Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Nashauri tuandamane nchi nzima kushinikiza bunge kuvunjwa. Hii ni kutokana na wabunge kwa tiketi ya ccm, wakati wa semina elekezi iliyofanyika chini ya uenyekiti wa JK, kula njama ya kuikingia kifua serikali, kutokana na kashfa mbali mbali zinazoikabili. Kitendo hicho ni usaliti mkubwa kwa wananchi na hivyo haustahili kuvumiliwa.