala ya kuachuiana nayapinga kwani maana halisi ya demokrasia inapotea.Hayo ndiyo mawazo yangu hata kama hawataki!
Kusema utawafanyia nini wananchi ni kampeni mkuu,alichofanya Livingstone ni kuelezea nia yake ya kugombea kwanza(ikiwa ni pamoja na kueleza sababu zilizomfanya aamue kutangaza hadharani,madai yake ni kwamba JSM amekiuka makubaliano yao)...So kwangu mimi naona wakati wa kueleza nini atawafanyia wananchi wa Mvumi ni pale atakapoanza kuomba ridhaa ya wanaCCM kwanza na endapo atapitishwa ataanza kujinadi kwa wananchi wa Mtera(hapa ndipo ataeleza ni kitu gani atawafanyia wana Mtera)
 
Kusema utawafanyia nini wananchi ni kampeni mkuu,alichofanya Livingstone ni kuelezea nia yake ya kugombea kwanza(ikiwa ni pamoja na kueleza sababu zilizomfanya aamue kutangaza hadharani,madai yake ni kwamba JSM amekiuka makubaliano yao)...So kwangu mimi naona wakati wa kueleza nini atawafanyia wananchi wa Mvumi ni pale atakapoanza kuomba ridhaa ya wanaCCM kwanza na endapo atapitishwa ataanza kujinadi kwa wananchi wa Mtera(hapa ndipo ataeleza ni kitu gani atawafanyia wana Mtera)


Mkuu,

so u mean till this time the guy doesnt have anything to offer kwa wananchi?so mpaka sasa hivi dhamira iliyomsukuma kugombea ni kwa kuwa
.-Malecela alikiuka makubaliano
.-Malecela ni mzee
-Yeye ni kijana(according to his supporters) wa miaka 38
-Mtu kuhusishwa na DECI
-Malecela ni mbinafsi

sasa ndugu yangu katika reason zoote hizi maslahi ya wananchi hata pointi moja ya nguvu haipo.Kama aliweza kusema yoote hayo na umesema yeye ni kijana machachari na makini wa kujieleza kwa nini asiongelee mambo hata mawili yanayogusa maslahi ya wananchi at the first place if he is really for wananchi and not selfish interest? Sasa hapo ameonyesha Toafauti gani na Malecela anayemtuhumu?Unajua vijana watakaojitokaze wananweza kabisa kukatisha tamaa hii dhana nzima ya ujana katika uongozi?
 
Malecela kachoka na hana jipya.

Huyo Lusinde naye, kwa mujibu wa maelezo haya, yuko motivated na power, vendettas na small-mindedness kuliko "the business of the people".

At the end of the process sioni kama kuna candidate mzuri, Lusinde or Malecela.
 
-Maslahi ya wananchi jamani.Katika kufikiria kuchukua hatua yoyote ya kisiasa maslahi ya wananchi yanakua ktk centre stage kwa mwanasiasa mzalendo na mwenye dhamira njema
 
Mkuu,

so u mean till this time the guy doesnt have anything to offer kwa wananchi?so mpaka sasa hivi dhamira iliyomsukuma kugombea ni kwa kuwa
.-Malecela alikiuka makubaliano
.-Malecela ni mzee
-Yeye ni kijana(according to his supporters) wa miaka 38
-Mtu kuhusishwa na DECI
-Malecela ni mbinafsi

sasa ndugu yangu katika reason zoote hizi maslahi ya wananchi hata pointi moja ya nguvu haipo.Kama aliweza kusema yoote hayo na umesema yeye ni kijana machachari na makini wa kujieleza kwa nini asiongelee mambo hata mawili yanayogusa maslahi ya wananchi at the first place if he is really for wananchi and not selfish interest? Sasa hapo ameonyesha Toafauti gani na Malecela anayemtuhumu?Unajua vijana watakaojitokaze wananweza kabisa kukatisha tamaa hii dhana nzima ya ujana katika uongozi?

Ndo siasa zetu hizo,michsho mitupu...Halafu kuna ile tabia ya kutegeana mtu akishindwa tu anaenda Mahakamni kulalamika kwamba fulani(let say Lusinde alianza kampeni kabla ya wakati.....)..Hata hivyo ukisoma maelezo haya hapa chini Lusinde kasema atawaletea maendeleo wananchi ya Mtera(amabayo wameyakosa katika uwakilishi wa JSM)

''Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Lusinde alisema amefikia hatua ya kumvaa Malecela kutokana na maombi mengi ya wananchi wa Mtera ambao wanaamini atawasaidia kupunguza baadhi ya kero zinazowakabili.

“Napenda kutangaza rasmi kuwa nitagombea ubunge katika jimbo la Mtera kwenye uchaguzi mkuu ujao baada ya kuona mzee wetu Malecela umri unamtupa mkono… hivyo damu changa inahitajika ili kuleta maendeleo kutokana na wananchi wa Mtera kuwa nyuma zaidi kimaendeleo,” alisema Lusinde.''
 
mambo mengine yanaudhi kweli kweli............yaani kijana badala ya kutoa points za msingi kwa nini unataka kugombea...........unaanza kuleta stories za eti makubaliano!!!!!..........makubaliano? smh!!...........anyway lets watch.......
 
mambo mengine yanaudhi kweli kweli............yaani kijana badala ya kutoa points za msingi kwa nini unataka kugombea...........unaanza kuleta stories za eti makubaliano!!!!!..........makubaliano? smh!!...........anyway lets watch.......

....na yataibuka mengi kweli mwaka huu...Let's wait and see
 
-Maslahi ya wananchi jamani.Katika kufikiria kuchukua hatua yoyote ya kisiasa maslahi ya wananchi yanakua ktk centre stage kwa mwanasiasa mzalendo na mwenye dhamira njema

Ben,

Spot on. inachonisikitisha zaidi ni kwamba, najua kwamba wanasiasa karibu wote ni wasanii, na hata wale wanaojidai altruist na kuweka malahi ya wananchi wana personal motivation, kuna wachache sana waliobaki nawaita "the last of a dying breed".

Lakini, it is one thing kuwa na mwanasiasa anayepiga lip service kuhusu the business of the people (at least you know that he knows what he is supposed to do) and quite another to see a buffoon come openly exposing himself as a power hungry, deal cutting person who does not even mention th srvice to the people which should really be a highlight of anybody running for office.

Kwa hiyo huyu jamaa Lusinde anaonekana si tu kwamba hatakuwa mbunge mzuri, bali pia hata intelligence yake naitilia mashaka.Kwa sababu hata kupose tu kama mtu mwenye uchungu na hali ya maisha ya Watanzania.

Yaani mtu ambaye hawezi hata kupanga maneno yake naye anataka kupewa ubunge?
 
Back
Top Bottom