ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,205
- 1,573
Dogo January kaja fasta fasta sana na kuidandia hoja ya Dowans kwa nyuma, its like father like son, babake kaiua CCM na dogo naye anakuja kukurupukia kwenye Dowans anafikiri watanzania wawajui kuchambua hoja.
Ni mijitu mijinga tu hapa nchini ambayo inafikiri suruhisho la mgawo wa umeme nchini ni lazima kuifikiria au kuihusisha DOWANS.
Nchi tajiri - mijitu mijinga mijinga ndiyo inayotuamulia mambo - hasara kubwa kwa taifa, hasara kubwa kwa vizazi vijavyo. i'm very sorry to say that anyway, but that is reality hatuwezi kuukwepa ukweli. - Weekend yangu ishaharibika tayari.
Ni mijitu mijinga tu hapa nchini ambayo inafikiri suruhisho la mgawo wa umeme nchini ni lazima kuifikiria au kuihusisha DOWANS.
Nchi tajiri - mijitu mijinga mijinga ndiyo inayotuamulia mambo - hasara kubwa kwa taifa, hasara kubwa kwa vizazi vijavyo. i'm very sorry to say that anyway, but that is reality hatuwezi kuukwepa ukweli. - Weekend yangu ishaharibika tayari.