Kiini macho cha Kamati ya January Makamba na Dowans

Kiini macho cha Kamati ya January Makamba na Dowans

Kumaliza tatizo la uhaba wa umeme unaopelekea mgao ni kilio cha kila Mtanzania hasa sisi tulio mijini. Watamalizaje, kwa watanzania wengi siyo hoja; tunalo shirika la umeme lenye wasomi waliobobea katika kila fani. Mimi nadhani tumuunge mkono Mh Makamba ili aongeze presha kwa Wizara na Tanesco wachangamshe vichwa vyao na kupata ufumbuzi wa tatizo la umeme. Wengi mlioajiriwa hamwone kama kuna tatizo kwakuwa mnajua tarehe flani mtaenda kuangalia salio kwenye akaunti zenu kama mmeshaingiziwa; sisi wengine wenye saloon hakuna umeme hakuna mlo nyumbani
 
Hata kama alitakiwa kuwa wazili wa aina yeyote...wewe muanzisha thread unatakiwa kujua fika kuwa January na February wote ni ndugu moja. hawawezi kutofautiana ni kutubeza.

Alafu katika thread yako naona kama unampigia chapuo jamaa (kama sijakusoma vizuri) jiulize Mvua zikianza kunyesha na mabwawa yakajaa huyu jamaa ataongea nini tena???? maana yeye tokea ameingia ni masuala ya mgao na kuwasha dowans tuuuuu... maji yakijaa hatakuwa na kazi kwa mtazamo wangu au hata vyombo vya habari havitamfuata tena maana hatakuwa na ishu tena.

Soma alama za ukutani kaka WOTE NI KIZAZI HARAMU CHA RA na EL.
Suala kubwa kwa sasa ni DOWANS chifu, hivyo ana haki ya kuchukua ponts tokea hapo. Nadhani mabwawa yatakapojaa kwa mvua atageukia madini
 
Wanabodi,

Kwa wale waliofuatilia barua ya Mbunge wa Bumbuli, Mhe. January Makamba kwa Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. William Ngeleja, January aliishutumu kampuni ya uwakili ya Rex Attorneys kwa 'Conflict of Interest'.

Sasa Rex Attorneys, wameandika barua kali, kumlipua Mhe. January Makamba, left, right and centre.

Ili muvie iendelee, tusubiri kwa hamu majibu ya January kwa barua hii ya Rex.

Sinema ya DOWANS inaendelea huku taifa likiendelea kusota kwa kukosa umeme.

Attachment inafuatia kutoka kwa Invisible...

========================
rex-january1.jpg

rex-january2-1.jpg

rex-january3.jpg

rex-january4.jpg

rex-january5.jpg

rex-january6.jpg
 
put it mkuu, hii sinema ni kama "days of our lives", never ends..
 
Unaongeaje then atachement kufata?

Wanaosoma wanaonekana wamelogwa na wewe unaonekana mganga wa kienyeji kutufungisha trella
 
put it mkuu, hii sinema ni kama "days of our lives", never ends..


yani kama days vile... ngoja tungoje hiyo attachment ila hawa jamaa tatizo hawajui kwamba tumeshawasoma strategy zao,

kama wanataka kushinda na huu ufisadi wao inabidi wawe unpredictable
 
Hao REX wazushi...someni hii

Dowans opts to pursue legal course Thursday, 24 February 2011 22:08

By Rosemary Mirondo
The Citizen Correspondent

Mr Munai also admitted that Dowans owed Stanbic Bank $2 million from a loan of $20 million they had borrowed to run the plant and was awarded to them when their attorneys, Rex Attorneys, proved that the plants were in good working order.
 
Mkuu Pasco, tusaidie kutuwekea bandiko jamvini tuweze kulifuatilia kwa makini na kwa detail zote. Nchi yetu bwana ina mambo!!
 
  1. Kwa nini hawa watu hawawezi kuwa na kauli na interest moja?
  2. Inakuwaje Makamna Jr yuko informed kuhusu DOWANS zaidi ya Waziri na MD wa TANESCO?
  3. Wanatest vipi kwa kuingiza umeme kwenye gridi bila ya TANESCO kujua?
In an unprecedented turn of events, those said to be the owners of the controversial power firm Dowans have written to Tanesco, expressing readiness to forgive the 94bn/- compensation. This raises hopes for an end to the protracted legal dispute between."In fact, they (Dowans) are ready to forgive the debt, and they have already written to Tanesco," January Makamba, chairman of the parliamentary watchdog overseeing energy and mineral sector, told reporters in Dar es Salaam yesterday.

The latest revelation is a relief to millions of Tanzanian taxpayers who would have shouldered the 94bn/- compensation for breach of contract by Tanesco - in the wake of the ruling made by the International Chamber of Commerce (ICC).According to Makamba, Dowans has opened its doors for talks with Tanesco on how to amicably settle the deadlock.Makamba advised Tanesco to sit down with Dowans in an attempt to resolve the multi-billion legal dispute, which has negatively impacted on the country's power sector coupled with load shedding, blackouts and other related problems.

"Negotiations are a good strategy…we advise Tanesco to start negotiations with Dowans, since the latter's doors are open," said the Bumbuli Member of Parliament.He said if Tanesco was willing to enter into negotiations with Dowans, the energy watchdog would keenly monitor modalities and nature of the talks to avoid problems.According to Makamba, Dowans was ready to forgive 94bn/- compensation, as per the ruling of ICC, but insisted that other service-related debts which Tanesco owes Dowans would not be cancelled.

But Tanesco Managing Director, William Mhando said the power utility was not aware of the visit by a person who claimed to be the owner of Dowans, Suleiman Mohamed Yahya Al Adawi."We have not talked to him, and we are not aware of his visit," said Mhando, adding: "If this (alleged owner of Dowans) is coming for a good intention, we will talk with him for public interest."

Energy and Minerals Minister, William Ngeleja declined to comment on the controversy, on the premise that the matter was still in court. "I cannot talk about it, because it's against the laws of the land," said Ngeleja briefly.However, the parliamentary energy watchdog proposed that the Dowans gas-plant should be switched on to rescue the nation from power crisis, provided that the move "does not disrupt on-going talks between Tanesco and Dowans on 94bn/ compensation and related issues."

Makamba said Dowans owners did not come to Tanzania to switch on the generation plant. "They came to test their generation systems."On Tuesday, energy and mineral parliamentary committee in collaboration with the business community proposed Dowans plant be switched on while negotiations for the 94bn/- compensation continue to rescue the country's economy.The committee Chairman January Makamba said the ongoing power rationing had already forced 50 industries to close down according to the Confederation of Tanzania Industries (CTI).

Makamba said this in Dar es Salaam on Monday shortly after meeting members of the business community from the Confederation of Tanzania Industries (CTI), Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) and Tanzania National Business Council (TNBC) aimed at discussing the impact of power rationing on their businesses and the way forward.According to CTI, some of the industries have reported losses of up to USD 200, 000 per day, while Twiga Cement alone has reported 20m/- loss per day due to power rationing prompting the committee to look into how best to advise the government to come up with immediate solution to the rationing problem.

"We are tasked to advise the government on energy matters and in this case, we feel the Dowans power plant should be switched on as an immediate remedy against power rationing," said Makamba.
 
issue ya Dowans nikimpatia Desel Washington awe kama EL na Amir Khan awe kama RA alafu tukaipeleka holly wood ... hakyanani tutatengeneza hela balaaaaaa
 
issue ya Dowans nikimpatia Desel Washington awe kama EL na Amir Khan awe kama RA alafu tukaipeleka holly wood ... hakyanani tutatengeneza hela balaaaaaa

mkuu ... hiyo movie apewe Mel Gibson .., film director, producer and screenwriter .....
 
Director awe james cameroon..mel Gibson acheze starring....al adawi na RA wawe maadui....location...chaguaeni iwe wapi?
 
  1. Kwa nini hawa watu hawawezi kuwa na kauli na interest moja?
  2. Inakuwaje Makamna Jr yuko informed kuhusu DOWANS zaidi ya Waziri na MD wa TANESCO?
  3. Wanatest vipi kwa kuingiza umeme kwenye gridi bila ya TANESCO kujua?
In an unprecedented turn of events, those said to be the owners of the controversial power firm Dowans have written to Tanesco, expressing readiness to forgive the 94bn/- compensation. This raises hopes for an end to the protracted legal dispute between.“In fact, they (Dowans) are ready to forgive the debt, and they have already written to Tanesco,” January Makamba, chairman of the parliamentary watchdog overseeing energy and mineral sector, told reporters in Dar es Salaam yesterday.

The latest revelation is a relief to millions of Tanzanian taxpayers who would have shouldered the 94bn/- compensation for breach of contract by Tanesco — in the wake of the ruling made by the International Chamber of Commerce (ICC).According to Makamba, Dowans has opened its doors for talks with Tanesco on how to amicably settle the deadlock.Makamba advised Tanesco to sit down with Dowans in an attempt to resolve the multi-billion legal dispute, which has negatively impacted on the country’s power sector coupled with load shedding, blackouts and other related problems.

“Negotiations are a good strategy…we advise Tanesco to start negotiations with Dowans, since the latter’s doors are open,” said the Bumbuli Member of Parliament.He said if Tanesco was willing to enter into negotiations with Dowans, the energy watchdog would keenly monitor modalities and nature of the talks to avoid problems.According to Makamba, Dowans was ready to forgive 94bn/- compensation, as per the ruling of ICC, but insisted that other service-related debts which Tanesco owes Dowans would not be cancelled.

But Tanesco Managing Director, William Mhando said the power utility was not aware of the visit by a person who claimed to be the owner of Dowans, Suleiman Mohamed Yahya Al Adawi.“We have not talked to him, and we are not aware of his visit,” said Mhando, adding: “If this (alleged owner of Dowans) is coming for a good intention, we will talk with him for public interest.”

Energy and Minerals Minister, William Ngeleja declined to comment on the controversy, on the premise that the matter was still in court. “I cannot talk about it, because it’s against the laws of the land,” said Ngeleja briefly.However, the parliamentary energy watchdog proposed that the Dowans gas-plant should be switched on to rescue the nation from power crisis, provided that the move “does not disrupt on-going talks between Tanesco and Dowans on 94bn/ compensation and related issues.”

Makamba said Dowans owners did not come to Tanzania to switch on the generation plant. “They came to test their generation systems.”On Tuesday, energy and mineral parliamentary committee in collaboration with the business community proposed Dowans plant be switched on while negotiations for the 94bn/- compensation continue to rescue the country’s economy.The committee Chairman January Makamba said the ongoing power rationing had already forced 50 industries to close down according to the Confederation of Tanzania Industries (CTI).

Makamba said this in Dar es Salaam on Monday shortly after meeting members of the business community from the Confederation of Tanzania Industries (CTI), Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) and Tanzania National Business Council (TNBC) aimed at discussing the impact of power rationing on their businesses and the way forward.According to CTI, some of the industries have reported losses of up to USD 200, 000 per day, while Twiga Cement alone has reported 20m/- loss per day due to power rationing prompting the committee to look into how best to advise the government to come up with immediate solution to the rationing problem.

“We are tasked to advise the government on energy matters and in this case, we feel the Dowans power plant should be switched on as an immediate remedy against power rationing,” said Makamba.
makamba jr kaza uzi. Maslahi ya taifa kwanza siasa baadae
 
Location msitu wa Kilimanjaro, migodini na Iran kwenye viwanda vya kukatia madini na kwenye vinu vya nyukilia. Halafu ichezwe usiku tu na umeme usiwepo.
 
Kusema kweli hii ya Dowans ni kama sinema, kwasababu mambo yanabadilika na hayatabiriki.

Ebu tujikumbushe kidogo matukio juu ya Dowans:
  • Dowans anaingia kwa mkwara na kuchukua nafasi ya Richmond
  • Kamati ya Mwakwembe inashauri mkataba wao uvunjwe kwasababu ni batili
  • Tanesco anavunja makataba
  • Dowans anakimbilia mahakama ya usuluhishi na kushinda kesi
  • Wananchi wanahoji nani mmiliki wa Dowans, Ngeleja anawataja wamiliki
  • Baadaye Rais anasema yeye hawajui wamiliki
  • Wabunge wa ccm wanasema wataongea nao deni lipungue
  • January Makamba anaandika barua kwa Waziri
  • January anapendekeza mitambo iwashwe kwa mkataba wa dhalura
  • Brugedia Gen. anajitokeza na kusema mmiliki lakini asipigwe picha
  • Kesho yake mitambo inawashwa kidogo
  • January Makamba anakuwa msemaji wa Dowans, Tanesco, Wizara na Kamati ya Bunge
  • Dowans anaanza kumnyemelea Tanesco na kumwambia atamfutia deni lake!
  • ........
  • .........
  • Ongeza mengine...!
Jamani Tanzania hii, kila kitu kinawezekana!

Maoni yangu:

Kikwete asipokuwa makini awamu zake za utawala zitakuwa defined na hii kitu inayoitwa Richmond/Dowans
 
Hivi hii issue ya umeme kuendelea kukosekana for years now, ina maana TANESCO na serikali hawawezi fanya namna nyingine mpaka hii issue ya DOWANS ifikie mwisho ndo waone kama DOWANS ni mkombozi au siyo ndo waanze kufikiria kutafuta solutions?

Yaani Mvua na DOWANS ndiyo determinant ya ama umeme uwake au tuendelee kusota gizani? Maana as if hakuna njia zingine za ku solve kutwa kuchwa DOWANS na mvua ndo discussion iko centered hapo....I am realy confused does this have to do na mentality yetu 'Jamani katutoka pengo lake haliwezi zibika'? No wonder watu bado wanafikiri Hayati baba wa taifa bado anatuongoza na hakuna mwingine kama yeye hata baada ya kutokuwepo duniani for years...I guess hii siasa yetu ya mono party ina affect hata thinking yetu ndo maana tukishikia bango swala moja basi ni kama mbingu na dunia zimesimama........

I am tired of this issue let us pay them once and for all alafu tuanze upya; ili tuendelee na mikakati ya kuadhibu waliotufikisha hapa huku tukiondokana na excueses za mara kwa mara za DOWANS na mvua tuone if we can do better that what we are now doing kama siyo silitaki jembe hili na taka lile kumbe mtu si mkulima.
 
Back
Top Bottom