Kijana atangaza kumng'oa Malecela Mtera

Huyo Bro awe msomi au asiwe msomi, atu convice asitu convice, hapa JF. One thing for certain he is a do-er. Na si watu kama sisi kukaa kwenye keyboards na kujadili tu ni vyema kuwa positive lakini sasa kama kila mtu atabaki kulalama without any action then tupo kwenye social network site, rather than a political forum.

Well done bro shinda au ushindwe hila umeonesha msimamo wa kero yako au hata maslahi yako, na anae ona Hafai aka m-challenge kupitia demokrasia na si maneno wakati tunaogopa kwenda kutoa challenge zetu sisi wengine.

Stop the negative vibe or else ndio itakua kama cha ukorofi anavyosema kuna jipya?
 
Lakini kweli wakati mwingine Mzee Malechela anakosa pointi hadi anachefua, sio suala la umri tu ....ameanza kuchemka siku nyingi toka akiwa mdogo...
Naikukbuka hii aliyosema Rwanda na Burundi ni vi nchi vidogo lakini vinasumbua, akatoa ushauri eti tanzania ivichukue!! kwakuwa ni vidogo!! Nakukmbuka Mwalimu alilipinga sana hili na kuliita upumbavu, Mwalimu Nyerere akasem; zile ni nchi kamili bila kujali maeneo yake kijiografia akasema je na wao wakisema watuchukue sisi tuta kaa kimya?? akaendelea kwamba Kwahiyo Japani n.k zichukuliwe na nchi zenye maeneo makubwa?? Akasema haya ni mwazo ya kipumbavu.

swali..........."Mkuu waweza kutuambia haya maneno yalisemwa na Malecela lini na wapi"?............
 
swali..........."Mkuu waweza kutuambia haya maneno yalisemwa na Malecela lini na wapi"?............

Kamanda, maneno haya nina hakika 100% ilikuwa ni mwanzoni mwa miaka ya tisini, kukumbukumbu ya alichokisema ni sahihi kabisa ila aliposemea nachanganya kidogo kati ya Dodoma bungeni au Kigoma na maoni ya Mwalimu ndiyo yaliyonivutia hadi sikisahau kisa hiki.
Inawezeka kamanda ulikuwa mdogo sana kipindi hicho kufuatilia mambo kama hayo.
 
Wakuu,
Kwanza nimshukuru Balantanda kwa kutuletea mjadala huu murua. Kuna mjadala mkubwa sana tuliuendesha hapa JF siku za nyuma juu ya MEMA NA MABAYA anayotuachia Mzee wetu Mheshimiwa John Malecela. Mjadala huo ulitokana na mzee kutoswa katika umakamu na kupewa nafasi hiyo mzee Pius Msekwa. Mjadala wenyewe unasema

"https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/6934-malecela-john-samwel-na-legacy-yake.html".

Nawaomba sana msome thread hiyo ili tuendelee na mjadala huu kwa marefu na mapana.

Kila la kheri.
 
Huyo Bro awe msomi au asiwe msomi, atu convice asitu convice, hapa JF. One thing for certain he is a do-er. Na si watu kama sisi kukaa kwenye keyboards na kujadili tu ni vyema kuwa positive lakini sasa kama kila mtu atabaki kulalama without any action then tupo kwenye social network site, rather than a political forum.

Well done bro shinda au ushindwe hila umeonesha msimamo wa kero yako au hata maslahi yako, na anae ona Hafai aka m-challenge kupitia demokrasia na si maneno wakati tunaogopa kwenda kutoa challenge zetu sisi wengine.

Stop the negative vibe or else ndio itakua kama cha ukorofi anavyosema kuna jipya?


I am certainly not advocating for the old gezeer.

Lakini huyo Lusinde (hivi huko kila mtu ni Malecela/ Lusinde) kama mnasema ni doer, mpaka sasa kafanya nini?

Maana mtu kama ni doer huhitaji maneno mengi sana, unasema tu kafanya hiki na hiki n kile.

Saa yeye kafanya nini kupewa heshima ya uwakilishi na wananchi?
 
Hivi ubunge siku hizi ni kama ufalme? Mnaenda kukaa na kuamua safari hii ni yangu na mimi nitakuachia safari ijayo?
 
Hivi ubunge siku hizi ni kama ufalme? Mnaenda kukaa na kuamua safari hii ni yangu na mimi nitakuachia safari ijayo?

Ushaona mkuu?

Kitendo cha kukaa chini na kupigia deal jimbo la ubunge in this manner is hubris, kinawa disqualify wote.Worse still huyu buffoon anakuja open publicly kuanika utumbo wake.

Wanafanya jimbo la ubunge kuwa kama mali ya familia.Kwamba fulani achukue hapa na fulani pale.
 
I am certainly not advocating for the old gezeer.

Lakini huyo Lusinde (hivi huko kila mtu ni Malecela/ Lusinde) kama mnasema ni doer, mpaka sasa kafanya nini?

Maana mtu kama ni doer huhitaji maneno mengi sana, unasema tu kafanya hiki na hiki n kile.

Saa yeye kafanya nini kupewa heshima ya uwakilishi na wananchi?
If there is any truth based on what was said, kuhusu his personal success in business; then it shows the type of his character a do-er.

Na badala ya kukaa na kusema he Malecela should step down, without a challenge is nonsense and unrealistic. Kwa kuwa kaamua kuchukua form be it, he is unqualified in some eyes it shows he can longer wait for miracles but a challenge will do. I guess he is a do-er.
 
..Mkuu sidhani kama Lusinde anapoteza muda. Hakuna mbunge mwenye hati miliki ya jimbo lazima watu wengine wenye uwezo kama wapo wajitokeze. Huyu mzee Malecela amegeuza siasa kama ndio ajira yake...Kwa kweli huu ni wakati muafaka wa kumpiga chini Malecela. Ukienda kijijini kwao Mvumi mission huwezi kuamini ni eneo ambalo ametoka mtu aliyekuwa na wadhifa wa waziri mkuu ni kituko nadhani isingekuwa wale wamisionari walioo pale mvumi watu wa pale wangekuwa na duni mpaka leo..

Kinadharia ni kweli kabisa hakuna mbunge mwenye hati miliki lakini practically kwa baadhi ya majimbo kama hili la Malecela jamaa ana hati miliki,utaniambia kama atathubutu kufukurukuta kwenye kura za maoni.
 
If there is any truth based on what was said, kuhusu his personal success in business; then it shows the type of his character a do-er.

Na badala ya kukaa na kusema he Malecela should step down, without a challenge is nonsense and unrealistic. Kwa kuwa kaamua kuchukua form be it, he is unqualified in some eyes it shows he can longer wait for miracles but a challenge will do. I guess he is a do-er.

Kama challenger mwenyewe ni huyu anayetoa pumba hizi basi Malecela hana haja ya kuogopa, atamshinda kirahisi tu.

Malecela has to go, lakini that does not mean kwamba tukubali juha yeyote atakayejitokeza.
 
Kamanda, maneno haya nina hakika 100% ilikuwa ni mwanzoni mwa miaka ya tisini, kukumbukumbu ya alichokisema ni sahihi kabisa ila aliposemea nachanganya kidogo kati ya Dodoma bungeni au Kigoma na maoni ya Mwalimu ndiyo yaliyonivutia hadi sikisahau kisa hiki.
Inawezeka kamanda ulikuwa mdogo sana kipindi hicho kufuatilia mambo kama hayo.

Duuhh...........kwi kwi kwi kwi.........I wish you knew...........you would be lol..........kwi kwi kwi.......tena hapo sasa ndio unatuthibitishia kuwa............hayo ni "majungu/uongo"..............
 
Kama challenger mwenyewe ni huyu anayetoa pumba hizi basi Malecela hana haja ya kuogopa, atamshinda kirahisi tu.

Malecela has to go, lakini that does not mean kwamba tukubali juha yeyote atakayejitokeza.
'que sera sera' lakini without is his presence it would have been, even easier for Malecela.

The point hapa change is not gonna come about on its on, challenges are needed since you're not willing to leave ur comfort zone and send a true challenge.

Someone has to do it seems this dude has had enough of Malecela and he his willing to do somen about it, the so called educated are too chickens to show up on real life battles and the guy has ran of patience.

Or may be advise us how he should rid of the guy that he thinks is unhelpful, let it not be he should quit; coz that is what most us do best yet we mourn about uozo in our system daily.
 
'que sera sera' lakini without is his presence it would have been, even easier for Malecela.

The point hapa change is not gonna come about on its on, challenges are needed since you're not willing to leave ur comfort zone and send a true challenge.

Someone has to do it seems this dude has had enough of Malecela and he his willing to do somen about it, the so called educated are too chickens to show up on real life battles and the guy has ran of patience.

Or may be advise us how he should rid of the guy that he thinks is unhelpful, let it not be he should quit; coz that is what most us do best yet we mourn about uozo in our system daily.

Que sera sera is a tautology, na ni kauli ambayo haitakiwi kutoka kwa mtu anayetaka mabadiliko, kwa maana ni height ya complacency.Mtaka mabadiliko anaelewa kwamba que sera sera ni tautology, circular statement with no meaning at all.

Na si lazima kila mtu agombee ubunge, wengine hata kutoa mawazo ni muhimu kwa sababu tuko mbali.Na hili halina maana kwa sababu mtu huwezi/ umekataa kurudi nyumbani kugombea ubunge basi mchango wako haufai, hasha, there is more than one way to skin a cat.

Kama nafuata hippocratic oath, kanuni ya kwanza ni "do no harm" usitake kumuondoa Malecela na kumuweka joker mwingine (ambaye anaweza kuwa mbovu zaidi) kwa sababu tu humtaki Malecela, naamini jimbo lina mtu capable, au at least anayewea kujieleza bila kutumia dumb common denominator za darasa la nne na outdated blind rage.

Geez, it's only politics, you would think it was some applications of some pradigm shift of some Nash equilibrium in the next stage of Quantum Electro Dynamics za the 11th spatial dimension of String Theory.

Na mimi kumrarua mtu sihitaji kuwa na majibu ya maswali.Kuona kama system yetu haifai sihitaji kujua inayofaa.Kuona kwamba huyu jamaa hafai sihitaji kujua kwamba nani anafaa, kujua kwamba square root ya 5 si mbili sihitaji kuijua the actual square root ya tano.

So quit making me an oracle.I do not fall into that trap.
 
Que sera sera is a tautology, na ni kauli ambayo haitakiwi kutoka kwa mtu anayetaka mabadiliko, kwa maana ni height ya complacency.Mtaka mabadiliko anaelewa kwamba que sera sera ni tautology, circular statement with no meaning at all.

Na si lazima kila mtu agombee ubunge, wengine hata kutoa mawazo ni muhimu kwa sababu tuko mbali.Na hili halina maana kwa sababu mtu huwezi/ umekataa kurudi nyumbani kugombea ubunge basi mchango wako haufai, hasha, there is more than one way to skin a cat.

Kama nafuata hippocratic oath, kanuni ya kwanza ni "do no harm" usitake kumuondoa Malecela na kumuweka joker mwingine (ambaye anaweza kuwa mbovu zaidi) kwa sababu tu humtaki Malecela, naamini jimbo lina mtu capable, au at least anayewea kujieleza bila kutumia dumb common denominator za darasa la nne na outdated blind rage.

Geez, it's only politics, you would think it was some applications of some pradigm shift of some Nash equilibrium in the next stage of Quantum Electro Dynamics za the 11th spatial dimension of String Theory.

Na mimi kumrarua mtu sihitaji kuwa na majibu ya maswali.Kuona kama system yetu haifai sihitaji kujua inayofaa.Kuona kwamba huyu jamaa hafai sihitaji kujua kwamba nani anafaa, kujua kwamba square root ya 5 si mbili sihitaji kuijua the actual square root ya tano.

So quit making me an oracle.I do not fall into that trap.
Ok basi Malecela it is haka mbona ukali sasa, basi Kiranga does not like people to against his word. I was just tryin to express my opinion clearly im annoying you. Haya basi ur right have a good day huyu jamaa afai na amwachie Malecela until the next suitable candidate ajitokeze.
 
Ok basi Malecela it is.

Nani kasema anamtaka Malecela? Umesoma posts zangu ninavyomrarua? Hivi kwa nini watu tunakuwa na one trck minds? Kwamba usipomtaka Lusinde basi unamtaka Malecela? Umeona juu nilivyowa disqualify wote wawili ?

haka mbona ukali sasa,.

Pleease, ukali uko wapi? Ukali wangu haa hujaanza kuuona.Tatizo la baadhi yetu hatuwezi ku engage katika a vigorous debate inayohitaji intellectual muscle ku analyze vitu.Ukija mtu na a critical eye unaitwa mkali.

basi Kiranga does like people to against his word..

I don't even know what is this supposed to mean.

I was just tryin to express my opinion clearly

It is clear you have a problem with expressing your opinion clearly.

im annoying you.

Pleeease, you do not have the intellectual capacity to annoy me. Do not flatter yourself.

Haya basi ur right.

Why do you say I am right?

have a good day huyu jamaa afai na amwachie Malecela until the next suitable candidate ajitokeze.

Nani kasema amwachie Malecela? Wapi?

Comprehension comprehesion comprehension.
 
swali..........."Mkuu waweza kutuambia haya maneno yalisemwa na Malecela lini na wapi"?............

Naanza kuingiwa na wasi wasi na watetezi wa Malecela kwa jitihada zao za kutaka kufuta historia. Huyu mzee amewahi kutoa matamshi tata lakini kila zinapotolewa humu kunatokea mtu anapinga akidai ushahidi. Wengine tuliobahatika kusikia matamshi haya tunabaki tu kujiuliza - kuna nini ?
 
Nani kasema anamtaka Malecela? Umesoma posts zangu ninavyomrarua? Hivi kwa nini watu tunakuwa na one trck minds? Kwamba usipomtaka Lusinde basi unamtaka Malecela? Umeona juu nilivyowa disqualify wote wawili ?



Pleease, ukali uko wapi? Ukali wangu haa hujaanza kuuona.Tatizo la baadhi yetu hatuwezi ku engage katika a vigorous debate inayohitaji intellectual muscle ku analyze vitu.Ukija mtu na a critical eye unaitwa mkali.



I don't even know what is this supposed to mean.



It is clear you have a problem with expressing your opinion clearly.



Pleeease, you do not have the intellectual capacity to annoy me. Do not flatter yourself.



Why do you say I am right?



Nani kasema amwachie Malecela? Wapi?

Comprehension comprehesion comprehension.
He who get the joke last........

First im not fazed with thesauras english, so dont get it twisted with those who praise ur posts based on that. I read you and ur nothing like you think ur im talking facts hapa.

Not political, not sociological, not economics may be literature. Having saying that in my books ur disqualified straight up to either of the arguments. Huje as blueray, kiranga, Khang, Dani or Ndjabu the dude none of those you have grasped.

May be its u, you shouldnt flatter or else keep going if ur in the mood. Unabisha jamaa hafai malecela hafai and u argue about change. Do you even read ya self.
 
-Wakuu,

Mbona huyu jamaa hatoi hoja kwamba atawafanyaia nini wananchi zaidi ya kulalamika umri,kuhusishana kwenye DECI,mwingine kumgeuka nk?

Sasa maslahi ya wananchi yako wapi jamani?Yaani tukisema tumchagua mtu kwa sababu ni machachari tu katika kujieleza tutakua tunaelekea wapi sasa!

Kwangu,makubaliano kama kweli yapo waliwekeana kati ya Mzee Malecela na Livingstone ya kuachiliana jimbo la Mtera ni matusi makubwa sana kwa wana Mtera;wapiga kura ndio wenye uamuzi wa mwisho wa nani awe Mbunge wao na wala sio wao wawili "waliokubaliana"!

Pili,umri sio factor nani awe Mbunge wa jimbo husika,tumeona wabunge vijana zaidi ya Livingstone wakishindwa kuongoza vyema majimbo yao,tumeshuhudia wabunge vijana wakijitumbukiza kwenye uongozi usio na maadili,hamna ushahidi kuwa Livingstone akipata ubunge atafanya vyema zaidi ya Mzee Malecela kwa sababu tu eti yeye ni kijana!

Lkn madai ya Livingstone kutohusisha atalifanyia nini Jimbo lake akichaguliwa sio madai mapya JF;Kwenye hekaheka za Ubunge jimbo la Bumbuli,tuliambiwa hapa kama Janaury Makamba anafaa mno kuwa Mbunge kwa sababu tu kapata degrees zake akiwa na umri mdogo na eti yupo karibu na Ikulu!Madai hayo na haya ya Livingstone yote yapuuzwe.

Angekuwa anagombea kwetu Kyela,si Livingstone wala Makamba Janaury ambaye angepata hata kura 10;maana hawajasema lolote watafanya nini mapya kwene majimbo haya wakichaguliwa zaidi ya porojo za kuwa wana elimu kubwa na huyu Livingstone ndiyo mtupu kabisa kisiasa eti "walikubaliana"!
 
Back
Top Bottom